MFAUME MFAUME AMVAA MWAKINYO - "ROHO MBAYA TU, ANAOGOPA WENZAKE WAKICHEZA WATAMFUNIKA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- MFAUME MFAUME AMVAA MWAKINYO - "ROHO MBAYA TU, ANAOGOPA WENZAKE WAKICHEZA WATAMFUNIKA"
BONDIA Mfaume Mfaume amefunguka kuelekea pambano la kijana wao Oscar Richard vs Tony Rashid litakalochezwa Juni 29, 2024...
Ushachoka saivi hauna kitu mfaume
Yaani hayo maneno yake yoote anamlenga mtu mmoja tu na bondia mwakinyo ww mwakinyo kakuzidi hadi mazambi
Unanja huna lolote boya chuki anazo yeye
Hunajipya unaongea sanatu vyiwangovyenyewe vimeshukawweweeee
Sasa hapo umehoji nn zaidi ya umbea tu na mwenzio mfaume
sasa utambui lakini umemuita na jina
Huyo mfaume Hana hadh ya kuwa bondia
Huyu bila ya kumtaja bondia mwakinyo hawezi kwenda mjini ili aingie mjini lazima amuongelee mwakinyo mbona mwenzake hana muda nae yy tu
Mshamba wewe hujui ngumi .wanaojua ngumi wamekaa kimya.ngumi sio vita kaka Wala starehe ni kazi kama kazi nyengine...
Nani anakutambua wewe mfaume funga mdomo
HUYU CHA MANENO IPO SIKU ATAUMIA ANACHONGA SANA. PUNGUZA MDOMO DOGO NINGEKUWA NA NAFASI NINGEOMBA PAMBANO NAE NAJUWA ANACHOJIVUNIA
Huyu majigambo tu hana lolote mbuzi tu kwa bondia mwakinyo ww hata umseme vipi bondia mwakinyo huwezi kumshusha na huwezi kumfikia😂
MFAUME TULIA NA UWE NA ADABU KWA KAKA YAKO MWAKINYO, HUYO NI WA LEVEL NYINGINE SIO SAIZI YAKO KABISA.
YANI MWAKINYO MUONENI HIVYO HIVYO ILA HAKINA MTU MWENYE KIWANGO CHAKE BONGO. SIO KWAMBA ANAPIGANA TU ILA ANACHO KIPAJI CHA KUZALIWA.
Nilikua namkubali sana uyo mbwa lkn maneno yake yakisenge nishamkataa zamani bondia kama khadija kopa bwan
Nazid kusoma comment wakuu
Mfaume kaa kimya imebakia ww kuwa ni mama ntilie tu, unamiaka chungu nzima hujapambana, acha roho mbaya shenzi
Mfaume umeshuka na bila ya kumkandia mwakinyo jina litazidi kupotea
Champion Mfaume Mfaume miaka 100 ukweli umewauma machawa wa mdigo wewe ni balaa balaaa balaaaaa wasiokupenda kwenye comment hapa kimoyoni moyoni wanakukubali GO go GO go Champion NACCOZ baba lao haipingwi hiyo
Boxing watz kuwa wakubwa Ni ngumu maana matamanio Yao Ni kupigana wenyewe Kwa wenyewe, aliye mkubwa ashushwe . Kupigana Ni ku risk maisha wanapaswa. Wawe na msimamo wapate Hela sio kutumiwa kama tissue
Acha umbea
Huna kitu bob.pita ivi.yaani wewe wamekufata ujiongelee unamuongelea mwakinyo.huo ni wivu kwenye misimamo ya mtu...na ndio unapotea hivo
Mtoto wa matumla kapandishwa na mwakinyo
Kiduku kapata umaarufu baada ya kucheza kwenye pambano la Mwakinyo wewe kifadulo umempa nani nafasi na akatoka?😅😅😅😅
Leo nimeamini kweli wewe mshereheshaj na sio bundia auna unachokifanya kwenyengumi ni kheli ubaki kwenyeushereheshaj,kuhusu kuto kucheza na bondia mwengine ww ni muoga pialali mpka leou unamkimbiakimbia tu ww ndio muoga
Mwakinyo umejuwa kuwakela wanafiki mfaume ulishapitwa nawakakati na bado hujasema mwakinyo anafanya kwa malengo🤣🤣🤣🤣 kkkk
Bondia ni mmoja tu Mwakinyo zingine nibkelele tu😂😂😂
Mfaume ushamba unakusumbua unazidi kutupoteza mashabiki tulio kubwa tunakuelewa acha kutafuta kick Kwan champez
Wewe choko wacha jealous ngumi hujui
ktk watu ambao awajui ngumi ww mfaume nambamoja naukimongelea mwakinyo muongelee kwaheshima nay adabu
Mfaume mshamba sn lkn kama aliongea bila kujua amuombe radhi Mwakinyo,vinginevyo nitampuuza sana
Sheikh hamad kombo utangazaji huuwez nenda kavue kaka yan ww unamchochea mtu amseme mtu mwengine
semunyu ndo promoter pekeee TZ... ila ao wengne watapeli ty
Hata ukiziangalia nyota zinatofautiana ung'aaji kwaio usilazimishe nyota yako ing'ae zaidi ya uwezo wake itaungua mwisho itazima .usitafute kiki kutumia nyota ya mwenzio, yako imefifia waache wenye majaaliwa yao!
Mabondia wadar munaroho mbya namunaftna nawatu watanga kutugombnisha wenyew kwawenyew
Mwenetu vp asaiv umekua ms pialali tuu anakushinda 😅😅😅 kwedraaaa unalolote mshika ufunguo tuu wa jimu ata mimi unipji
Bondia hajaanza kuhojiwa anaongea tuuuu,,halaf mjomba wee huna kitu kingine Cha kuzungumza zaiid ya Hasan tuuu huna kaz nyingine kaka ukafanya kaka maana ww Kila dei lazm umtaje champez
Hana jipya mfaume mawiv tu Champez bab kubwa ingeezeka uy jamaa apande na Mwakinyo anaimba sana by mpenda michezo
Mfaume tafuta shughuli yakufanya Mwakinyo sio level yako na kofia yako iyo ya bukujero
Acheni roho mbaya, mbona mnamshambulia sana Mfaume?
Lipi alilowakosea?
Acheni roho za korosho
Mfaume saiz yako n Mzee wa SUKUNYO
Mfaume sio bondia Kila pambano anapigwa alafu anabebwa saizi muimba taalabu tu
Wewe huna lolote kwanza maneno meeeng la maana huna mwakinyo anakuwakilisha ww ni bdo kam chipukizi kila sku uko vlvl
Umamuongelea mtu ambae akuongelei fanya mamb Yako we mbona unapiga vichwa
Weee ngumi kazi kama kazi nyingine. Unachezea nakozi halafu unabaki huna mbele wala nyuma...hao wengine njaaa tu
Kama ni wa uzito wake huyo anayesemwa; promota mpangieni mechi
ONGEA NA WANAUME UPATE KAZI SIYO MIPASHO. ACHA UMBEYA. KAZI YA UMBEA WENYEWE NIWANAWAKE.
mbona uyo choko wenu wakitanga maneno mengi lkn amsemi nyie mnae msema mwnye ngumi zake hote wasenge tu! yani mfaume mfaume Chama chamabibo
Ww.ngumi.kubwa.maajabu.huna.muache baharia.hasani
Acha usenge wew siuandaliwe pambano lako
Kwanza huyu jamaa hamna kitu kabisaa
Yaani ktk mabondia ambao hamna kitu ni huyu mfaume mfaume
Acha ushamba na roho mbaya
Sikuzote duniani usitumie muda wako kumjadili mtu utafeli kila kitu
Unatakiwa kuiga mfano wa mwakinyo anaangalia mambo yake tu
Nikweli mfaume nyie ndo mabondia achana na wale wanqo pigania chocho
Ukishaona mtu ana jinadi ujue siyo nyota pesa wala ushawishi hana😂😂😂
Nimesoma comment za watu humu hakina anaye kukibali bro jitafakari
Hamuwezi mwakinyo hata kidogo
Kwanz ukitak kumzungua mwakiny jua unazungumzia bondia bila Afrika na bunia
Jamani huyu mfaume chizi anadata mwakinyo mme wako huna maajabu una unamdisi mwakinyo ww mdisi twaha au dula au chino mwakinyo ata kuuwa paka
MFAUME UNAJIPYA KAKA WEWE ENDELEA KUFUGA SUNGURA.KAKA
ww hujui ngumi ww mdomo2 yupo pialali unamkimbia mwaka wangap huu
Kama unauwezo cbupande nae,sio kuongea ujinga
Mtangazi boya kama bondia wa hovyo ulikua una mhoji
Mfaume mfaume eti ushawahi kupigana kisa sahani ya ubwabwa?
MFAUME MFAUME BOXING IN MABIBO NACOZ😂😂😂😂
Mfaume hauwez champez ninamba nyingine
Mnaompinga mfaume mfaume amuujui mchezo wa ngumu bali mnaushabiki na mtu fulani na huyo fulani ajui boxing kwanza achagua mabondia nyanya anaogopwa kupigwangumi azipo hivyo ngumi aziitaji maringo wala uhuni ivyo mwacheni mfaume aseme ukweli
Bro 2lia mwakinyo anajua punguza majungu hayasaidii
Yani mashabiki mnao sema hamna kitu sahivii mfaume...hamna akiliiiii
Muda wako umeisha kaka pumzika uza karanga tu,Hassani kawazidi kila kitu
Mwandish ujui mchonganish
Mfaume huna lolote wivu umekutawala waweza kuwa mchawi wewe
Acheni kuzunguza Ushoga fungeni hizo habari
Usitafute kiki kwa chapez wewe ushachoka wacha hasadi
Mwakiny nikama bab ako kweny box ko punguza mudomo
Hauwez hiyo Kaz na mmakonde fanyen mambo mengine
Njaaa wap mpuuz ww yey anaongelea mabondia wote
Ukiona haupati game ujue uwezo wako n mdogo
Hii media utaishusha thamn hatakm unatak kumsema mtu bas tumia akili kuuliz maswal
Mfaume hunalolote wivu umekujaa
We unataka acheze kikuku hacha asimamie anachokiamini.
Choko ww acha roo mbaya uskii raha bila kumta basha wako mwakinyo
mtangazaji ufai kua mtangazaji mshamba sana
Mfaume angepigana na iddy pialali pambano lile lingekuwa zuri sanaaa na lingemrudisha vizuri sana kama angeshinda.
HAMNA KITU HUMO KAZI YAKE MDOMO SIO KUPIGANA
Mfaume huyo hata mimi najipigia tu hana lolote
Huyo dogo mfaume choko tu Hana lolote
Mtangazaji sijajua main point yako nini
Kaka unaongea sanaa nyiee mabondiaa njaa a tuu
Mfaume unafaa kuimba taarab mapaf ya kuku pumu tup
kila ukihojiwa mwakinyo ww fala
Kazeeka mfaume mfaume
Wewe muandishi nimbea
Kahoj ww ambae sio mbeya
KUMBE MFAUME ANAOMBA KAZI.
Huyu nae bondia kumbe
Mfaume Uwe Mkweli. Tafadhali Jitahidi kupambana Mwenzako kutoka Brbr za Namba na Makorora amejijengea Mvuto kwa Wapenda Ndondi. Tunakuamini na Jiamini.
NA WE MTANGAZAJI MSENGE
Ganja nyingi na umbea
Mshamba mmoja huyu mfaumemfaume hajui ngumi amebaki kuwa na maneno2 hana lolote ngumi hajui mbwembwe2,IGA Kwa mwakinyo mwakinyo ana akili sana Hana njaa mabondia wote mjifunze kwa mwakingo muwe na akili boxing ni KAZI kama KAZI zingine msiburuzwe mfaume acha upuuzi uwe na akili.
Nafasi ya mwakinyo bado ipo juuu sanaaaa wanaumia sana endelea mwakinyo tupo nyuma yako tanzania bondia ni mwakinyo pekeee
Nyie ndio wafirwaji mikundu nyie!
Mzee hujui ngumu.. huna elimu ..una majungu...mapeomota wanakuongelea vibaya Jana majungu..mabondia wa bei rahisi..eti bondia anataka kupigana Bure ili aonekane..
Nakukubali kinoma
Wacha hassad mfaume
wazaramo na maneno yao