Familia zawatafuta wasichana wawili waliopotea Murang'a
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ส.ค. 2024
- Familia mbili katika kijiji cha Gakuyu kaunti ya Murang'a zimekuwa zikihangaika kwa zaidi ya juma moja kuwatafuta wasichana wao waliopotea nyumbani. Mercy Waithera na mwenzake Clarin Njeri ambao wote ni wanafunzi wa kidato cha pili walipotea nyumbani tangu juma lililopita.
Poleni ..😥May they come back home
Pole mama hope atarundi akiwa salama
Poleni sana
God protect the girls.
Hawa wameolewa
Kenya mtu akipotea sio uwaze kuolewa nikuomba tu warud salama
God let your blood protect them wherever they are
Kupotea muranga the outcome is known
Bado ako fellowship.
Watapatikana tu
Amen. I hope alive🙏