Habari, Nyanya inatolewa kwenye kitalu kupeleka shambani sasa kwa kuanza maisha mapya ya ukuaji wake kwa faida zifuatazo: 1.Kutoa nafasi ya kukua 2.Kuimarisha mizizi 3.Kupunguza ushindani kati ya mche na mche na mbolea , maji wakati wa kulishia na kunyeshea Kwa hivyo ndugu mkulima Mchakato huo ni muhimu kwa kuhakikisha mimea inakuwa vizuri na kuzaa matunda bora zaidi. Aksante
Safy sana bro
Hongela brother good job
Good care. Which kind of seeds you planted?
Asanteee kwa SoMo zur nyanya unatoa kwenye kitalu iweje
Habari, Nyanya inatolewa kwenye kitalu kupeleka shambani sasa kwa kuanza maisha mapya ya ukuaji wake kwa faida zifuatazo:
1.Kutoa nafasi ya kukua
2.Kuimarisha mizizi
3.Kupunguza ushindani kati ya mche na mche na mbolea , maji wakati wa kulishia na kunyeshea
Kwa hivyo ndugu mkulima Mchakato huo ni muhimu kwa kuhakikisha mimea inakuwa vizuri na kuzaa matunda bora zaidi. Aksante
Brother please make more English videos
Asante kwa somo
Thanks
Nmependa darasa
Unaweza kutumia mbolea ya kuku?
Nice bro
Nyanya ikiwa na chorachora unatumia dawa gani
Napendezwa na masomo yako kaka
Kama haun pesa ya mbegu .mnakopesh..mbegu
Sawa zinazotumika ktk kilimo Cha nyanya
Comment yako inahamasisha 🤝🏼
Ni mbegu ipi na inaweza Fanya Kenya
Captain F1
Mbolea,,ya,,yala,mila,hotesha,,??hunapanda