MJUE MSUKUMA NA TABIA ZAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ส.ค. 2017
  • Msukuma ni nani na historia yake imetokea wapi? tazama upate kujua kwa kina #Mtembeziusukumani

ความคิดเห็น • 31

  • @prosperkapeche898
    @prosperkapeche898 5 ปีที่แล้ว +2

    Big up babu Kafipa👏🏾👏🏾💪🏿🇹🇿 ni vizuri kujua Usukuma ni ni👍🏿🇹🇿

  • @jamesgerald7192
    @jamesgerald7192 6 ปีที่แล้ว +1

    hadi raha kwa kweli,,wewe dada umefunzwa vzr sana hongera.

  • @jmiano5870
    @jmiano5870 ปีที่แล้ว +2

    part of wasukuma ni agikuyu wa kenya.

    • @jacquelinemabula2519
      @jacquelinemabula2519 ปีที่แล้ว +1

      Sure coz mimi my mom is from kikuyu na my dady ni sukuma naweza sikia kila kitu

  • @DottontendelDottontendel-qb5lr
    @DottontendelDottontendel-qb5lr 7 หลายเดือนก่อน

    Huwa wanaoroho mbaya huwa wanaubaguzi huwa wanajipenda waokwawao nikama watusi

  • @luckydubebello1131
    @luckydubebello1131 2 ปีที่แล้ว +1

    Mm ni wakutoka kenya 🇰🇪 soon naolrka na msukuma

  • @ommarymzee1161
    @ommarymzee1161 6 ปีที่แล้ว +1

    wachamaee babaaaaa

  • @majadotto9513
    @majadotto9513 4 ปีที่แล้ว

    Mitazamo tu lkn sisi ni watu was suguma itimeans kazkazn

  • @alexkadaso2913
    @alexkadaso2913 5 ปีที่แล้ว +1

    Wakelewe

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 5 ปีที่แล้ว +1

    Zamaani sana walikua na tabia (nataraji wamebadilisha) utamkuata mtu ana Mali nyingi mashamba na mifugo. lakini anaishi kimasikini sana eti anaogopa kurogwa🙄😏🙄😒😒

    • @tanzanianchiyangutaifalang8376
      @tanzanianchiyangutaifalang8376 4 ปีที่แล้ว

      Huo ni uongo. Wasukuma wenyewe wanajua dawa vizuri. Unaanzaje kumroga! Huwajui wasukuma, usipende kuchukua ya kuambiwa. Tuulize sisi wasukuma wenyewe.

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 4 ปีที่แล้ว

      @@tanzanianchiyangutaifalang8376 mimi nimeishi nao

    • @tanzanianchiyangutaifalang8376
      @tanzanianchiyangutaifalang8376 4 ปีที่แล้ว

      @@shifaaal-baity4503 Sasa mbona unaongea uongo? Wakati msukuma utajiri wake ni mifugo na kilimo. Tajiri wa mifugo na kilimo ndio yupo fiti kwa dawa. Sasa anaanzaje kurogwa! Hapa umedanganya.

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 4 ปีที่แล้ว

      @@tanzanianchiyangutaifalang8376 yaani wasukuma wana dawa za kuroga??? Kitu kibaya sana

    • @tanzanianchiyangutaifalang8376
      @tanzanianchiyangutaifalang8376 4 ปีที่แล้ว +1

      @@shifaaal-baity4503 Mimi ni msukuma, nimezaliwa usukumani na nimekulia usukumani. Tajiri wa mifugo na kilimo wako vizuri sana kwenye mambo dawa. Huwezi kuchezea mifugo wala mazao yake.

  • @mwandumazaoidrossa1702
    @mwandumazaoidrossa1702 5 ปีที่แล้ว +3

    hamjuwi wasukuma kumbe walikotoka, wasukuma wametokea Congo rdc sehemu moja inaitwa Bandunduu

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 5 ปีที่แล้ว

      Kweli??? Tunajua wamanyema ndio wametoka congo

    • @mwandumazaoidrossa1702
      @mwandumazaoidrossa1702 5 ปีที่แล้ว +1

      @@shifaaal-baity4503 nenda Congo bandundu hata luga Yao kama kisukuma tu

    • @mwandumazaoidrossa1702
      @mwandumazaoidrossa1702 5 ปีที่แล้ว +2

      hata majina mengi yanafanana na kisukuma kama vile Matondo, Malongo, Magembe, Maduhu Magumba,Ngolo yote hayo majina ypo huko congo

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 5 ปีที่แล้ว +1

      @@mwandumazaoidrossa1702 kusema kweli mara ya kwanza kujua

    • @emmanueljohn8970
      @emmanueljohn8970 5 ปีที่แล้ว

      Hata south Africa