Kijana Wenye Mashairi ya Kusisimua Akitoa Burudani Katika Siku ya Nikumbuke
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2022
- Anajulikana kama Fumarison au Bin Mjeje,ni Mtunzi na Khagha wa Mashairi ya Kimapokeo,hapa alikuwa katika Tukio la Nikumbuke ambalo hufanyanyika kila mwaka na Mwaka huu limefanyika katika Shule ya Sekondari nyumbu na Wanafunzi wapatao walipata Misaada mbali mbali ili kuweza kumudu masomo yao.
Shairi zuri masha Allah... Naomba mawasiliano yawepo kwa hyo mtunzi wa shari kwa sababu npnda sana mashairi
Am from Kenya love the shairi
Congratulations from Comoros
Kaka mash AAAAA
He is so funny 😂
Kazi mzuri oyaa
Hongera sana kijana
Safi sana
Kwa hakika utunzi unayo
Nice
🔥🔥🔥
Naomba mawasiliano yawepo kwa huyo mtunzi wa mashairi