BREAKING: Kauli ya Askofu Kakobe baada ya kutoka kuhojiwa Uhamiaji

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • Hivi karibuni Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia Idara ya Uhamiaji, ilimwandikia barua Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe kumtaka afike katika ofisi za Idara hiyo kwa ajili ya mahojiano.
    Sasa leo April 9 2018 Askofu huyo ameripoti katika ofisi hizo za Uhamiaji DSM kwa ajili ya kuhojiwa na baada ya hapo akapata nafasi ya kuzungumza na waandishi wa habari

ความคิดเห็น • 156

  • @thobiasodhiambo9553
    @thobiasodhiambo9553 6 ปีที่แล้ว +13

    Hili suala la vyeti vya kuzaliwa na matumizi ya polisi kuwaua wakosoaji au washauri wa serikali ni mbinu zinazotumiwa na CCM kuwanyamazisha watumishi wa Mungu na wazalendo wa nchi hii. Ipo siku uovu huu utafika tamati ktk nchi hii ya kusadikika.

  • @alphoncetheodory41
    @alphoncetheodory41 6 ปีที่แล้ว +2

    Daaaah aise mtumishi wa mungu ni mtumishi tu hakika utawashinda nimekuelewa sana Mungu yupamoja nawe!

  • @williamfavour2982
    @williamfavour2982 6 ปีที่แล้ว +1

    Kayonza napajua vizuri sana hapo mtumishi wa Mungu pambana Kiroho kwa majaribu unayopitia

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverino 5 หลายเดือนก่อน

    Haya mambo wanahangaika bure, huwezi kumuonea mtumishi wa Mungu ukabaki salama, Mungu huwa hachezewi.

  • @solassichula1317
    @solassichula1317 6 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana Baba Askofu,Mungu wa mbinguni yuu pamoja nawe

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 6 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupiganie askofu wetu nchi hii imekuwa haitaki kweli na haki

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 6 ปีที่แล้ว +1

    kakobe ww nimuhubir mzur sana na mungu anakutumia lkn hapa kati umejiingiza ktk mambo ambayo hayajengi kanisA unakua kama umetumwa au kutumiwa

  • @muyumbasimba7035
    @muyumbasimba7035 6 ปีที่แล้ว +6

    Long live KIGOMA, I feel proud to be mwana~KGM tena MMANYEMA haswaaa... from both my parents!.

    • @fokasiinnocent3448
      @fokasiinnocent3448 6 ปีที่แล้ว

      MUYUMBA SIMBA kigoma akuna kabila LA manyema ,ukisema ivo ukiwakigoma wanajua we nimkongo tu!!mambo hYo dar .

    • @muyumbasimba7035
      @muyumbasimba7035 6 ปีที่แล้ว

      Wacha weeeee........., nacheka kimanyema khwaaaa... khwaaaaa..... khwaaaaa.... khwaaaaaa............

  • @thomasmhindi1469
    @thomasmhindi1469 6 ปีที่แล้ว +1

    Inawezkana hamuelew ,, RAIA n mtu gan,, hv mnadhan raia n mtu aliezaliwa nchini .... Its full story of living style of a person and uzalendo matters not kila mwenyej n raia

  • @tendatanzania8358
    @tendatanzania8358 6 ปีที่แล้ว +1

    Jamani serikali Kama mnaona kigoma sio Tanzania bhasi igaweni Burundi au iuzeni Kwa Burundi tujueni moja sio mnawapa vikwazo ndugu zetu

  • @georgebalele2129
    @georgebalele2129 6 ปีที่แล้ว +3

    Timing ni tatizo "kwa nini sasa au kwa nini baada ya.. "

  • @rebeccamoshi6549
    @rebeccamoshi6549 6 ปีที่แล้ว

    Watashindana lkn hawatashinda, kakobe ww ni mtu wa Mungu, omba sana Mungu ashuhulikee na hawa waovuu tumechokaaa

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 ปีที่แล้ว

    Kakobe pole sana sana wewe NI Mtanzania kabisa bila hata kujitetea

  • @stevenmamba2464
    @stevenmamba2464 6 ปีที่แล้ว +4

    Serikali ya kuwatafutia visa wananchi wake ni serikali ya kishenzi na ukweli utabaki ukweli. AIBU AIBU AIBU

  • @bibukaelias9900
    @bibukaelias9900 6 ปีที่แล้ว +1

    Kama mnaona cc watu was kgoma CIO was tz bac tuacheni cc na kgoma yetu ili tuwe nchi inayojtegemea coz hats maendeleo naona mmetuacha nyuma c km mikoa mingne

  • @nicolausekama5976
    @nicolausekama5976 6 ปีที่แล้ว

    Baada ya utoto na ukurupukaji wa tra na sasa immigration...kisa kukosolewa na kuambiwa watubu.Toba inawahusu wote Bila kujali vyeo vya duniani na vya muda.Hongera mtumishi.Mkuu aliepungukiwa na akili uwaonea Sana wake... mithali...

  • @wariobawtanzania5548
    @wariobawtanzania5548 6 ปีที่แล้ว

    Ukiona Institutions za serikali zikitumika isivyo badi inatia ugumu hata katika ulipaji wa kodi. Pindi wananchi watakapozinduka katika hili basinmambo yataenda sawa ila kwa sasa vibaraka wataongezeka

  • @hadija846
    @hadija846 6 ปีที่แล้ว

    Uonevu wa hari ya juu pole sana baba👍

  • @aliethlwaitama9592
    @aliethlwaitama9592 6 ปีที่แล้ว +3

    Watashindana lakini hawatashinda kamwe

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 6 ปีที่แล้ว

    Naipenda Tanzania yangu.
    Ila inanipa mawazo kwa jinsi inavyopelekwa

  • @stephanothomas3585
    @stephanothomas3585 6 ปีที่แล้ว

    Hawa watumish wa Mungu hawajawai kuteteleshwa kifalaa!!.. Wako imala km Safina....

  • @donaldnelson9226
    @donaldnelson9226 6 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupiganie wataangaika sana.

  • @sammabula7359
    @sammabula7359 6 ปีที่แล้ว +3

    nadhan serikali imekosa ubunifu...... inafanya vitu hadi watanzania wote tunajua kuwa ni figisu....... nadhan mnajiaibisha

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 6 ปีที่แล้ว +2

    Uhamiaji mnazingua ujue ?
    Yaani mtu ana miaka zaidi ya 70 hapa nchini eti leo ndio mnahoji uraia wa mtu ?
    Cha kushangaza anayehoji inawezekana anazidiwa hata historia ya nchi yenyewe.
    Mnazingua bhna tumewachoka

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana Ndugu yangu

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 6 ปีที่แล้ว +3

    Jifunze kuhubiri zaidi yahusuyo njia yakumuelekea mwenyez mungu na maisha baada yakifo siasa muachie gwajima

    • @hechechacha4032
      @hechechacha4032 6 ปีที่แล้ว

      Larick Mtui hujitambui kabisa

    • @larickmtui2852
      @larickmtui2852 6 ปีที่แล้ว

      Heche Chacha wewe unaejitambua point yako niipi au unataka nikupe Kiki?

  • @kajolomaganya6184
    @kajolomaganya6184 6 ปีที่แล้ว +5

    Haaha,,,viongoz wa srkl acheni mambo ya kitoto na kijinga ,,,kwani kigoma ni tz,,? Mnaing'ang'ania ya nini?

  • @hechechacha4032
    @hechechacha4032 6 ปีที่แล้ว

    Ninyi ccm mnasumbuka Sana kwa kweli na siasa za vitisho

  • @jummawetu
    @jummawetu 6 ปีที่แล้ว +3

    yayaya kweri watuludishie mkoa wetu burundi kwani story inaonyesha kwamba kigoma ilikua kwa inchi ya burundi namwenye alie saini mkataba na wajerumani angali hai burundi kwahio choko choko hizo italeta shida kwa mkoa wa kigoma ushahidi tunao

    • @willymartinmartin8885
      @willymartinmartin8885 6 ปีที่แล้ว

      jumma edward msenge we ko unataka utawaliwe n.a. nchi ndogo kuliko mkoa wako this is Tanzania kama mnampango na muhutu mwenzio muichukue kigoma mtakufa

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 6 ปีที่แล้ว

      Hahahahahahaha

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 6 ปีที่แล้ว

      willymartin martin Haujaelewa wewe. Huyo ni mrundi anasema sisi watanzania tuwarudishie wao mkoa wao wa Kigoma 😀😀

    • @fokasiinnocent3448
      @fokasiinnocent3448 6 ปีที่แล้ว

      jumma edward je mtwara au bukoba au ngara ,cjui wanarengo gani!!!

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 6 ปีที่แล้ว

    sasa mnatafuta laana kubwa kabisa" hivi Ras huoni haya kwa nini usikemee mambo kama haya mtumishi wa mungu anahangaishwa hivi mtaletea nchi balaa kubwa matapata majibu subirini

  • @allenikaduma1488
    @allenikaduma1488 6 ปีที่แล้ว

    Thanks

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 6 ปีที่แล้ว

    MUNGU IBARIKI TANZANIA

  • @ccmchadema8107
    @ccmchadema8107 6 ปีที่แล้ว +8

    kama vp wazishe viongoz yote adi rais wetu achunguzwe

    • @hudhud2022
      @hudhud2022 6 ปีที่แล้ว

      ccm chadema sawa sawa

    • @hudhud2022
      @hudhud2022 6 ปีที่แล้ว

      ccm chadema itakuwa wazo zuri kila mtu afanyiwe hivyo na kweli tunaona fahari kuwa Wazanzibari au Watanzania

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 6 ปีที่แล้ว

    many if not all Africans are not originally from where their ancestors came from.

  • @googleskills7049
    @googleskills7049 6 ปีที่แล้ว +1

    Angalieni sana enyi wenye dhamana mnachuma dhambi bure ,nayo dhambi itaitafuna taifa mbona mnalinajisi taifa kwani kuwabambikizia watu kesi kwanini mnaikataa kweli na haki

  • @ibrahimbalhawasel5458
    @ibrahimbalhawasel5458 6 ปีที่แล้ว

    KAKOBE NA AMINI UMIZALIWA TZ NA PIA NI MTANZANIA,LAKINI BIRTH CERTIFICATE KWA TANZANIA ZIMIANZA KUTOLEWA ZAMANI KIDOGO SIKUMBUKI WAMEANZA KUTOWA LINI,MIMI NIMIZALIWA 1956,NILITOA BIRTH CERTIFICATE 1971,KWA KUPELEKA BOMANI MASHAHIDI WANAO NIJUA.

  • @tendatanzania8358
    @tendatanzania8358 6 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe ndio maana yule dogo aliye mshitaki baba ake Antoni petro halikuchukuliwa kwa uzito sana Kwa sababu walidhani sio M-bongo Land Pole sana Tanzania Pole sana na ninajuta..

  • @chuimnyama9074
    @chuimnyama9074 6 ปีที่แล้ว +2

    BABA LAKINI SIULIWAITA WAJE WAKOPE HELA HIYO CHEZA NAO SASA KELELE ZA NININI????

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu9718 6 ปีที่แล้ว

    Hussein Bashe pia alihojiwa baada ya Kuwasema,,,,,,,,,,,, ,,,,,,,,!

  • @francolazaro8646
    @francolazaro8646 6 ปีที่แล้ว +9

    😂😂😂😂😂Nchi hii bhana... Wakishndwaga ndo wanasakizia uraia 😁😁😁😁😁😁😁...

    • @promramson80
      @promramson80 6 ปีที่แล้ว +1

      Fransis Paris 😀😀kweli kabisaaaa

    • @francolazaro8646
      @francolazaro8646 6 ปีที่แล้ว

      😂😂😂Waje wanikague na me maana Ata me sijielew elew na uraia😁😁😁

  • @hosearwechungura7164
    @hosearwechungura7164 6 ปีที่แล้ว

    Mungu akiwa upande wako, n nan aliye juu yako?

  • @neemambuja435
    @neemambuja435 6 ปีที่แล้ว

    ukitaka kuona maajabu Saba ya duniani hili nalo limo tena tz yangu ole wako uwambie akina nanihii ukweli utayalishe vyeti vya kuzaliwa la sivo

  • @afomabula8487
    @afomabula8487 6 ปีที่แล้ว

    mi nashangaa kwanini miaka yote hiyo hakuchunguzwa uraia wake mpaka alipoanza kukosoa?

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 6 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda punch moja ‘ ‘kama ni URAIA watafute kitu kingine’...!...Yaani Maana yake wanapoteza muda..!

  • @georgekayambaafrica2182
    @georgekayambaafrica2182 3 หลายเดือนก่อน

    Who is this man?

  • @josephinedavid3072
    @josephinedavid3072 6 ปีที่แล้ว

    Vumilia kidogo tuone mwisho maana NENO LA MUNGU LINASEMA HERI MWISHO WA JAMBO KULIKO MWANZO ,

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 6 ปีที่แล้ว

    Kule wakimbizi wengi na vile ulikosa uzalendo ,vile vile mbishi hivyo nikawaida tu sio ajabu tujilizishe ,

  • @afomabula8487
    @afomabula8487 6 ปีที่แล้ว

    Ni tatizo kubwa sn hili,bila ukosoaji nchi haitaenda

  • @djbizo425
    @djbizo425 6 ปีที่แล้ว +2

    serikali isiwasumbue watu wa #KIGOMa jamani

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 6 ปีที่แล้ว

    Viongozi wetu mnaongoza vizuri na tunawapenda.ila mbona mtu akiongea maneno ya kuwakera mnafanya figisu figisu? Hivi kakobe anazeeka ndio mnakumbuka Leo uraia wake? Mnatukera sasa

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 6 ปีที่แล้ว

    Mzee fanyakazi ya mungu achana na siasa mbona wenzenu nchi za nje wanajihusisha na dini tu siasa ni yawanasiasa nyie mnatakiwa kuombea amani tu nasivingine

  • @alibenhimidibenhimidi8982
    @alibenhimidibenhimidi8982 6 ปีที่แล้ว

    Hivi Kweli Idara Ya Uhamiaji Inaoujasiri Wa Kuwauliza Uraia Na Vyeti
    Vya Kuzaliwa Vya Mababu Na Mabibi Wa Marais Wote Wa Zanzibar
    Au Tanzania Bara ?. Wa Kabila La Wangazija Visiwani Zanzibar Wamo
    Katika Kusumbuliwa Bara Ana Nondo ,Mukizi Na Sasa Askofu Kakobe.
    Jenerali Ulimwengu Na Wengi Wengineo .
    Uhuni Huu Utaisha Lini ?.

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 6 ปีที่แล้ว

    Mi ni kuambi Ndugu hii nchi zuli sana nahaina ubaya usitie ubaya ,wala watumishi Wa MUNGU hawaku Fanya hivyo walikua watii nahii ni neno LA MUNGU

  • @ansigarkichenge3811
    @ansigarkichenge3811 6 ปีที่แล้ว +4

    Inaenda WAP tz? Nasogea goligota

  • @mancankwee5740
    @mancankwee5740 6 ปีที่แล้ว

    Tatizo serikal haitaki kukosolewa
    Ndo mana inakuja KWA NIN

  • @hechechacha4032
    @hechechacha4032 6 ปีที่แล้ว

    Yaani serikali inasumbuka na mtu mmoja tu kiasi hiki yaani mnatia aibu kwa kweli

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho5609 6 ปีที่แล้ว

    Lakini mzee si umeaita waje wakope hela kwako, ndo mwanzo huyo wewe mtumishi wa bwana kushinda mahakamani nadhani unajutiya kauli zako!

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 6 ปีที่แล้ว +1

    Lakini askofu Kiswahili chako ni cha kutafuta sana nini tatizo au laughs gani ambayo unatumia nyumbani kwako

    • @priscamangera5606
      @priscamangera5606 6 ปีที่แล้ว +1

      Omari Kessy we siumezoea kiswahili cha kijiweni we una mwona mtu wakijiweni huyo.?

  • @salaammtafya8790
    @salaammtafya8790 6 ปีที่แล้ว

    Mtumishi mwache bwana. Apigane

  • @harunmruma2291
    @harunmruma2291 6 ปีที่แล้ว

    Inatia uchungu sana, tujenge nchi

  • @saidiramadhan6237
    @saidiramadhan6237 6 ปีที่แล้ว

    mtihani huu sasa

  • @nurumahenge3836
    @nurumahenge3836 6 ปีที่แล้ว

    Lakini mtu hata Kama sio mtanzania Si anaruhusiwa kununua uraia wa nchi yoyote

  • @mohammedsalim6398
    @mohammedsalim6398 6 ปีที่แล้ว

    sawa tu ni vema Kama umetoa maelezo yako mzee

  • @kuchiafricancinema
    @kuchiafricancinema 6 ปีที่แล้ว +10

    Hahahaa mzee wanataka wakupeleke nchi gani?

  • @chriskitching4510
    @chriskitching4510 6 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza kitu Mimi mwenyewe Babu yangu akifa nitaomba Azikiwe sebureni

  • @amedeusikimey8040
    @amedeusikimey8040 5 ปีที่แล้ว

    mj

  • @anthonysubije4744
    @anthonysubije4744 6 ปีที่แล้ว

    Akinamagu na akinabashite waende uhamiajiiiiiiii

  • @MrSoftBrains
    @MrSoftBrains 6 ปีที่แล้ว

    Mtanzania ni nani?

  • @paulmmanda1783
    @paulmmanda1783 6 ปีที่แล้ว

    naanza kutumia kingereza tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu iko siku msiponieewa mtaniuliza uraia.

  • @juliuselifasi8858
    @juliuselifasi8858 6 ปีที่แล้ว

    Tz ingeuzwa2 kila mtu apewe chake ajue anaenda wap🏃🏃

  • @paulmmanda1783
    @paulmmanda1783 6 ปีที่แล้ว

    mwenyewe kaburi lako ni futi moja kwa tano, unautaka uraia wangu mtanzania mwenzako ukusaidie nini? upunguani mtupuu

  • @rosekingalu9930
    @rosekingalu9930 6 ปีที่แล้ว +1

    Babu passport hawAkupi 🤔😪wamekupa moyo uanshanga unapewa mwakan passport yako lol Tanzania 🇹🇿 yangu 😫

  • @yassinnmdaki1097
    @yassinnmdaki1097 6 ปีที่แล้ว

    Hakuna jipya,
    tumieni mbinu nyingine!

  • @almulkukwiha5285
    @almulkukwiha5285 6 ปีที่แล้ว

    Ww ndo unaona umeguswa Masheh Wa Zanzibar wako wapi

  • @kasongolugina6907
    @kasongolugina6907 6 ปีที่แล้ว

    Mbona mtukufu ulaia wake ni Wa mazhaka ole wako labda ufie madalakani

  • @RAUNATION
    @RAUNATION 6 ปีที่แล้ว

    Hii nchi niyavigogo sio ya wannchi

  • @upendorobert7298
    @upendorobert7298 6 ปีที่แล้ว

    mbona Mbeya hawaambiwi ni wa ZAMBIA, au WAMALAWI? why kigoma tuu?

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga7455 6 ปีที่แล้ว

    Arudi kwao Burundi yeye na Nondo

  • @masudiitembele5414
    @masudiitembele5414 6 ปีที่แล้ว

    mzeee piga albadili uteketeze wote wanao onea watu WAMETUCHOSHA bhanaaaa

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 6 ปีที่แล้ว +4

    Kwakweli serekali ytu inapotea

  • @adamkindole9734
    @adamkindole9734 6 ปีที่แล้ว

    Wakupeleke sasa wanakojua ni kwako

  • @evodiusezekiah768
    @evodiusezekiah768 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyu si mtu wa mchezo mchezo

  • @hechechacha4032
    @hechechacha4032 6 ปีที่แล้ว

    Ina maana askofu kutoa mawazo mbadala amekuwa sio raia

  • @kingommy2393
    @kingommy2393 6 ปีที่แล้ว

    😂😂😂 itabidi iwe operation ya nchi nzima inawezekana na yeye ni wa huko maana hatupati story ya hospital alio zaliwa

  • @chassesinamba3561
    @chassesinamba3561 6 ปีที่แล้ว +3

    jpm naetujue uraia wake wazinza niwahutu kabisa wamehamia mwanza auwakimbizi wamepandikizwa inchi zamaziwa makuu

    • @wilhelmibaganisa8143
      @wilhelmibaganisa8143 6 ปีที่แล้ว

      chassesi Namba Acha ushamba ww wazinza siyo wahutu , wazinza chimbuko lao ni kutoka Nkole (buganda empire) sasa Uganda !! enzi zile za miaka ya 18000 !! miongoni mwa makabila ya asili mkoa wa mwanza ni wasukuma , wazinza na wakerewe!! wazinza si wahutu!! thuswhy wazinza lugha na utamaduni wanaendana na Wahaya!! wazinza wako Sengerema mwambao mwa ziwa victoria kisiwa cha kome , geita, chato!!

    • @jeffcash5437
      @jeffcash5437 6 ปีที่แล้ว

      Kwikwikwikwi

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 6 ปีที่แล้ว

    samahani jk

  • @nahodahamis9014
    @nahodahamis9014 6 ปีที่แล้ว

    Bado magufuli ajifunze siasa

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 6 ปีที่แล้ว

    Mie wakiniita tawaambia raia wa Uswis tuone kama watanipeleka.

    • @imnially3242
      @imnially3242 6 ปีที่แล้ว

      Hamad Shein ha ha ha haa!!! Umeniacha hoi!!!

    • @henryndosi8569
      @henryndosi8569 6 ปีที่แล้ว

      Inakuwaje wakuhoji tangu zamani? Ina maana wana mashaka na wewe, acha kujishika na watu wengine mzee, usihojiwe wewe ni nani acha ujanja ujanja

  • @ibrahimally6455
    @ibrahimally6455 6 ปีที่แล้ว +1

    Ahahhahahahahhahahaha ndii ndo Tz bna tunaelekea kma Rwanda 😂😂😂

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy 6 ปีที่แล้ว

    ha ha ha haaaaaaaa. Eti kiswahili changu ni kizuri kuliko cha wale waliokuwa wakinihoji. Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @isayajohnson2150
    @isayajohnson2150 6 ปีที่แล้ว

    Yaani mtumish ni kwamba ww kiswahili chako ni kizuri kuliko cha hao wanaokuhoji? 😂😂😂😂

  • @kingkiwango1435
    @kingkiwango1435 6 ปีที่แล้ว

    Jamn watz tunaenda wap

  • @nyamitmm1227
    @nyamitmm1227 6 ปีที่แล้ว

    Unafiki mkubwa wa serikali

  • @kingommy2393
    @kingommy2393 6 ปีที่แล้ว

    kibila wazebanga hata wewe uende kwenu Kongo

  • @kingommy2393
    @kingommy2393 6 ปีที่แล้ว

    vpi bashite kaonyesha

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko4383 6 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana mtumishi wa shetani

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko4383 6 ปีที่แล้ว

    Jeshi gani ulojiunga tapeli mkubwa ww😞

  • @lameckbalekele2901
    @lameckbalekele2901 6 ปีที่แล้ว +1

    Maasikofu hawa nikama nabii tito

    • @mariamfaki1166
      @mariamfaki1166 6 ปีที่แล้ว

      Lameck Balekele 😀😀😀

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman2663 6 ปีที่แล้ว

    ZANZIBAR MTOTO AKIZALIWA TU NDANI YA MIEZI 3 ANAPATIWA CHETI CHA KUXALIWA, NASHANGAA SANA MTU ANAFIKIA KUWA MZEE TANGANYIKA ANAKOSA CHETI CHA KUZALIWA,JIPANGENI NDUGU ZANGU.

    • @MultiMbongo
      @MultiMbongo 6 ปีที่แล้ว

      rashid suleiman kwa Nini hujaelewa mbona kaeleza.mwaka 1955 hiyo Zanzibar ilikuwa pengine hata karatasi walikuwa nazo waarabu tuu

    • @jamessebastian8024
      @jamessebastian8024 6 ปีที่แล้ว

      rashid suleiman rudia kumsikiliza vizur birth certificate imeanza kutolewa mwaka 1981 yeye kazaliwa 1956 sikiliza kwa makini kaka

    • @chuimnyama9074
      @chuimnyama9074 6 ปีที่แล้ว

      HILA WEWE ULIWAHITA MWENYEWE NDOOO WAMEKUJA SASA ANGAIKA NAO SASA BABA MCHUNGAJI

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 6 ปีที่แล้ว

    Natamani ningezaliwa Oman maana hakuna mitafakaruko baina ya serikali na wananchi wake.