Kiukweli wimbo huu wa Amani naupenda sana na unafundisha sana maana pasipokuwa na Amani Taifa huangamia MWENYEZI MUNGU azidi kuwatumia, kuwabariki na kuwazidishia ubunifu katika utunzi wa nyimbo BARIKIWENI SANA AMEN.
Miaka kadhaa iyopita najiona mm na ndugu zangu tumejipanga tunaucheza huu wimbo hapo microphone n magunzi ya mahindi honestly nilikua sielewi kitu by now naelewa n nn tulikua tunamaanisha
Naomba mwalim wa kwaya hii wa enzi hizo anitafute fecbuk ama huyo mama solo au wote wawili pamoja luben au mweye mawasilino nao Wimbo hu huwaga Unanibalik sana na kuimalisha iman yangu. Saana tu jina la fecbuk natumia mashaka thomas. Asanten watumishi. wa MUNGU !
More than 10yrs and still enjoy this song
Kiukweli wimbo huu wa Amani naupenda sana na unafundisha sana maana pasipokuwa na Amani Taifa huangamia MWENYEZI MUNGU azidi kuwatumia, kuwabariki na kuwazidishia ubunifu katika utunzi wa nyimbo BARIKIWENI SANA AMEN.
Tunaomba mtuwekee Ile album inaitwa.... NURU YA BWANA IKO NA WENYE HAKI
Amani ni kitu cha muhimu kwa nafsi ukiwa na yesu
I kwaya zamn nmechek i think km myak 7 imepit Leo ndo nzion yutub kwaya nzur San 😘😘Aman ni Kwa Yesu
Miaka kadhaa iyopita najiona mm na ndugu zangu tumejipanga tunaucheza huu wimbo hapo microphone n magunzi ya mahindi honestly nilikua sielewi kitu by now naelewa n nn tulikua tunamaanisha
Mnafanya vizuri sana
Amina
Naomba mwalim wa kwaya hii wa enzi hizo anitafute fecbuk ama huyo mama solo au wote wawili pamoja luben au mweye mawasilino nao Wimbo hu huwaga Unanibalik sana na kuimalisha iman yangu. Saana tu jina la fecbuk natumia mashaka thomas. Asanten watumishi. wa MUNGU !
Kwa kweli, nyimbo zenu nazipendaga. Mbarikiwe zaidi.
kiukweli may God bless you all who sing this son
Mungu awabariki sana mwandui wimbo mzr sana maana bila amani nishida tupu amen.
wimbo wazamani ilakwangu haujachuja naupenda sana solelist huko vzr mno from Dvc
good is love
wimbo uko nc kweli amani
Huu wimbo unaweza kukuliza aisee mama amesolo kwa uchungu sana:
Me nilikuwa nalia kweli nikiuangalia
Amen barikiwa sana
2020 Naitazama vya zaman dhahabu an
Nimesikiliza hadi nimemiss nyumbani
Mbarikiwe sana watumishe
Tumtumikie bwana kwa kumuomba
Natamani hii team irudi tena , japo haiwezekani ilikuwa tamu sana enzi hizo
mubarikiwe sana
Amani uko wp
@mwendethe
Mnafanya vizuri sana
kiukweli may God bless you all who sing this son
Tumtumikie bwana kwa kumuomba