JINSI YA KUISHINDA DHAMBI YA UZINZI-SEHEMU YA NANE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ต.ค. 2024
- Mfululizo huu wa Mada ya Jinsi ya Kuishinda dhambi ya UZINZI inayofundishwa na Mwalimu Dickson C Kabigumira wa Kanisa la ABC, Utakuwa ukikujia kupitia chaneli hii, Tafadhali subscibe kwenye chaneli yetu uwe wa kwanza kupata mafundisho mapya kila yakiwekwa.
Asante mtunishi wamuguu
Nikweli Mungu atusaidie
Tuepuke, zinaa, uasherati na uzinzi maana atendea dhambi hizi unajinajisi mwenyewe.
1 Wakorintho 6:18
Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe
Nikweli Mungu atusaidie