Mtoto mchanga wa miezi mitatu aibwa viungani mwa mji wa Kisii
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
- Maafisa wa DCI mjini Kisii wanamtafuta mwanamke mmoja anayedaiwa kuiba mtoto mchanga wa miezi mitatu eneo la Nyankongo viungani mwa mji wa Kisii. Mshukiwa ambaye anatambulika kwa jina la Ruth Obare anadaiwa kutoroka na mtoto huyo wakati mamake akiwa mtoni. Mzazi wa mtoto aliyeibwa alikuwa amewaacha watoto watatu nyumba alipoenda kuchota maji.
Poleni Sana wacha tuwe na Imani atapatikana
May God keep my lil cousin safe 🙏
Uzuri anajulikana atatoa mtoto mahali alipeleka
Poleni sana Bora asimwue
Inauma sana lakini tuombe mtu awe hai
Mungu aingie wapate mtoto
Waaaa Kenyan my people what's wrong with our country
Huyo itaingia tanzania
Siku hizi kama ujui mtu akuna kukalibishwa kwa area yaani mpaka mashambani wezi watoto wameingia
Hata wale unawajua usiwaamini
She is well in Jesus name
Kwa, hii duniya hakuna kuamini mtu, ni heri huwe na roho ya mnyama
Kweli dunia inaisha na hii Tabia iko kote duniani hadi mauaji
Wololo rudisha mtoto
Tena jameni?
Ngai woi jesu
Mwathani