Hali ya taharuki yatanda kijijini jogoo kaunti ya Kisii
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
- Mwili wa manamke mmoja aliyeuwawa huko Kisii umesalia kwenye makafani kwa miaka mitano kufuatia switafahamu inayoendelea katika kijiji cha Jogoo viungani mwa mji huo. Kwa mara ya tatu sasa, Polisi walilazimika kurejesha mwili huo mochari baada ya wanakijiji kukataa uzikwe.
Sad
Akiwakizii
5 years surely
0
Where is Simba
5 years surely?? can u make the body go yawah... let her soulf rest please