Wanaomfahamu jamani kuweni nae karibu tusije tukasikia mengine . Kama maisha mgumu ni kwa kila mtu aisee. Nisher mwenyew kajimaliza wakati kwao kuna chemchem ya Hela. Money is not everything in life japo maskini wengi tunasema hela ndio kila kitu . Kaeni nae huyu mtu ana depression 😢😢
@@officiallnobystar Mtu hataki kutembelea watu. Hajishughulishi na suala lolote la kijamii, hapokei simu hadi ajisikie, hataki kazi hadi atake mwenyeewe. Utakosa SONONA? Mjivuni hajawahi kuvuka bahari yake salama!
I am not judging,let no one come after me,i am just saying,since many artists have joined the dark side,i think he joined unwillingly,and now he is regretting,and he cant get out, Its just sad,😪he is battling somwthing very strong, Maombi yangu na yetu sote,atatoboa inshallah,
Pole sn jay menlod sisi hatuwezi kujuwa kitu kinacho. Kusibu wewe mwenyewe ndio unajuwa mungu akutie nguvu insha'Allah 🙏🙏🙏🙏 mashabiki wako tunakupenda sn ❤❤❤❤❤❤❤
Very true maisha you can have all but it not everything. JOY it everything . Jay Melody stay strong life it not straight you have to know that ,may be ur troubles are very small if you hear people story ur can know people they have alot.Your gomaa are all🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥nakupa 💯 kwa ngoma zako stay strong 💖
Naimani Hilo jaribu sio la.kwanza kwako, ,yalikwepo kabla ya Hilo na yakapita ,na Hilo nalo litapita Kwa uwezo wa mungu ameen.pole.sana J,melody, Umeshashinda, nakuombea uzidi ku shine, ameen
MAISHA BWANA, VITU VINGI TUNAVYOWAZA TUKIVIPATA NDIO VITATUPA FURAHA, VIKIJA NDIO VINAKUA SABABU NYINGINE YA MAUMIVU, Nilichojifunza ni kua maisha hayatokuja kua mepesi hata kama una kila kitu, hii vita ni endelevu mpaka siku tunafukiwa chini, hivyo ukipata nafasi ya kufurahi furahi, usisubiri wait for Nothing. Mungu akutie nguvu jay
Pole Jay kitu pekee ni kumtanguliza mungu ktk kila Jambo lako baada ya hapo fanya kazi zako mungu atakulinda na utazid kufanikiwa maana usikate tamaa mashabik tunakpnd
Duuuh Jay nn kimekukumba kam n matatizo n kawaid tu Coz ss huko tumepita n kufanikiw but nikwambyy kitu muomb san God akupe wepes ww bad mdogo kam n bby wako achn nae we struggle ili uzid kuw n lifestyle nzur ww pmbn mbn Mondi kapambn n hela anaz n kumwag ebu angalia success people walipitia magumu kuliko ww
Search kitu kinaitwa depression af uje uongee tena. Sometimes hata uwe na maisha mazuri kias gan ukiwa huna aman haisaidii kitu. Watu wake was karibu wamuangalie sana huyu
Pole brother mungu yupo nawe pia jitahidi kuwavalisha madada wenzangu nguo za stara kwani hao walioanza muziki walifika mbali na hawakuwahi kuvaa nguo za uchi ❤🎉
Kuna wakati unapitia magumu mpaka unajiuliza MUNGU uko wap lakin all in all MUNGU hajawahi kulal yupo na anasikia na kuona but sometimes huacha yatukute ili tupate funzo pole broo talk to GOD
Pole sn, Ni kweli kuna mambo huwezi shirikisha kila mtu lkn wazazi km wapo, wambie, na pia Tafuta Kiongizi wa dini ambaye ana imani thabiti atakusaidia, Pia wanasaikilojia, Usikae nalo peke yk, Hakuna gumu mbele za Mungu 🙏
@@zawadibernard8232kiaz akat anasema kwel mm nandg yangu msanio mkubwa tz maisha yake anayoish n tabu tupu anaonyesha furaha kweny media lakn kiuhalisia hana furaha n mtu w kafara sna. Hao wasanii wengi wnahit kwa damu za watu kafara na mashart makali wengne wnafirwa ndo wahit
Pole sana kaka mungu akujalie wepesi palipo na ugumu usilie swali umuombe Allah twakupenda sana mitihan ni sehm ya maisha usikate tamaa usikubali shetani akutawale mshinde na mungu atakusimamia utakua imara😢😢😢
Hizo ni stress za mziki kukutana na watu wengi kila mara kinamfanya mtu apate stress, mimi mwenyewe kama nikikutana na watu wengi huwa napata stress mbaya mpaka ninakuwa na mawazo mengi usiku nashindwa kulala maana yake mimi sipendelei kuzungukwa na watu na wala sipendi kukutana na watu mara kwa mara na sijazoea ndiyo maana huwa napata stress sana kama nikiwa na mda wa kukutana na watu na kuna sababu ilinifanya nione tabu kukutana na watu cha kwanza kuna kitu kinachofanya nisimuamini mtu yeyote sababu kuna kipindi nilipitia wakati mgumu sana
Umarufu ni sawa na arufu... Lkn kuna garama jmn muelewen ni kwamba ana kila kitu lkn ana aman unafikir ni kwann.? Shetan shetan vijana wengi upenda kupata mafanikio harakaaraka matokeo yake ndio hayo
Msiingie kwenye Freeman's vijana, Sasa mnatakiwa mtoe mvipendavyo, Sasa ndo shida hiyo, 20percent Mnamcheka alivyoukataa utajiri huo, Sasa mmoja mmoja vijana wa kisasa mtafunguka tu
kaka UNAJUA👌🏾👌🏾👌🏾👌🏾MashaAllah!Whatever kinakukatisha tamaa,Take it as a challenge to move on,Kisichokuua kinakuimarisha...umekwisha imarika,songa mbele mkuu.Mungu akutangulie.Amina
Tatizo la hawa wasanii wanatumia sana kick kujitangaza . Kwaiyo mtu anapokuwa na changamoto watu hawaamini kwasababu wajua wasanii ni waigizaji wakubwa.
venasa quited😢 kwa shetani sheria ni moja tutumie tukutumie.. mwendo ni ule ule mwendo wa makafara😂 bona ulie 😢 ila kiki tu labda ataka kuachia ligoma libovu😅
Wanaomfahamu jamani kuweni nae karibu tusije tukasikia mengine . Kama maisha mgumu ni kwa kila mtu aisee. Nisher mwenyew kajimaliza wakati kwao kuna chemchem ya Hela. Money is not everything in life japo maskini wengi tunasema hela ndio kila kitu . Kaeni nae huyu mtu ana depression 😢😢
Hv nisher kajiua mwenyew
@@Zainab-sq1tcYah Alijiuwa Sema Wameficha Tu Taarifa za Mwanzo Kabisa ndizo Zenye Uwakika Nisher Alijiuwa Mwenyewe Yes
@@officiallnobystar Mtu hataki kutembelea watu. Hajishughulishi na suala lolote la kijamii, hapokei simu hadi ajisikie, hataki kazi hadi atake mwenyeewe. Utakosa SONONA? Mjivuni hajawahi kuvuka bahari yake salama!
Nisher hakufanya hivo
@@winygidarossa9472 Hakufanya nini?>
Jey pambana❤❤🎉
Depression is real be strong bro. Life is not easy to everyone
Siku 2 mtasikia mtu kajiua haijulikani kisa kumbe maumivu anayajua mwenyewe hali gani anayopitia Subhannallah Mwenyezi Mungu amlinde kwakila baya nampenda huyu kaka mie 😢
Nakupenda unashida Jamani
Mungu akutie nguvu bro Jay, kwenye maombi yenu watanzania wenzangu tusimsahau kaka yetu, Mungu pekee ampe faraja kupitia sisi
I am not judging,let no one come after me,i am just saying,since many artists have joined the dark side,i think he joined unwillingly,and now he is regretting,and he cant get out,
Its just sad,😪he is battling somwthing very strong,
Maombi yangu na yetu sote,atatoboa inshallah,
Anza kusali man, God is there always waiting. Meditate on God's promises
Infact broo
WACHAWI SIO WATU 😢😢😢😢😢❤
Washa MUANZA WATAMUUA MTT WA WATU😢😢❤❤❤
Yaan wanadamu ukipata hawafrahii
Pole sn jay menlod sisi hatuwezi kujuwa kitu kinacho. Kusibu wewe mwenyewe ndio unajuwa mungu akutie nguvu insha'Allah 🙏🙏🙏🙏 mashabiki wako tunakupenda sn ❤❤❤❤❤❤❤
Be strong Brother 💪
God is there for you 🙏🏿🙏🏿🙏🏿 be strong bro
We love so much may God be with you ❤️❤️❤️
Sehemu pekee yenye furaha ya kweli ni kumwamini Mungu tu
Okoka na umwimbie Mungu utapata peace of mind na furaha ya Kweli
Unajua maana ya kuokoka kaka 😂😂
Nndiyoo anajua ndo maana kasemaa
@@niffonlinetz7214wewe kwani unajuaje kuhusu kuokoka?
Very true maisha you can have all but it not everything. JOY it everything . Jay Melody stay strong life it not straight you have to know that ,may be ur troubles are very small if you hear people story ur can know people they have alot.Your gomaa are all🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥nakupa 💯 kwa ngoma zako stay strong 💖
Naimani Hilo jaribu sio la.kwanza kwako, ,yalikwepo kabla ya Hilo na yakapita ,na Hilo nalo litapita Kwa uwezo wa mungu ameen.pole.sana J,melody, Umeshashinda, nakuombea uzidi ku shine, ameen
Amen 🙏
Huyo anataka tu kutoa album
Jamani sijawai kupata like 30 naomba leo mnisaidie nifikishe Mimi ni wa kwanza ata kumshinda Alie posti🎉🎉
Zinakusaidia nn 😂😂
😂😂😂
Huna akili
Kweli dunia imeisha😢😂
Binadam mwenzako anapitia wakati mgumu, wewe unawaza kupata likes za kutosha😢😢😂😂
Freemason wanataka chao nn
Pole jay usikate tamaa mtangulize mungu kwakila jambo katika mafanikio lazima utakuta misukosuko mapambana jepes liko mbele
Pole mwaya Muombe Mwenyezi akupe nguvu na furaha pia akutangulie katika kazi zako tunakupenda sana jey
Pole sana jay mung akusimamiee❤❤ inshaallah 🙏🙏🙏
DEPRESSION IS REAL
love jaemalody everyday❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤music
Jamn jay usiache muziki mm pia ni shsbiki yako napenda sana nyimbo zako❤
This guy needs Love 😢❤
mm huwa nampenda huyu kak
Oh pole sanaaa,mungu atakufanyia wepes inshallah
Wewe kama umeshaingizwa kwenye ulimwengu wa kumtumikia shetani pole sana unapata pesa ila huna furaha
Mapenz yanaumiza
Haters wanna smoke him alive..... don't hold back big bro and very sorry for what ur goin through 😮😮
MAISHA BWANA, VITU VINGI TUNAVYOWAZA TUKIVIPATA NDIO VITATUPA FURAHA, VIKIJA NDIO VINAKUA SABABU NYINGINE YA MAUMIVU, Nilichojifunza ni kua maisha hayatokuja kua mepesi hata kama una kila kitu, hii vita ni endelevu mpaka siku tunafukiwa chini, hivyo ukipata nafasi ya kufurahi furahi, usisubiri wait for Nothing. Mungu akutie nguvu jay
Never giveup na muombe Mungu akusaidie bro jay
Keep God first my bro, evrthng gonna be alrgth.🤝
Mungu akupe wepesi mtoto mdogo❤
Pole Jay kitu pekee ni kumtanguliza mungu ktk kila Jambo lako baada ya hapo fanya kazi zako mungu atakulinda na utazid kufanikiwa maana usikate tamaa mashabik tunakpnd
Duuuh Jay nn kimekukumba kam n matatizo n kawaid tu Coz ss huko tumepita n kufanikiw but nikwambyy kitu muomb san God akupe wepes ww bad mdogo kam n bby wako achn nae we struggle ili uzid kuw n lifestyle nzur ww pmbn mbn Mondi kapambn n hela anaz n kumwag ebu angalia success people walipitia magumu kuliko ww
Sasa una pesa una kila kitu maisha yanakuwa mabaya haya tuseme umepewa magonjwa au
😮Ndo hapo sa
Search kitu kinaitwa depression af uje uongee tena. Sometimes hata uwe na maisha mazuri kias gan ukiwa huna aman haisaidii kitu. Watu wake was karibu wamuangalie sana huyu
@@annahjuliusy3211 ni search ww
Pole brother mungu yupo nawe pia jitahidi kuwavalisha madada wenzangu nguo za stara kwani hao walioanza muziki walifika mbali na hawakuwahi kuvaa nguo za uchi ❤🎉
We love you so much keep on focus ❤❤❤❤
Ukiw maarufu vita huwa kubwa 😢
last show yake ilikuwa huku kwetu kenya lamu island culture festival after hapo kurudi tz katangaza kuacha mziki ila ni life tu
Use""
Kuna wakati unapitia magumu mpaka unajiuliza MUNGU uko wap lakin all in all MUNGU hajawahi kulal yupo na anasikia na kuona but sometimes huacha yatukute ili tupate funzo pole broo talk to GOD
Nakupenda mtoto wangu mungu akupe faraja unayopitia ni daraja tuu mkabidhi mungu kila jambo lako
mziki una ushetani mwingi sana..
Freemason hkunaga furaha wazee
Hisia hazijifichi aise mungu akuepushe bro na mazonge
Sasa kama unapata pesa na mungu kakaubarik maisha yanakuw magum kivp
Tumtafute Mungu tajiri wa AMANI , ya ulimwengu hayawezi kukupa AMANI
Nilichogundua jay melody anahisi Kuna baadhi ya Watu anawapenda ila wao hawamuoneshii upendo😢😢 depression is really jamani apate mtu wakuongea naye
Just focus👀, everything will gona be allright .we mwanaumee mwanangu jikazee.god bless u moree🙏
Pole sn, Ni kweli kuna mambo huwezi shirikisha kila mtu lkn wazazi km wapo, wambie, na pia Tafuta Kiongizi wa dini ambaye ana imani thabiti atakusaidia, Pia wanasaikilojia, Usikae nalo peke yk, Hakuna gumu mbele za Mungu 🙏
Antaka atoe Album
duhh pole sana jay but take care tafuta mtu wakuwa nae karibu, coz i afraid hiyo hali yako usipate baya
Tatizo la wasanii wengi wanachukuliaga easy sana kuuza soul zao lwa shetani kutaka umaarufu lakin wakishaingia deep sana ndo hayo ya desperation
Nakubali kaka asilimia 100%
@@imatisatv9239kabisa
We ni kiazi
@@zawadibernard8232kiaz akat anasema kwel mm nandg yangu msanio mkubwa tz maisha yake anayoish n tabu tupu anaonyesha furaha kweny media lakn kiuhalisia hana furaha n mtu w kafara sna. Hao wasanii wengi wnahit kwa damu za watu kafara na mashart makali wengne wnafirwa ndo wahit
Kweli kabisa,huenda kaambiwa mda wa kutoa kafara umefika hahaha kimbilia Kwa yesu kaka
Ni mapenzi ndy bro lkn tft mwngn sy lazm kuwa naye pole
Jay usinichanganye,tambua kuwa hata mwanangu nimempa jina linaloanza na jina lako la usanii.
Mungu akupe wepesi uondokane na hiyo hali.
Pole sana kaka mungu akujalie wepesi palipo na ugumu usilie swali umuombe Allah twakupenda sana mitihan ni sehm ya maisha usikate tamaa usikubali shetani akutawale mshinde na mungu atakusimamia utakua imara😢😢😢
Pole
But Why...?😞
Atoe tu hiyo mpya song asitutishe
Free hao😢 wanaanza kumfos ukute
Pole San jmn
Mwombe mungu sanaaa kakaangu,,,atakusaidiyaaa
Sasa uwezi kumwambia kila mtu unachopitia kwenye mitandao unatulilia ili iwaje siulie ndani mwenyewe😅
😅😅😅
@@amedeuskimario8895 kiki
😢😢Astaghafirulillah Mungu akusamehe coz hujui anachokipitia mwenzako subr yakukute ndo( utakumbuka kutia maji na za kwako ) utamalizia hiyo👆
Hizo ni stress za mziki kukutana na watu wengi kila mara kinamfanya mtu apate stress, mimi mwenyewe kama nikikutana na watu wengi huwa napata stress mbaya mpaka ninakuwa na mawazo mengi usiku nashindwa kulala maana yake mimi sipendelei kuzungukwa na watu na wala sipendi kukutana na watu mara kwa mara na sijazoea ndiyo maana huwa napata stress sana kama nikiwa na mda wa kukutana na watu na kuna sababu ilinifanya nione tabu kukutana na watu cha kwanza kuna kitu kinachofanya nisimuamini mtu yeyote sababu kuna kipindi nilipitia wakati mgumu sana
Duh
introvert
Umarufu ni sawa na arufu... Lkn kuna garama jmn muelewen ni kwamba ana kila kitu lkn ana aman unafikir ni kwann.? Shetan shetan vijana wengi upenda kupata mafanikio harakaaraka matokeo yake ndio hayo
mpk mtu alie hiv ni mbaya sana😢😢😢sababu nilipitia huku 🙌🙌🙌🙌
Umeongea kweli aky waezakuta amepewa Fila moyo Sasa roho ya tanga maskini lkn mungu amjalie wepesi au unakuta ni jitoto la kike ndio linamtesa ivyo
Kaka ukiona mizinguo piga nguba tu maisha mengine yaende
Sema shida nn usaidiwe
Pole kaka muombe Mungu Sanaa
Nini jamani Jey mungu atakurinda kikubuaah nini😢😢
❤❤❤❤ ila pole mungu akupe uvumilivu na uyashinde unayo pitia kwa nguvu za allah
😢 Pole. ila km mganga wko kakutoa mdiso ndio masharti yke ili ufanikiwe bc jua kuwa shirki ndio mbaya hata mungu hapendi
Stay real imba vitu ambavyo vina saidia community usipo fanya ivyo this stress and evil stuff hazito kuacha
Mkimbilie mungu....mungu ni muweza wa yote
Twakupenda weh akha mpenzi weh kwako hatujiwezi we my pole ni mthihani tu huo lkn munqu yupo utaivuka mthihani usijali
Mapnz yanakusumbua acha ujinga nyee ndio znakuutesa😊
I think ni mapenzi sema kka simama imara focus na maisha kaka mungu atakupa mtu sahihi
Pesa hainunui furahaaa haujiaminii mdogo wanguu
Get on spiritual life
Tatz bongo kurudishana nyuma ndo kinacho uwa wanii wetu kuna wananii hutegemea nyota zawatu ili wafanikiwe
Mpe Yesu maisha Yako
sasa akimpa yesu maisha alaf yeye abaki na nin 😊😊😊
Kwa hiyo yesu kashakup ampe maish yake yy akazimu yesu arud ww unaumwa
Kazi za kishetani ,ni kuwa mtumwa spiritually ,,,unateseka na hela zako mfukoni...ndo mana vanesa kakimbia..
Jamani jei meroddy2
Sasa mbona chanzo Cha hayo yote huongei
Usiri ni mbaya bwana jay sema usaidiwe kaka
😢😢😢
Akili ya biashara haipo na yupo kwenye game kitambo sana na management yake pia haiko properly. We collabo gani ile na phina bro?!
Au antaka kutrend kupitia depression zake
Tatizo Mashariti aliyo pewa ndo magumu .ko ndo mana haelew
😂😂😂
Yaya big
Msiingie kwenye Freeman's vijana, Sasa mnatakiwa mtoe mvipendavyo, Sasa ndo shida hiyo, 20percent Mnamcheka alivyoukataa utajiri huo, Sasa mmoja mmoja vijana wa kisasa mtafunguka tu
Kiki 😂😂😂😂 nategemea kuna ngma una kuja
Depression is real ndugu yangu usiombe yakukute. Muhimu tumuombee
Kama kweli una pesa na huna raha bac kimbilia kwa mungu wako pengine umemsahau sana. Mungu akupe utulivu wa fikira na moyo.
Pesa sio kila kitu
Mmmh...!
Atakuwa kaachwa jamani 😢😢😢 ndo kinachowatesa watu saivi mapenzi pole jay jamani MUNGU NA AKUPE UJASILI uyahinde hayo magumu 😢😢
na alishawahi kusema kaachwa ndy
kaka UNAJUA👌🏾👌🏾👌🏾👌🏾MashaAllah!Whatever kinakukatisha tamaa,Take it as a challenge to move on,Kisichokuua kinakuimarisha...umekwisha imarika,songa mbele mkuu.Mungu akutangulie.Amina
Amina 🙏🙏
Washampiga na kitu kizito watu wabaya na mziki usiache jay wangu please pambana nao❤
Yeyote alie gundua kama jay melody amelewa anipe likes zangu❤
Tatizo la hawa wasanii wanatumia sana kick kujitangaza . Kwaiyo mtu anapokuwa na changamoto watu hawaamini kwasababu wajua wasanii ni waigizaji wakubwa.
Always j melody hana Kiki ni msanii mwenye nidhamu na heshima ata maisha yake sio ya mtandaoni sana wala maigizo
venasa quited😢 kwa shetani sheria ni moja tutumie tukutumie.. mwendo ni ule ule mwendo wa makafara😂 bona ulie 😢 ila kiki tu labda ataka kuachia ligoma libovu😅