Assalam Aleikum mambo yamekwenda vizuri kilicho haribu mambo yote ni hizo kucha ndani umejaa uchafu wa kila aina hata ukinawa kwa sabuni hujawa msafi dawa yake uzikate kama za kubandika ndio balaa zaidi uamuzi uko kwako lakini ujue unalisha watu uchafuuuuu!!!!!
@@magrethmlewa3422 huu ndio ujinga wacha watu wafanye mambo yao kama haya ya mtoto kaingiliwa na baba yake kaka kamuowa dada yake tena anatolewa kwenye mitandao anahojiwa halafu anajibu mtoto mzuri kama huyu nimeona hasara aolewe na mtu baki Subhana Llah nyie wapigieni debe mtayakuta na mtaulizwa hata ikiwa kafiri Mungu ni yuleyule mmoja.
@@magrethmlewa3422 huyu ni mwanamke ndio ukaingia kati kujibu angelikuwa mwanamme ungetia lako au unataka akupende kwa kumtetea? Wewe hujui kama kuna watu wakienda haja wanapangusia karatasi au jiwe sasa huyo akusukumie chapati itakuwaje utasema unahisi harufu ya hiliki au karafuu?
Salam tuandikie vipimo unga wa maziwa vijiko vingapi? sukari chumvi? Maji glass ngapi? Mafuta? Na huyo jogoo hana heshima anapiga kelele au anataka chapati mpe mimi nitalipa.
hongera sana dada ang unapka vzur sana
Nashukuru mungu sasahv nimekuwa mtaalamu wakupik chapati
Assalam Aleikum mambo yamekwenda vizuri kilicho haribu mambo yote ni hizo kucha ndani umejaa uchafu wa kila aina hata ukinawa kwa sabuni hujawa msafi dawa yake uzikate kama za kubandika ndio balaa zaidi uamuzi uko kwako lakini ujue unalisha watu uchafuuuuu!!!!!
Ila watu mmezidi ujuaji kwenye maisha ya watu unakula wewe kwan ebu acheni watu waishi maisha yao uyo ni mtu mzima anajua anachokifanya
@@magrethmlewa3422 huu ndio ujinga wacha watu wafanye mambo yao kama haya ya mtoto kaingiliwa na baba yake kaka kamuowa dada yake tena anatolewa kwenye mitandao anahojiwa halafu anajibu mtoto mzuri kama huyu nimeona hasara aolewe na mtu baki Subhana Llah nyie wapigieni debe mtayakuta na mtaulizwa hata ikiwa kafiri Mungu ni yuleyule mmoja.
@@magrethmlewa3422 huyu ni mwanamke ndio ukaingia kati kujibu angelikuwa mwanamme ungetia lako au unataka akupende kwa kumtetea? Wewe hujui kama kuna watu wakienda haja wanapangusia karatasi au jiwe sasa huyo akusukumie chapati itakuwaje utasema unahisi harufu ya hiliki au karafuu?
Kwan ww xi upokee elimu unayopewa kucha zinakuhusu nini umbea tu afu ww mwanaume acha hizo
Asante kwa mapishi yako, nimeipenda sana
Maaaashaallah huwa nakufatilia sana my dear na huwa najifunza mengii
Barikiwa sana love
Jamani dada sorry naomba unitajie hz ingredients bulizzoweka chumb sukar na nn
Nataka kujiunga na darsa lako naomba muongoz
Wow the chapati ever🙏🙏
Mimi nataka kuku😊😊😊😊
Wakati wa kukandia unaeka vegetable fat oil kama kimbo au prestige?
jamani nafanya njia zote hizo lkn azipati leazi nakosea wapi?
From Tiktok am here❤
Kucha zikiwa ndefu kwenye upishi ni mtihani.
Nimependa huwa nakufatilia na kujifunza kama maandazi n.k 😘
Jamn napenda niifnye biashar mtaj kam shingp
Nataka kujiunga na madarasa yako, Naomba muongozo
Samli ipi unatumia Malkia?
Sijawahi jaribu haki jumapili ntajaribu
Nimeweza aisee Kila siku natamani kupika chapati
🎉🎉
Nielekeze vitu ulivyochanganya
Salam tuandikie vipimo unga wa maziwa vijiko vingapi? sukari chumvi? Maji glass ngapi? Mafuta? Na huyo jogoo hana heshima anapiga kelele au anataka chapati mpe mimi nitalipa.
Angalia kwenye description box dear
Ndio kila mkunjo unamatokeo yake
Wanawekaga hamira hawasemi
Alf kweli nimegundua
Hakuna hamira inayowekwa bwana jaribu kila mara utapata matokeo mazuri zinavimba vizuri tuu
Mbona zangu hazichambuki hivo,nakosea wapiii😢
Pol sn my 😂😂😂😂 jaribu tena uone😅😅😅😅
@@AAA-zu1vy😂😂😂
❤
Dada malkia mejaribu kupika mara ya pili mefata process zile ila zimekuwa ngumu nimefeli wapi sijui
Inaweza kuwa moto wakupikia. Umeweka mdogo ndio zinafanya ziwe ngumu ,,,moto unatakiwa uwe wa saizi ya kati
Hello
Chapatii ❤
Kama hupendelei sukari unaweza usiweke.
Ndio, usiweke dear
kwanza sili chakula cha mtu mwenye kucha ndefu
wrong personal hygiene
Dada unga ni ppf??
Ndio dear
❤❤❤❤
Mafuta gani umechomea chapati zako? @malkia?
Samli
❤