Chapati Mchambuko. Taaamu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 49

  • @ShaydaAlly-rm8ft
    @ShaydaAlly-rm8ft 10 หลายเดือนก่อน +2

    hongera sana dada ang unapka vzur sana

  • @SadaMussa-h4c
    @SadaMussa-h4c ปีที่แล้ว

    Nashukuru mungu sasahv nimekuwa mtaalamu wakupik chapati

  • @abdullahalmahrooqi8306
    @abdullahalmahrooqi8306 11 หลายเดือนก่อน +9

    Assalam Aleikum mambo yamekwenda vizuri kilicho haribu mambo yote ni hizo kucha ndani umejaa uchafu wa kila aina hata ukinawa kwa sabuni hujawa msafi dawa yake uzikate kama za kubandika ndio balaa zaidi uamuzi uko kwako lakini ujue unalisha watu uchafuuuuu!!!!!

    • @magrethmlewa3422
      @magrethmlewa3422 8 หลายเดือนก่อน

      Ila watu mmezidi ujuaji kwenye maisha ya watu unakula wewe kwan ebu acheni watu waishi maisha yao uyo ni mtu mzima anajua anachokifanya

    • @abdullahalmahrooqi8306
      @abdullahalmahrooqi8306 8 หลายเดือนก่อน

      @@magrethmlewa3422 huu ndio ujinga wacha watu wafanye mambo yao kama haya ya mtoto kaingiliwa na baba yake kaka kamuowa dada yake tena anatolewa kwenye mitandao anahojiwa halafu anajibu mtoto mzuri kama huyu nimeona hasara aolewe na mtu baki Subhana Llah nyie wapigieni debe mtayakuta na mtaulizwa hata ikiwa kafiri Mungu ni yuleyule mmoja.

    • @abdullahalmahrooqi8306
      @abdullahalmahrooqi8306 8 หลายเดือนก่อน

      @@magrethmlewa3422 huyu ni mwanamke ndio ukaingia kati kujibu angelikuwa mwanamme ungetia lako au unataka akupende kwa kumtetea? Wewe hujui kama kuna watu wakienda haja wanapangusia karatasi au jiwe sasa huyo akusukumie chapati itakuwaje utasema unahisi harufu ya hiliki au karafuu?

    • @ElizaJovita
      @ElizaJovita 5 หลายเดือนก่อน

      Kwan ww xi upokee elimu unayopewa kucha zinakuhusu nini umbea tu afu ww mwanaume acha hizo

  • @cookingwithmimmo
    @cookingwithmimmo ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa mapishi yako, nimeipenda sana

  • @zengeummu9575
    @zengeummu9575 ปีที่แล้ว +1

    Maaaashaallah huwa nakufatilia sana my dear na huwa najifunza mengii

    • @malkiafoods
      @malkiafoods  ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana love

    • @MissRahma-z2h
      @MissRahma-z2h 5 หลายเดือนก่อน

      Jamani dada sorry naomba unitajie hz ingredients bulizzoweka chumb sukar na nn

  • @AshuraJuma-r5d
    @AshuraJuma-r5d ปีที่แล้ว +1

    Nataka kujiunga na darsa lako naomba muongoz

  • @patriciandinda8582
    @patriciandinda8582 7 หลายเดือนก่อน

    Wow the chapati ever🙏🙏

  • @SaudaMuhammedyussuf
    @SaudaMuhammedyussuf ปีที่แล้ว

    Mimi nataka kuku😊😊😊😊

  • @esterdanford5563
    @esterdanford5563 11 หลายเดือนก่อน

    Wakati wa kukandia unaeka vegetable fat oil kama kimbo au prestige?

  • @sarahbuberwa7219
    @sarahbuberwa7219 29 วันที่ผ่านมา

    jamani nafanya njia zote hizo lkn azipati leazi nakosea wapi?

  • @mercymuhunyo8434
    @mercymuhunyo8434 ปีที่แล้ว

    From Tiktok am here❤

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 ปีที่แล้ว +2

    Kucha zikiwa ndefu kwenye upishi ni mtihani.

  • @ElicahMugitya-ql7mo
    @ElicahMugitya-ql7mo ปีที่แล้ว

    Nimependa huwa nakufatilia na kujifunza kama maandazi n.k 😘

  • @NackNzily
    @NackNzily 7 หลายเดือนก่อน

    Jamn napenda niifnye biashar mtaj kam shingp

  • @zengeummu9575
    @zengeummu9575 ปีที่แล้ว

    Nataka kujiunga na madarasa yako, Naomba muongozo

  • @nattymnaro541
    @nattymnaro541 ปีที่แล้ว

    Samli ipi unatumia Malkia?

  • @maryjoseph926
    @maryjoseph926 ปีที่แล้ว

    Sijawahi jaribu haki jumapili ntajaribu

  • @delightnkya6086
    @delightnkya6086 ปีที่แล้ว

    Nimeweza aisee Kila siku natamani kupika chapati

  • @JobNdeke
    @JobNdeke ปีที่แล้ว

    🎉🎉

  • @HappynesMedard
    @HappynesMedard ปีที่แล้ว

    Nielekeze vitu ulivyochanganya

  • @abdullahalmahrooqi8306
    @abdullahalmahrooqi8306 ปีที่แล้ว +1

    Salam tuandikie vipimo unga wa maziwa vijiko vingapi? sukari chumvi? Maji glass ngapi? Mafuta? Na huyo jogoo hana heshima anapiga kelele au anataka chapati mpe mimi nitalipa.

    • @malkiafoods
      @malkiafoods  ปีที่แล้ว

      Angalia kwenye description box dear

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Ndio kila mkunjo unamatokeo yake

  • @TimaFood-r2p
    @TimaFood-r2p ปีที่แล้ว +1

    Wanawekaga hamira hawasemi

    • @sary-s6i
      @sary-s6i ปีที่แล้ว

      Alf kweli nimegundua

    • @happylema6763
      @happylema6763 ปีที่แล้ว

      Hakuna hamira inayowekwa bwana jaribu kila mara utapata matokeo mazuri zinavimba vizuri tuu

  • @lilianjulius9500
    @lilianjulius9500 ปีที่แล้ว +1

    Mbona zangu hazichambuki hivo,nakosea wapiii😢

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy ปีที่แล้ว

      Pol sn my 😂😂😂😂 jaribu tena uone😅😅😅😅

    • @Awatee
      @Awatee ปีที่แล้ว

      ​@@AAA-zu1vy😂😂😂

  • @zainablema17
    @zainablema17 ปีที่แล้ว

  • @TeclaMtweve
    @TeclaMtweve ปีที่แล้ว

    Dada malkia mejaribu kupika mara ya pili mefata process zile ila zimekuwa ngumu nimefeli wapi sijui

    • @makynicky2970
      @makynicky2970 4 หลายเดือนก่อน

      Inaweza kuwa moto wakupikia. Umeweka mdogo ndio zinafanya ziwe ngumu ,,,moto unatakiwa uwe wa saizi ya kati

  • @ElicahMugitya-ql7mo
    @ElicahMugitya-ql7mo ปีที่แล้ว

    Hello

  • @fooddiarytz
    @fooddiarytz ปีที่แล้ว

    Chapatii ❤

  • @esthermollel1461
    @esthermollel1461 ปีที่แล้ว

    Kama hupendelei sukari unaweza usiweke.

  • @faridarashid1198
    @faridarashid1198 7 หลายเดือนก่อน

    kwanza sili chakula cha mtu mwenye kucha ndefu
    wrong personal hygiene

  • @neemakusenha2540
    @neemakusenha2540 ปีที่แล้ว +1

    Dada unga ni ppf??

  • @kakozietho2303
    @kakozietho2303 ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤

  • @stellashayo1242
    @stellashayo1242 ปีที่แล้ว +1

    Mafuta gani umechomea chapati zako? @malkia?

  • @ElizaSaka
    @ElizaSaka ปีที่แล้ว