D Voice X Barnaba Classic, Platform Tz & Lody Music- Kuachana Shingapi Remix 0710283676
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- D Voice's new Jam 'Kuachana Shingapi' Produced by JM & O Right
#Dvoice #Barnabaclassic #Lodymusic #Platformtz #kuachashingapi
• Mzee wa bwa x palu sim...
• Mzee wa bwa x palu sim...
Wangapi wamekuja huku baada ya D.VOICE kuwa jamaa wa WCB 😂😂😂
Tuko wengii wazee😅
Ha ha ha
😂😂mm hapa Gasper Arusha
😅😅😅am here nimekuja kurelate kule ana vidrade akawa ananichanganya
Oyaaahh😂😂😢🔥🔥nmekuja kuhakkxhaaa n yeye kwelii!!??😂😂
Remix tamu Sana pia nimefurahi kwasababu wote mlio shiriki Ni wasanii ninao wapenda Sana kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu💙🔥🔥🔥
❤❤
mziki taratibu ndugu zangu wa TZ, much love from KENYA.
D voice
Kubwa
Kali
Sana
D,Voice 💪💪💪🇹🇿🇹🇿
Video quality=100%
Ujazo wa wimbo kwa ujumla ni 💯%
Unyama mwingiiiiii sanaaaaa
unyama mwingiiii sana 💯 😆
Hivi uliwalipa wote watatu hawa au walikubeba tu d voice saiz upo next level wcb
Platform alikuwa hot sana humu 🎉🎉🎉 platform aliuwa kinomaaaa
Huyu platfom anajuwa mpaka anajuwa tena🙌 verse zote yeye katisha bala
Barnaba the classic one.Huu mchanyato kati ya Barnaba, Lody Music, D Voice na
Dogo wa mwisho kaua sana then barnaba....🙌🙌 keep the good work...ngoma kali sana
Platform kaua sana
Aki platform mistar Kali xana yaan xtyle yake
Didn't know bdo ulikuwa unawachilia hits ata kabla ukuje wcb🔥🔥
Hata nlkuwa simjui nimekuj baada ya Diamond kumtangaza, kweli nimekubali WCB ni dude kuuuuuuubwa
Mziki tamu ....nimewapenda jamani...Kwanza hii sauti ya anayesema mapezi ukaidi...nimependa...much love from kenya
Yani D.VOICE kuhingiya WCB sasa watu wana mfatiliya sana tu kama wewe nimihongoni mwawatu wanaho penda Lebo ya WCB wasafi festival gonga like hapa
Kesho Bhas Tunzo Wanampa Sholo Mwamba Jaman Nchi Hiiii Big Up Sana D Voic
Nyimbo Kali video Kali imejaa sana Kila sehemu but Kaa ukijua tu hii cyo singeli
The reason I love the tanzanian musicians so much,is because u r so much committed to your work
Good work and I wish you the best of all guys mwaaaah!
Gong like 🤜🤛
Apo Kam umemkubal
Platform kwa vers Iyo✌️✌️
💥💥💥💥💥💥♥️♥️ nakuja nakuja na remix mopaoooooooo
Barnaba wapiganie madogo hao, wew mkali sana sana sana tuuuuuu
They all did a great job 👏 🎉I love the song 🎵 so much from South sudan 🇸🇸
D Voice Eeh Keep it up blood unaweza mzazi kikubwa kukaza Dua Nene kwako Unyama Sana✌🏽SINGELI FOR LIFE🔥
Angalau sisi tusio na hela tumepata wa kutufariji 😀😀😀😀
Kama wew n team wasafi tujuane kwa likes nyingi
Sijawai ckiza singeli kama hii tangu nijue singeli bro d voice waenda mbali kaka mdogo 🔥🔥🔥
D voice achia kazi mala kwa mala kaka unaweza mawe Kama haya unyama mwingi
Yan nimekuja kuthibitisha kama ndo huyu kawa wa wcb kweli Mungu akikuandikia kaandika
Barnaba fundi wa music.... Yaan unaingia popote
Waaaooh mwaaaa 😍😍🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿 shilling ngapiiiiiii!!!!!!!!!!!
Wangapi waja hapa baada ya kusigniwa na simba❤
one of the best video nimeiona toka mwaka umeanza na ni self made kutoka bongo 🇹🇿 land 🔥🔥🔥🔥🙌🏾.
mmetisha keep doing good music
🥰🥰🥰🥰🥰🥰✊🏽💪🏽💯
🔥🔥🔥🔥
Kali sana, asanteni ndugu zangu kwa ujumbe mzuri 🤗🤗🤗
Too much love from Denmark 🇩🇰💪🏽
Lody mkali jamn duh keep it up
Platform uko juu kama mfuko wa shati keep it up bro❤
Platform tz killed it👑🔥🔥
Barnaba uwekwe chini ya ulinzi😂😂😂haiwezekani uwauwe madogo kiasi hicho🤣🙌🙌VocalMaster
good style and fit voices kabisa this is a beautiful song guys and we need more.
keep it up
D voice ni mtamzania kumbe
apo ulipoitikia D Voice et Babugum,dah! saut ka Salman Khan ❣️❣️ nyimbo TAMU jamani🌹🌹🌹🌹
Everyone one nailed it🔥🔥🔥
poa kabisaaaa
kuna dogo kaficha wenzake apa
dah noma sana
kijana umekuja kwa kasi ya 4g hadi unakela wenzio.... ila chunga usilogwe na mapimbi....kip up d voice
Ako taented sana tunakuombea uzidi kung'aa 👏👏👏
Barnaba never disappoint but all of them did well🔥🔥
Verse zote za kwenye hii ngoma huwa zimesimama kuanzia ya Legend 🔥🔥
Walio itazama video iyi baada ya D Voici ku signe katika lebo ya WCB gonga likes tujuwane😅
Platform killed it at 80% of the whole song he killed it ... I appreciate him
Hakika Platform kawameza Barnabas na Lody Music japo wote wamefanya poa
Kwr tukiwa hatuna money wanatutexa
From Rwanda nakupenda sana lody music
Kwahiyo kuachwa ni bure mazeee sioo
I love the collaboration bros...much love from +254 ♥️♥️♥️
much love from Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Platform umenikosha Sana💪💪
Ila platform kaua sana hapaa
D voice umetish sana hilo song 🔥🔥
D voice with the cutest smile..... platform did justice to his verse, Vocals on point 👌
The last guy killed with the lines🔥🔥🔥
Classic Your Are The Killer No One Like You In This Song And Big Up Platform 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
I love you d voice kalikuliko umetish yang
barnaba wewe ni fundi brooo i like your part
All artists are fire lakini huyo wa mwisho... wadada wa mjini... is liiiiiit lyrics wise, sauti, and all.. chorus pia nimependa sana❤ from 🇰🇪
I acknowledge this ❤❤❤
Active Boy ft nakubali sana
Tulio kuja huku baada ya huyu jamaa kuja wcb wasafi🎉🎉🎉
Nmefika huku ,,,after welcoming you WCB
Barnaba apewe hemshimanyake tafdhalini..,🇰🇪
Platform alitisha kinoma aliwafunika 🙌
Kevya ndani ndani.💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongera sana mdogo wangu kuingia WASAFI FAMILY
Unyama sana 🙌❤kazi nzuri
Lody music ameua kulko wote
Banarba CLASSIC, Hapo ime Tiki kinoma, big up Banarba CLASS ✊🏿✊🏿
D voice ni meja kunta ajae .Barbara umeua kinoma mzee
Namkubali sana platform ❤❤❤❤❤ chukua maua yako
I remember this song released in my birthday 😍
Kanaimba vizuri sana tena hongera dogo
First time watching this song and its lit, love from 254
👏👏👏🌹 vgp Sana kaka hiii nyimbo utauza sana kwasababu uko na fundi 🌹 barnaba☝️
Kali sana
Nyimbo ni 🔥🔥🔥🔥
Nyimbo Kali sana hii pambana kaka yangu mungu yupo pamoja nawewe
Director hapa umeweza sio siri
Unyama Sanaa follow. Ringo boytz tz
Unyama mwingiiiiii sanaaaaa 🔥🔥
Hii nyimbo kali sana. D Voice ni genius. Wabongo hawachelewi kuachana, ndio mana nyimbo kama hii itanoga miaka yote.
Uko vizuri dvoice🔥
Tatzo sio shi ngap tatzo moyo ukishampenda kumuacha ndo utaki kabsaa
duh uu wimbo unaniliwaz san kuach shingap wewe kuachw bei gan
Uuuh jamani ndo mziki was singeli
Platfom na lody wametiiishaaaa
Amna anaekuweza kwenye singeli🙌
Good music mwanangu
Moto mdg wangu dvoice
Barnaba dvoice na platform wameimba gud 🎶🎶🎵
Kenya loving it 💯💯💯🔥
Kazimzuliiii kaza mwanangu
Baba ni baba tu much love kwa @mr.B
Asante kaka yetu,tunateswa na mapenzi kumbe bule,kuachana shilling ngapi?
Platform on fire ❤️❤️❤️❤️
Mimi hapa sikumjua
❤❤❤ Barnaba never disappoint
Unajua kinomaaa Mwananguuu
Lody na platform mmeua Sana👐🙌🏽👐🙌🏽👐.