MAHARI MILIONI MIA TANO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • Wazazi muwe maakini mnapotaja mahari ya mtoto wenu mjue na tabia yake vizuri, Unakuta bint kashatumika sana kwa uhuni mwisho wa siku aibu kwa wazazi....

ความคิดเห็น • 373

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 11 หลายเดือนก่อน +330

    Wangap wamemmiss sopa,kipande na mwamba,wagonge like hapa

    • @queenmalikia3827
      @queenmalikia3827 11 หลายเดือนก่อน +7

      😢😢😢😢sopa jamani

    • @ZandaMelody-cj5te
      @ZandaMelody-cj5te 11 หลายเดือนก่อน +5

      Sahivi Yupo Na Wazee To....Wale Jamaa Cjui Ndo Wananqalia Maslah

    • @user-hj4uw5pp2w
      @user-hj4uw5pp2w 11 หลายเดือนก่อน +8

      Vijana huwezi kuwadanganya na malipo madogo km wazee

    • @mcharo255
      @mcharo255 11 หลายเดือนก่อน +10

      Nimemiss kumuona sopa sanaa..... Yule bwana yuko fresh sana😅

    • @geekilimba8362
      @geekilimba8362 11 หลายเดือนก่อน +6

      Sopa jmn ❤

  • @khanamiry1776
    @khanamiry1776 11 หลายเดือนก่อน +17

    Leo nimekuwa wa kwanza kama unakubali team kiboga like ziwe kama zote

  • @gracekatani3669
    @gracekatani3669 11 หลายเดือนก่อน +15

    Kazi nzuri sana! Ila ni mahari siyo mahali.

    • @mwanamisiramadhan4773
      @mwanamisiramadhan4773 11 หลายเดือนก่อน

      Kwenye lafudh/matamshi ni janga la Taifa 😂😂

    • @farajasaid9209
      @farajasaid9209 11 หลายเดือนก่อน +1

      Ola tz bara kumezidi,

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 11 หลายเดือนก่อน +48

    Ambao tuna isubiri ijumaa kwa sababu ya Jot tujuane 🙏🏻

  • @mwesialfred
    @mwesialfred 11 หลายเดือนก่อน +14

    Kanyinyiiiii😅 nilimmiss huyu mjamaa leo kaja kivingine😂😂

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 11 หลายเดือนก่อน +15

    Wazazi Punguzeni Ukubwa Wamahali Ili Ipatikane Ndoa Nauhalali.

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 11 หลายเดือนก่อน +20

    Joti hana kazi mbovu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 11 หลายเดือนก่อน +1

      nimecheka mpaka nimeulizwa vp salama na majirani kwa burudani za joti

    • @Mariam-fm8vq
      @Mariam-fm8vq 11 หลายเดือนก่อน

      @@nadyasalim7956 😂 😂 😂

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 11 หลายเดือนก่อน +6

    Jamani mama kiboga kwani ni biashara,na ww mume mtarajiwa huyo mshenga umemtoa wapi😂😂😂unaharibu Mila na desturi za watu 😂😂😂

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 11 หลายเดือนก่อน +10

    Kanyinyi wangu asante umerudi nilitaka kuhama kumshabikia joti

    • @saleemmussah
      @saleemmussah 11 หลายเดือนก่อน +1

      Uache kumshabikia joti utamshabikia nani kwa mfano

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 11 หลายเดือนก่อน +8

    Mama muhuni kama mwanae nakukubali sana mama😂😂😂😂😂

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 11 หลายเดือนก่อน +12

    Mahali kama wanauza 😂😂😂 ndo maana wanawake wanateseka ndani ya ndoa, mimi sitaki mahali naitaji peace of mind 🙌

    • @DouglasMassop
      @DouglasMassop 11 หลายเดือนก่อน +3

      Wew unanifaa

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 11 หลายเดือนก่อน

      Dayana upo sahihi

    • @catherinemuhagama7338
      @catherinemuhagama7338 11 หลายเดือนก่อน +5

      Nenda bila mahari alaf manyanyaso yaanze uambiwe mtu mwenyew nlkuchukua bure kwenu sijui walkuchoka wakakutoa bure🤣🤣🤣
      Huwajui wanaume ww baadh wanagubu balaa 🙌

    • @dayana5513story
      @dayana5513story 11 หลายเดือนก่อน

      @@catherinemuhagama7338 dear I understand you but mimi mahali not matter to me mimi na focus on my happiness dear si kwamba mtu akikutolea mahali ndo hatakutukana mtu akutukanae akuchagulii tusi l hope wajua ilo

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@dayana5513storyni kweli Tena akitoa. Pesa nying mateso hayaish kama. Umeuzwa

  • @erickmidomsodock8716
    @erickmidomsodock8716 11 หลายเดือนก่อน +1

    From Japan Kuma Moto I love YANGA bingwa

  • @user-uh7to2kw2z
    @user-uh7to2kw2z 11 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu aloambiwa anasidi atakwangua vocha mwenyew Leo amekopwa😅🤣😁

  • @boazmosses8204
    @boazmosses8204 11 หลายเดือนก่อน +6

    Joti sahv anayumba sana tunawataka kina sopa,mama dame,kipande yan sahv ni kama igizo la shule ya msingi kabisa😂😂

  • @bonfilskashaba7381
    @bonfilskashaba7381 11 หลายเดือนก่อน +3

    Naombeni like zangu kutoka Congo 🇨🇩

  • @RozaliaJoseph-cg8he
    @RozaliaJoseph-cg8he 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mbona yai la mbuni🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 11 หลายเดือนก่อน +4

    Kama unamjua shoga etu aliesema mahari milioni 500 na akaolewa kwa mswala na mume ni pasua kichwa 😂😂😂tujuane hapa😂😂😂😂ila wanawake tuna midomo jamani kha!!!

    • @catherinemuhagama7338
      @catherinemuhagama7338 11 หลายเดือนก่อน

      Yaniii😂😂aibu tupu mashauz kbao mahari milion mia5 kwa uchi gan😆😆😆

    • @neemamzande8547
      @neemamzande8547 11 หลายเดือนก่อน

      Ninani uyo jomon 😂😂😂😂😂😂

  • @veronysiwale7832
    @veronysiwale7832 11 หลายเดือนก่อน +3

    Joti umetisha kazi nzuri

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mm nmemmisi sana yule mbavu mbn siku izi ayupo jamani baunsa yule

  • @lucyhamad3042
    @lucyhamad3042 11 หลายเดือนก่อน

    Hii nzuri
    Jori tv is on fire, 1mil

  • @goodhopejonas1001
    @goodhopejonas1001 11 หลายเดือนก่อน +3

    Nitakunyonya macho😂😂joti bana😂😂

  • @gabrielkabato9909
    @gabrielkabato9909 11 หลายเดือนก่อน

    Leo mimi niwe wa mwisho kucoment

  • @mustafampande173
    @mustafampande173 11 หลายเดือนก่อน +5

    kanyinyi ni mwehu 😂😂

  • @directorsebastin
    @directorsebastin 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nakubali kazi joti By Director sebastin from 🇺🇸

  • @maalimzingizi4221
    @maalimzingizi4221 11 หลายเดือนก่อน +3

    Sema io kofia ya uyo mzee ni jau yaaan 😂😂😂😂

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @dreusebiusjmikongoti248
    @dreusebiusjmikongoti248 11 หลายเดือนก่อน

    Hii "mnemele mnemele mwana" hamjaitendea haki! Kuna Ile accent ya Kindamba sijaisikia. All in all hongereni sana

  • @user-dy3eq1zi5l
    @user-dy3eq1zi5l 11 หลายเดือนก่อน +4

    mshenga nusu wamnyonye macho😂😂😂😂😂

  • @khadijakheiri5745
    @khadijakheiri5745 11 หลายเดือนก่อน +7

    Ijumaa bila stres😂😂😂😂😂

  • @samwelmasimba8284
    @samwelmasimba8284 11 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri sana joti👏👏👏

  • @abdulghanshakuru3973
    @abdulghanshakuru3973 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ata mm wa kwanza Kila siku nyinyi tu na mm leo namba 1

  • @HOOFCLANMEDIA
    @HOOFCLANMEDIA 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wa kwanza leo nimewai wapi like

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 11 หลายเดือนก่อน +8

    Hahaaa milioni 500🎉🎉🎉 joti maua yako

  • @shafiichusi1897
    @shafiichusi1897 11 หลายเดือนก่อน +1

    🙌🙌🙌🙌🙌👏🙌🙌🙌... Nomaa sanaaaa

  • @binjmwinyirain1133
    @binjmwinyirain1133 11 หลายเดือนก่อน +2

    Watu badala muwahi kazini mnajisifia kuwahi upumbavu! Mnaniudhi Kweli subiri wiki ijayo muone ntakavyo wapiga bao, nawahi kukoment huko huko wanapoigiza. Shubaaaamit😅😅

    • @emanuelwakawenga4023
      @emanuelwakawenga4023 11 หลายเดือนก่อน

      Wahi kazini wewe

    • @kingzito31
      @kingzito31 11 หลายเดือนก่อน

      Umesababisha nimecheka sana daah 😂

  • @HunchooG
    @HunchooG 11 หลายเดือนก่อน +4

    “Amesema hataki “ 😂😂😂

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ni mahari sio mahali

  • @veronysiwale7832
    @veronysiwale7832 11 หลายเดือนก่อน +2

    Heheee ukimwaga ya uarabuni ndio basi

  • @sharifanyella7703
    @sharifanyella7703 11 หลายเดือนก่อน +7

    Joti hongera

  • @benhanclove5997
    @benhanclove5997 11 หลายเดือนก่อน +4

    Huyo atakua wa shilling elfukumi😂😂

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo mahari balaa.Mpka miwani na koti la babu, khaaa🤣🤣🤣🤣🤣🙌

    • @aaii8301
      @aaii8301 11 หลายเดือนก่อน

      Wakongo ndo wako ivo😀

    • @shyfettymtunda4619
      @shyfettymtunda4619 11 หลายเดือนก่อน

      @@aaii8301 🤣🤣🤣🤣🙌

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 11 หลายเดือนก่อน +19

    Tanzania moto,peperusha bendera jot frm🇿🇲

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 11 หลายเดือนก่อน +9

    Ama kweli akili ni Mali. Mfano jot akili yake.

  • @alphakiuyo9447
    @alphakiuyo9447 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kipande na sopa noma sana

  • @allykijiwe1180
    @allykijiwe1180 11 หลายเดือนก่อน +2

    Joti ni nomaaa sanaa

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 11 หลายเดือนก่อน +8

    Good Job Mr Joti With Your Team

  • @abdulobo3110
    @abdulobo3110 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mahari sio mahali

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 11 หลายเดือนก่อน

      Unataka watamke hiyo r kama wanazungumza kiarabu sio

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 8 หลายเดือนก่อน

    Hii mambo ya kujifanya mwanamke ikiwa we Muislamu achana nacho si nzuri

  • @mudvan2410
    @mudvan2410 11 หลายเดือนก่อน +2

    Sio MAHALI ni MAHARi

  • @annaki318
    @annaki318 11 หลายเดือนก่อน +3

    Tulimmis kanyiinyi 🎉🎉🎉

  • @jameslucas7161
    @jameslucas7161 11 หลายเดือนก่อน +2

    Joti Martin Lawrence wetu 😂😂

  • @OnesmoMwipopo-co8dr
    @OnesmoMwipopo-co8dr 11 หลายเดือนก่อน

    Anajua htr

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 11 หลายเดือนก่อน +3

    Never disappoint jotiiii

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mshenga takunyonya macho 😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤🔥🔥🔥🔥👆

  • @james008BOND7
    @james008BOND7 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mombasani tunakubali😂😂😂😂noooma sana😂

  • @dee-thegoon4141
    @dee-thegoon4141 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wabongo wakiume mnavyo ji blich muko very 😅😅

  • @winniewambui7423
    @winniewambui7423 11 หลายเดือนก่อน +2

    This is the best

  • @abdallahaboud6235
    @abdallahaboud6235 11 หลายเดือนก่อน +1

    Vipi

  • @meshackaloyce9662
    @meshackaloyce9662 11 หลายเดือนก่อน +22

    Jott utafika mbinguni ikiwa umechoka sana😂😂😂😂

  • @Gonga94tz
    @Gonga94tz 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ha ha ha the boss

  • @davidnchoji
    @davidnchoji 11 หลายเดือนก่อน +1

    Daah asee nimecheka leo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Nyalafu
    @Nyalafu 11 หลายเดือนก่อน +6

    Haaa eti yuko sealed, 500M.Huku mwali anakopwa tangu asubuhi. JOTI! JOTI!

  • @malilacollins11
    @malilacollins11 11 หลายเดือนก่อน +2

    Unajua😅😅😂😂😂

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael3098 11 หลายเดือนก่อน +4

    Nishai mtomba ngwile kitwango mikazo 😂😂😂😂

  • @eddygonza891
    @eddygonza891 11 หลายเดือนก่อน +3

    Shikamoo mshenga😂😂😂😂

  • @jumabolingo9583
    @jumabolingo9583 11 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂😂😂😂 hatari saaaana

  • @moulyidabdallah7223
    @moulyidabdallah7223 11 หลายเดือนก่อน

    Mlio msikia joti akisema umemwaga
    Mizigo yko yai la mbuni gonga like apa..😅🤣😂

  • @djumajay2857
    @djumajay2857 11 หลายเดือนก่อน +4

    Kii ukwel joti ana nipaga raha San kbx anajuwa ku ipambania kazi yk 😅😅😅

  • @jumabolingo9583
    @jumabolingo9583 11 หลายเดือนก่อน +4

    Yai la mbuni😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @saphiasaid1038
    @saphiasaid1038 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nitaolewa

  • @rajabusaidi6692
    @rajabusaidi6692 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nitakunyonya macho shenzi sana 😜😜😜

  • @gama_liely
    @gama_liely 11 หลายเดือนก่อน +3

    Et ntakunyonya mate😅😅😅😅😅😅

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nmeskia kiboko hapo 😂😂😂

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 11 หลายเดือนก่อน

    HUYU JOTI AJENGEWE MNARA SIYO COMEDIAN WENGINE WANAPIGA KELELE TU WENGINE WANAONGEA SANA.

  • @masudykikumbi7375
    @masudykikumbi7375 11 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂 heeh mbon ndoa mahali yake imekuwah chungu 😂😂😂😂

    • @simonmaige7785
      @simonmaige7785 11 หลายเดือนก่อน

      Ni Mahari siyo Mahali

  • @boazmosses8204
    @boazmosses8204 11 หลายเดือนก่อน

    Sahivi hata haichekeshi wala hainogi😅😅😅 tunaangalia tu kusogeza masaa

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 11 หลายเดือนก่อน +2

    Lugha ako mbaya😂😂😂

  • @mlawayusuph8842
    @mlawayusuph8842 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hahaha punguza vituko Joti

  • @juma2979
    @juma2979 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mahari na sio mahali

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 11 หลายเดือนก่อน

    Huhuuu tumbaku elfu mmoja huhuuu bajet ime kutana nafamilia yawana uchumi koti litavuliwa ehe woii😂, million miatano duh ndomana wanenu tukikosea kwenye ndoa tuna chinjwa, huhuu mambo yameharibika

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nitakunyonya macho 😂😂😂

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 11 หลายเดือนก่อน +3

    Hapo kweny silidi umeelewa?😂😂😂

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli tunapigwa

  • @amanimatokeo9139
    @amanimatokeo9139 11 หลายเดือนก่อน

    Duh kwwl nishdaa iii imeeendaaa

  • @glorycharles615
    @glorycharles615 11 หลายเดือนก่อน

    Wandamba ndo tulioelewa hiyo nyimbo,wapi watu wangu wa malinyi,ifakara ,mtimbira,igawa 😅😅😅😅

    • @dreusebiusjmikongoti248
      @dreusebiusjmikongoti248 11 หลายเดือนก่อน

      😄
      Wamejitahidi kidogo, japo Kuna namna huo wimbo unaimbwa sijaipata Ile ladha! "Mnemele Mnemele mwana" likiimbwa ipaswavyo ni dude kuuubwa

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +1

    Muwe mnauliza maneno namaana kabla yakuandika mtu mzima unashindwa kutamka mahari unasema mahali looh

    • @jpmanotaofficial9041
      @jpmanotaofficial9041 11 หลายเดือนก่อน

      Kukaa tunakosowa vitu vya kijinga huku bandari inapigwa mnada

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 11 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣wee ninani ntakunyonya macho 🤣🤣 shika fundi shkamoo mshenga🤣🤣🙌

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ntakunyonya macho😂😂😂😂

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 11 หลายเดือนก่อน

    M.l mia tano huyu😁😁👍👍❤❤

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 11 หลายเดือนก่อน +1

    Joti angalia wahariri wako wanaharibu lugha. Ni mahari sio mahali

    • @saleemmussah
      @saleemmussah 11 หลายเดือนก่อน

      Ujui bongo kuna ugonjwa wa R na L 😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน

    Duhh wabongo kisw kimewashinda

  • @marialipunge6368
    @marialipunge6368 11 หลายเดือนก่อน

    Hiyo mnemel mmenikumbusha mbali sanaa mndamba mimi

  • @ramadhankitsao5019
    @ramadhankitsao5019 11 หลายเดือนก่อน +7

    😂😂😂
    Yamemwagika. Eti 500million kwani ni gari

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 11 หลายเดือนก่อน +1

    Unataka show tkunyonya macho😂😂

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu 11 หลายเดือนก่อน +2

    Vijana wadogo hawakuwezi

  • @basco-don2
    @basco-don2 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mmh my fav❤😂

  • @rashidmohammed4887
    @rashidmohammed4887 11 หลายเดือนก่อน +3

    Seald kabisa utakwangua mwenyewe vocha 😂😂😂

  • @hassanjecha5069
    @hassanjecha5069 11 หลายเดือนก่อน +2

    yaan jot ndo miln 300 ,wakat kashamalizwa mda c mrefu

  • @michilita2959
    @michilita2959 11 หลายเดือนก่อน +3

    Joti kunywa soda Leo sasa umeniletea mtu wangu kiboga

  • @azizally5283
    @azizally5283 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mambo ni moto kwa joti kama ufaransa na kunguni

  • @gladnesswazir-zz9lk
    @gladnesswazir-zz9lk 11 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂fundi Tv duuuh kiboga kboko