Wazazi muwe maakini mnapotaja mahari ya mtoto wenu mjue na tabia yake vizuri, Unakuta bint kashatumika sana kwa uhuni mwisho wa siku aibu kwa wazazi....
@@catherinemuhagama7338 dear I understand you but mimi mahali not matter to me mimi na focus on my happiness dear si kwamba mtu akikutolea mahali ndo hatakutukana mtu akutukanae akuchagulii tusi l hope wajua ilo
Kama unamjua shoga etu aliesema mahari milioni 500 na akaolewa kwa mswala na mume ni pasua kichwa 😂😂😂tujuane hapa😂😂😂😂ila wanawake tuna midomo jamani kha!!!
Wangap wamemmiss sopa,kipande na mwamba,wagonge like hapa
😢😢😢😢sopa jamani
Sahivi Yupo Na Wazee To....Wale Jamaa Cjui Ndo Wananqalia Maslah
Vijana huwezi kuwadanganya na malipo madogo km wazee
Nimemiss kumuona sopa sanaa..... Yule bwana yuko fresh sana😅
Sopa jmn ❤
Leo nimekuwa wa kwanza kama unakubali team kiboga like ziwe kama zote
Kazi nzuri sana! Ila ni mahari siyo mahali.
Kwenye lafudh/matamshi ni janga la Taifa 😂😂
Ola tz bara kumezidi,
Ambao tuna isubiri ijumaa kwa sababu ya Jot tujuane 🙏🏻
Kanyinyiiiii😅 nilimmiss huyu mjamaa leo kaja kivingine😂😂
Wazazi Punguzeni Ukubwa Wamahali Ili Ipatikane Ndoa Nauhalali.
Joti hana kazi mbovu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤
nimecheka mpaka nimeulizwa vp salama na majirani kwa burudani za joti
@@nadyasalim7956 😂 😂 😂
Jamani mama kiboga kwani ni biashara,na ww mume mtarajiwa huyo mshenga umemtoa wapi😂😂😂unaharibu Mila na desturi za watu 😂😂😂
Kanyinyi wangu asante umerudi nilitaka kuhama kumshabikia joti
Uache kumshabikia joti utamshabikia nani kwa mfano
Mama muhuni kama mwanae nakukubali sana mama😂😂😂😂😂
Mahali kama wanauza 😂😂😂 ndo maana wanawake wanateseka ndani ya ndoa, mimi sitaki mahali naitaji peace of mind 🙌
Wew unanifaa
Dayana upo sahihi
Nenda bila mahari alaf manyanyaso yaanze uambiwe mtu mwenyew nlkuchukua bure kwenu sijui walkuchoka wakakutoa bure🤣🤣🤣
Huwajui wanaume ww baadh wanagubu balaa 🙌
@@catherinemuhagama7338 dear I understand you but mimi mahali not matter to me mimi na focus on my happiness dear si kwamba mtu akikutolea mahali ndo hatakutukana mtu akutukanae akuchagulii tusi l hope wajua ilo
@@dayana5513storyni kweli Tena akitoa. Pesa nying mateso hayaish kama. Umeuzwa
From Japan Kuma Moto I love YANGA bingwa
Huyu aloambiwa anasidi atakwangua vocha mwenyew Leo amekopwa😅🤣😁
Joti sahv anayumba sana tunawataka kina sopa,mama dame,kipande yan sahv ni kama igizo la shule ya msingi kabisa😂😂
Naombeni like zangu kutoka Congo 🇨🇩
Mbona yai la mbuni🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kama unamjua shoga etu aliesema mahari milioni 500 na akaolewa kwa mswala na mume ni pasua kichwa 😂😂😂tujuane hapa😂😂😂😂ila wanawake tuna midomo jamani kha!!!
Yaniii😂😂aibu tupu mashauz kbao mahari milion mia5 kwa uchi gan😆😆😆
Ninani uyo jomon 😂😂😂😂😂😂
Joti umetisha kazi nzuri
Mm nmemmisi sana yule mbavu mbn siku izi ayupo jamani baunsa yule
Hii nzuri
Jori tv is on fire, 1mil
Nitakunyonya macho😂😂joti bana😂😂
Leo mimi niwe wa mwisho kucoment
kanyinyi ni mwehu 😂😂
Nakubali kazi joti By Director sebastin from 🇺🇸
Sema io kofia ya uyo mzee ni jau yaaan 😂😂😂😂
😂😂😂😂
Hii "mnemele mnemele mwana" hamjaitendea haki! Kuna Ile accent ya Kindamba sijaisikia. All in all hongereni sana
mshenga nusu wamnyonye macho😂😂😂😂😂
Ijumaa bila stres😂😂😂😂😂
Kazi nzuri sana joti👏👏👏
Ata mm wa kwanza Kila siku nyinyi tu na mm leo namba 1
Wa kwanza leo nimewai wapi like
Hahaaa milioni 500🎉🎉🎉 joti maua yako
🙌🙌🙌🙌🙌👏🙌🙌🙌... Nomaa sanaaaa
Watu badala muwahi kazini mnajisifia kuwahi upumbavu! Mnaniudhi Kweli subiri wiki ijayo muone ntakavyo wapiga bao, nawahi kukoment huko huko wanapoigiza. Shubaaaamit😅😅
Wahi kazini wewe
Umesababisha nimecheka sana daah 😂
“Amesema hataki “ 😂😂😂
Ni mahari sio mahali
Heheee ukimwaga ya uarabuni ndio basi
Joti hongera
Huyo atakua wa shilling elfukumi😂😂
Hiyo mahari balaa.Mpka miwani na koti la babu, khaaa🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Wakongo ndo wako ivo😀
@@aaii8301 🤣🤣🤣🤣🙌
Tanzania moto,peperusha bendera jot frm🇿🇲
Ama kweli akili ni Mali. Mfano jot akili yake.
Kipande na sopa noma sana
Joti ni nomaaa sanaa
Good Job Mr Joti With Your Team
Mahari sio mahali
Unataka watamke hiyo r kama wanazungumza kiarabu sio
Hii mambo ya kujifanya mwanamke ikiwa we Muislamu achana nacho si nzuri
Sio MAHALI ni MAHARi
Tulimmis kanyiinyi 🎉🎉🎉
Yani sanaaaa
Joti Martin Lawrence wetu 😂😂
Anajua htr
Never disappoint jotiiii
Mshenga takunyonya macho 😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤🔥🔥🔥🔥👆
😂😂😂😂😂
Mombasani tunakubali😂😂😂😂noooma sana😂
Wabongo wakiume mnavyo ji blich muko very 😅😅
This is the best
Vipi
Jott utafika mbinguni ikiwa umechoka sana😂😂😂😂
Ha ha ha the boss
Daah asee nimecheka leo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Haaa eti yuko sealed, 500M.Huku mwali anakopwa tangu asubuhi. JOTI! JOTI!
Daa😅
Unajua😅😅😂😂😂
Nishai mtomba ngwile kitwango mikazo 😂😂😂😂
Shikamoo mshenga😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 hatari saaaana
Mlio msikia joti akisema umemwaga
Mizigo yko yai la mbuni gonga like apa..😅🤣😂
Kii ukwel joti ana nipaga raha San kbx anajuwa ku ipambania kazi yk 😅😅😅
Yai la mbuni😂😂😂😂😂😂😂😂
Nitaolewa
Nitakunyonya macho shenzi sana 😜😜😜
Et ntakunyonya mate😅😅😅😅😅😅
Nmeskia kiboko hapo 😂😂😂
HUYU JOTI AJENGEWE MNARA SIYO COMEDIAN WENGINE WANAPIGA KELELE TU WENGINE WANAONGEA SANA.
😂😂😂 heeh mbon ndoa mahali yake imekuwah chungu 😂😂😂😂
Ni Mahari siyo Mahali
Sahivi hata haichekeshi wala hainogi😅😅😅 tunaangalia tu kusogeza masaa
Lugha ako mbaya😂😂😂
Hahaha punguza vituko Joti
Mahari na sio mahali
Huhuuu tumbaku elfu mmoja huhuuu bajet ime kutana nafamilia yawana uchumi koti litavuliwa ehe woii😂, million miatano duh ndomana wanenu tukikosea kwenye ndoa tuna chinjwa, huhuu mambo yameharibika
Nitakunyonya macho 😂😂😂
Hapo kweny silidi umeelewa?😂😂😂
Kweli tunapigwa
Duh kwwl nishdaa iii imeeendaaa
Wandamba ndo tulioelewa hiyo nyimbo,wapi watu wangu wa malinyi,ifakara ,mtimbira,igawa 😅😅😅😅
😄
Wamejitahidi kidogo, japo Kuna namna huo wimbo unaimbwa sijaipata Ile ladha! "Mnemele Mnemele mwana" likiimbwa ipaswavyo ni dude kuuubwa
Muwe mnauliza maneno namaana kabla yakuandika mtu mzima unashindwa kutamka mahari unasema mahali looh
Kukaa tunakosowa vitu vya kijinga huku bandari inapigwa mnada
🤣🤣wee ninani ntakunyonya macho 🤣🤣 shika fundi shkamoo mshenga🤣🤣🙌
Ntakunyonya macho😂😂😂😂
M.l mia tano huyu😁😁👍👍❤❤
Joti angalia wahariri wako wanaharibu lugha. Ni mahari sio mahali
Ujui bongo kuna ugonjwa wa R na L 😂
Duhh wabongo kisw kimewashinda
Hiyo mnemel mmenikumbusha mbali sanaa mndamba mimi
😂😂😂
Yamemwagika. Eti 500million kwani ni gari
Unataka show tkunyonya macho😂😂
Vijana wadogo hawakuwezi
Mmh my fav❤😂
Seald kabisa utakwangua mwenyewe vocha 😂😂😂
yaan jot ndo miln 300 ,wakat kashamalizwa mda c mrefu
Joti kunywa soda Leo sasa umeniletea mtu wangu kiboga
Mambo ni moto kwa joti kama ufaransa na kunguni
😂😂😂😂fundi Tv duuuh kiboga kboko