MURO: UNTOUCHABLE! REKODI ZA YANGA CAF ZAMBEBA PACOME/ CHAMA KUMBE KASAINI YANGA? SA ITAKUAJE!!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
Kama unaikubari data sports gonga 👍
Kwangu mm pacome yuko juu chama atakaa benchi
Mm naondoka na pacome mana ni mtu asiekata Tamaa na pia hana hasira mchezoni
Mimi kama mimi naondoka na pacome
Wacha data za msimu uliopita ziongee. Wote walikuwa champions league. Chama amecheza hadi robo fainali, wakati Pacome aliishia makundi, bado data zinampa pacome nafasi bora kuliko chama. Wote ni wachezaji walio na uwezo wakuamua matokeo ktk mechi ngumu, kama ilivyokuwa kwa chama mechi dhidi ya power dynamo ,chama aliweza kuamua matokeo kwa kurudisha mabao ma2 waliokuw wamefungwa hafu ya kwanza. Pacome naye aliamua matokeo mechi ya Al ahly kwa goli bora na akilu kubwa dakika za jioooni, pia dhidi ya Mediama mechi zote home & away alifunga. Ikiwa tulichokiona inadvisable ni 30% ya uwezo wa pacome tarajia makubwa zaidi kutoka kwa pacome.
Eti chama aliishia makundi....ulikuwa hujazaliwa bado? Simba walivuka makundi na Asec Mimosas (Wydad na Galaxy walitoka) waliishia robo fainali kwa kutolewa na Al Ahly ya Misri. Jifunzeni kuwa wanamichezo wazuri.
Nakubali kabisa Pacome jembe
Bloo congratulations we hujawahi kuukosea mpira
Naondoka na Pacome
Oyaaa naondoka na profesa zuzwa
Asanteee muro
Mi ntaenda na saidoo ntibayokiza
Upeleke wapi huyo garasha