MKUTANO WA HADHARA WA KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. EMMANUEL JOHN NCHIMBI, STENDI NDOGO MOSHI …
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 มิ.ย. 2024
- Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akihitimisha ziara yake Mkoani Manyara.
Katika ziara hii, Balozi Dkt. Nchimbi ameambatana na Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu. Amosi Makalla pamoja na Katibu wa NEC - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndugu. Rabia Hamid.
#VitidendoVinaSauti
#TunaendeleaNaMama
#KaziIendelee - บันเทิง
Hizo ziara ziwe nonstop wapinzani hasa Lisu wanapotosha sana sana. Wanacheza na uwelawa mdogo wananchi wa kawaida
Mikopo.inafisi.inchi.sinawafaa.nyinyi.ccm
Miaka63.bado.ngonjera.barabara.vinevyo.kila.siku.yaleyale.wamechoka.uunyamazo