Wakuu kiukweli kabisa kutoka moyoni tuna timu nzuri sana Hivi mmemuona Dube? Hivi mmemuona Baleke? Mmemuona Nzengeli nyie nyie. Gongeni like kuwapa support wachezaji wetu.
"young Africans played well in the second HALF they could equalize(Yanga walicheza vizuri ktk kipindi cha pili wangeweza kusawazisha),, maneno ya KOCHA wa timu ya ligi kuu UJERUMANI
@radhiamussa1629 yes lkn kimbinu hapo Gamond Kuna code kazificha tarehe 8 siyo mbali😀😀😀😀😀yeye anasema I told my team to enjoy football ndo maana wala hakuonekana kuelekeza chochote
Tuna timu nzuri, kesho yetu wana familia wa Yanga Sc ni bora zaidi kuliko leo, Yanga Sc chini ya master Gamondi iko mikono salama kabisa, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
Wananchi asiwadanganye mtu hii Yanga inabeba kila kitu msimu ujao kwenye NBC na Africa lazima tucheze fainali au nusu fainali. Gonga like kama unakubali.
😢😢😢Kocha Gamondi anambinu nzuri na pia inaonyesha kaumia aseeh hasa nafasi ya dube aliyo kosa aseeh mana amesema ingekuwa sale endapo Dube angefunga lakini yote sawa
Kikweli Mungu atutunzie nyie akazidi kuwaunganisha muwe na combination nzuri nzuri zaidi yani na boka akapone haraka kwa uweza wake Muumba asikae sana in Jesus name🙏yanga yetu tunajivunia hakika 💪💛💚💛💚🙌🥂👌🔥🔥🥰
Huyu abuya aliifuga Everton in kenya against kariobangi sharks ❤we do love yanga in 🇰🇪 wapi likes za yanga
Mambo ya injiniaa mme yaonaaaaaaaaa hebu kama unaikubali timu yetu gonga like hapaaaa. Yangaaaaaaa rahaaaaa
Halafu eti mzee Magoma anaitaka timu
Nzengeli na Abuya walikuwa watu kweli hawana baya. Bless kwao
😂😂🤩✊🏿✊🏿👉🏿💪🏿💪🏿
Hongereni nyote wachezaji kocha na uongozi mmetuburudisha sana MUNGU awe nanyi na mzidi kufanikiwa katka kila hatu🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
Viva Yanga like za Max Nzengeli zije nyingi😂😂
Huyu mwamba Leo kanifurahisha sanaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Mwamba kwelikweli 🎉🎉🎉
@@amaniomar1755 respect Max✊
Sina ninachowsdai yanga wamecheza mpira tuliouhitaji Hongera timu hongera uongozi hongera kocha
Tunawapongeza sana sana team mzima mechi ya kwanza kucheza na team kubwa, is not easy guys 💐💐💪💪💪
Duke abuya na Aziz andambwile wakijenga chemistry yao itakuwa pacha Moja hatar sana
Waongeze ubora na umakini ... Maana pacha ya Dr na muda boy ni superb .... Ila abuya na andambwile ni watu Sana
tumeridhika na kiwango cha Yanga yetu mwalimu atafanya malekebisho atakapoona alekebishe lakni hongera🎉🎉🎉
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga
Hongera sana Yanga Africa mmepiga Soka bora sana
Timu yangu inaubora hatari mnooo💚💚💛💛 mungu azidi kuwatia nguvu furahaa iendelee msimu ujao kwanzia tarehe 8 roho zikawa hai🙏🙏🙏💚💛💚🤲🤲🤲🤲
Leo nimeelewa kwann yanga Africa hakika tumewakirsha vzur Africa💚💚💚💚💚💚
Binafsi sina cha kuwadai my best team Yanga Africans u played well ❤
Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko. Msiinamishe vichwa mumepambana 🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu uwalinde wachezaji wetu wawe salama tuzidi kufanya vzr👏👏👏🤲🤲
Mungu ni mwema na matokeo haya ni upendo wake kwetu. Tunamshkuru saana. Amina.
Hongera abuya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Japo kuwa Ila wanahume mmekipiga mungu azibariki kazi zenu daima mbele nyuma mwiko
Wakuu kiukweli kabisa kutoka moyoni tuna timu nzuri sana Hivi mmemuona Dube? Hivi mmemuona Baleke? Mmemuona Nzengeli nyie nyie. Gongeni like kuwapa support wachezaji wetu.
Sijamueka pakome wala aucho😂😂 sa itakuaje !?
@@gabapentin8070 ni balaa tupu blaza
Hongera dicson jobe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Job anajua sana kuongea na midia 👍👍👍👍
Mashaallah Alhamndulilah kwakiwango Kizuri kwenye Timu yetu namuomba M/Mungu atuzidishie zaidi Inshaallah
Inshaallah 🤲
Duuh allah atujalie uzima mashabiki na wachezaji wetu walai tumefungwa ila nimefurahi kinoma get well soon boka unakitu msimu huu tutafurahi sana
YANGA OYEEEEEEEE RAHA KAMA ZOTE.KIKUBWA DUA TU. TUMEINJOY. FROM💯💯💯🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲 OMAN. DUA KWA WACHEZAJI WETU NA VIONGOZI KWA UJUMLA👏👏👏👏👏
Pila Gamondi linaendelea vizuri 💚💛
Huyooo Abuyaa ukimuangaliaa kwa mbalii kama Maino hv wa England. Safii sanaaa timu boraaa Yanga 💯💯
nakubaliana na ww kbsaaaaa
Daima mbele nyuma mwiko is 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Thus my best team, i love you yanga, umwaaaaaaa
"young Africans played well in the second HALF they could equalize(Yanga walicheza vizuri ktk kipindi cha pili wangeweza kusawazisha),, maneno ya KOCHA wa timu ya ligi kuu UJERUMANI
Azizi andambwile the game changer duke abuya,max, baleke, dube, kocha anakazi.
Yanga Mungu awainue mko vizri Sana
Tuna team wananchi
Sana wachezaji wote wazr
Team tunayo na tunatamba nayo asiee
EWAAAAAAA💛💚💛💚🙌🙌
Umeonaeee💚💚💛💛
Great Performance on Game 1 of Pre season,, Bright future ahead
Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sii haba, something is better than none, YANGA Hoyeeeee 👏🏽💛💚💛💚
Gonga like za habuya hapa🙌💚💛💛🇿🇦🇹🇿
daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥
Hongera dicson jobe
❤❤❤❤yanga hii jaman tutafika mbali sana inshallah
Inshaallah
💛💛💛💛💚💚💚💚🙏🙏🙏.......Hatunaga baya,......tunafurahi saaaana.......Mungu atatusimamia.
Great job, mjeremani kaomba mpira uishe tu maana pumzi ya moto iliwashukia
Dk za mwisho ndio ilikuwa hatari ndio wangeanza hivyo hingekuwa hatari zaidi
@radhiamussa1629 yes lkn kimbinu hapo Gamond Kuna code kazificha tarehe 8 siyo mbali😀😀😀😀😀yeye anasema I told my team to enjoy football ndo maana wala hakuonekana kuelekeza chochote
Kuna mchezaji wao wajerumani alikwenda kumwuliza mbona muda hauishi, akamwonyeshea stop ⏱
Tuna timu nzuri, kesho yetu wana familia wa Yanga Sc ni bora zaidi kuliko leo, Yanga Sc chini ya master Gamondi iko mikono salama kabisa, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
Amin 🤲💚💛💛💚
Ameen 🎉🎉🎉
Inshaallah Amin 🤲
Wananchi asiwadanganye mtu hii Yanga inabeba kila kitu msimu ujao kwenye NBC na Africa lazima tucheze fainali au nusu fainali. Gonga like kama unakubali.
Wazungu hamuwawez
Simba ndiohuainawaweza wazungu siosisi yanga
Simba ndiohuainawaweza wazungu siosisi yanga
INAbeba MPAKA mimbaa
@@akimAkimuWA-m3tUbuntu kajifunze kusoma
Hii ndio yanga timu ya wananchi💚💚💛💛
Asante yanga asante wachezaji kwakujituma kiukweli mmeonyesha kitu ASANTE VIONGOZIWETU KWKUIFANYA YANGA IWEKUBWA AFRICA.
Team tunayo
Kazi Iendelee akhui mazoezi mazuri tunawaombea kila la kheri wananchi
Hakika vijana wameonyesha kiwango kizuri mungu ibariki yanga ❤❤
Duke pambana mwanakwetu team 🇰🇪🇰🇪tuko pamoja na wewe.....all the best brother.....like zenu tunaotoka Kenya
Hongereni sana wachezaji wetu u really did the best 🎉🎉🎉
Hongera diara 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Job,,,,,kidogo tu wamuuuwe sio kwa moto ule 😂😂😂but hongera My TeAm
Dah kumbe tuliiona weng but alikipiga nying kipind cha pili😂😂
Inawezekana kutotulia na pressure alikuwa nayo kipindi Cha kwanza
Exactly kipindi cha pili alitulia akaubonda mwingi
Alitembelea tumbo chezea mijerumani ww😂😂😂😂😂 Yote kwa yote hongera timu yangu.
Daa Raha sana
Young mmenifurahisha mno. Abuya Nzengeli hamna. Baya.. Mtumbi kutoka Berlin Ujerumani
Duke abuyu na max mpia nzengeli Hawa ni watu wa kazi mafundi kweli kweli 🎉🎉🎉
😢😢😢Kocha Gamondi anambinu nzuri na pia inaonyesha kaumia aseeh hasa nafasi ya dube aliyo kosa aseeh mana amesema ingekuwa sale endapo Dube angefunga lakini yote sawa
Yanga tupo moto sana
Wanainchiiiiiii,Team la Eng,,,achana na mganga magoma ,,,,mpiga lamli
Yanga 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Alwatan 🔥🔥🔥
mimi kipa wetu ananifurahisha hongera sana tim yetu pmj naviongozi kwa ujumla
Great team nice performance
Natokea mkoa wa songwe nimeburudika sana niliimis sana timu yangu nimefurahi.
sema Job ni wise sanaa kama huwa unamuelewa jiunge nami hapa
Kikweli Mungu atutunzie nyie akazidi kuwaunganisha muwe na combination nzuri nzuri zaidi yani na boka akapone haraka kwa uweza wake Muumba asikae sana in Jesus name🙏yanga yetu tunajivunia hakika 💪💛💚💛💚🙌🥂👌🔥🔥🥰
Endeleeni kupamba mungu awatangulie katika michezo ijayo ya mashindano mbalimbali 🙏🙏💛💚💪💪🔥🔥
Naipenda yanga yangu
Weka like nyingi kwa max maxzingeli
Hongera sana
Aiseeeh kama una wivu jinyonge Yanga Bingwa
Yanga jamani hadi raha ❤
Wa kwanza naombeni like zangu😂😂😂
Hongera sana Abdulaziz, unamiminika na yeyote tu.
Maxi ajengewe sanamu kabisa
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪🏆🏆🏆🏆🏆
Nahoza kagaragizwa kwa ajili yetu big up
Mungu azidi kuwabariki yanga
Gonga like kama umepata burdani
Abdullaziz hongera sana kaka.....
Ninawasiwasi namadu duka yarehe 8 je wareta timu &&___yanga noma
Kama umemkubali abuya like zitiririke apa🎉🎉🎉 utulivu mkubwa
🎉🎉❤❤😂😂❤❤❤😊😊
Mbonamnafungwafungwa? Inamaana waliwaalika iliwawafunge
Uyu n fundi mzee
Abuya n wa nchi gani mazeee
@@BushiriAlly-d7f kijana wetu huyo kutokea Kenya...starboy
Hiii mechi nimeipenda kwa kweli nimelizka na kiwango cha Yangaa najua kitazidisha juhud mara dufu
Timu Bora kuwahi kutokea Tanzania 🇹🇿🇹🇿
Honger6 sn Wananchi🎉🎉🎉
Kwa jiran na nbc mwaka huu kazi ipo
Yanga raha sana tuna jivunia san timu yetu ya uyu mwaka inshallah tuta fika mbali msimu huu
He is dangerous man the future of midfield of dar young Africans,,,, congrats man good answers great maturity
Yanga ni 🔥 🔥 🎉🎉❤❤❤
Daima mbele nyuma mwiko Asante mungu
Great work team yetu. MUNGU awatunze❤
Huyu abuya ni hatari
Wanainchi tuna timu wapinzani wajipange💛💚💛💚💛💚💛
Mechi nzur sana
Ongera alwatan
Augsburg wanabahati Pacome hakuwepo, angewavuruga madefenders
Jamani mmecheza vizuri sana wenye visokoro kwinyo watakufa siku c zao yanga bingwa daima.
Wananchiiiii let's Gooooo Pamoja 💥🔥💯💫💚💛🌟
nashukur sana kwausanjl huu watateseka sana