Familia moja yapeleka maiti kwenye mkahawa kudai deni

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 24

  • @agneswambua9890
    @agneswambua9890 ปีที่แล้ว +2

    We hivo ndio inafaa ataondokaje aache pesa zake n huu uchumi

  • @stanleynyangweso4485
    @stanleynyangweso4485 ปีที่แล้ว +3

    Ndio maana sipendi machama

  • @fadashianstarfadashianstar1094
    @fadashianstarfadashianstar1094 ปีที่แล้ว +4

    Apewe haki yake

  • @lisiruth6664
    @lisiruth6664 ปีที่แล้ว +3

    The financial crises that is is kenya will course alot of drama.

  • @winniemwash8075
    @winniemwash8075 ปีที่แล้ว +1

    Cheza na mkisii utajua hujui

  • @mutegetsidavid5779
    @mutegetsidavid5779 ปีที่แล้ว +3

    Yaani walio hai tunakosa yakukula na bado maiti inadai

  • @geofreyngero9449
    @geofreyngero9449 ปีที่แล้ว

    Watajua hawajui kwamba wakisii hawakopwi. Na akicheza sana na kutolipa kienye kitamwandamania kwa biashara zake hasiulize mtu aende tu kwa kaburi ya mwanachama wake akazungumze naye. Na iyo deni itakuwa mingi kuliko sa ii

  • @galaxyqwer7438
    @galaxyqwer7438 ปีที่แล้ว +2

    Dawa yadeni nikulipa

  • @blessingsblssd
    @blessingsblssd ปีที่แล้ว +2

    Kenya my country🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mariadaniels5653
    @mariadaniels5653 ปีที่แล้ว +2

    Madness is real

  • @euniceachieng9175
    @euniceachieng9175 ปีที่แล้ว +2

    Deni ilipwe mashishi iendelee

  • @marykinuthia6067
    @marykinuthia6067 ปีที่แล้ว +3

    Alipe yote.

    • @annwanjiru8897
      @annwanjiru8897 ปีที่แล้ว +1

      Aki 😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @salimhassan3369
    @salimhassan3369 ปีที่แล้ว

    Dunia we ina enda kwa kasi

  • @pascalinejebet1508
    @pascalinejebet1508 ปีที่แล้ว

    Haki ya marehemu

  • @mosesriro1449
    @mosesriro1449 ปีที่แล้ว +1

    Hizi ni ufala ati ,,,Maiti inafai deni

    • @marymutavi
      @marymutavi ปีที่แล้ว

      ufala uko wapi hapo?

  • @kwao6902
    @kwao6902 ปีที่แล้ว

    Haki yake mngempa akiwa hai . Hypocrites

  • @Travelwithfred
    @Travelwithfred ปีที่แล้ว

    Alipe deni

  • @jennifernawile9808
    @jennifernawile9808 ปีที่แล้ว +3

    Ata sasa amajiaribia kazi alipe deni kuletewa maiti kazini iyo ni kisirani

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 ปีที่แล้ว

    Wangeacha Tu huko aendako ndo kuna malipo ya kweli ,siatakufa Tu na yy huyo mwenye mgahawa

  • @queenlucky254
    @queenlucky254 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂😂