Haya maswali ya Hans ni ya kiboya sana. Kwanini kila siku unauliza Simba kuchukua mchezaji Yanga? Alimuuliza Ahmed Ally akajibiwa kihuni na bado hakomi. Mbona hajawahi kumuuliza Ali Kamwe kuchukua mchezaji Simba? Aache utoto na ushabiki. Uchambuzi unahitaji weledi na sio ushabiki. Ajifunze kwa Jemedari
Mbona mnamwogopa mangungu nyiny waandishi wa wapi? Mangungu wew unafaa Kwa siasa za CCM sio kweny mpira Tena utafaa sana koz unakua kung'ang'ania uongoz
Huyu hansi yaan sijui hana akili kuna mda alimuuliz ahmed ally akamjib kagoma sas leo anarudia tena sijui anatak jubu lipi ?? Mfqno tu apo yy aulizwe kati ta crown na wasafi fm ipi ni bora tuone atatoa jib gan
Good technique ya kujibu maswali ya mtego yan hans alitaman Mangungu aseme mfano max, pacome na wengin ila kajibu kama kiongozi wat an intelligent
Big up M/kiti kiboko cha wachambuzi mbuzi uchwara km hao ubaya ubwela
Kwa staili hii Amhedy anahaki kuwa na kiburi kama mwenyekiti mtata hiv wengine vip😅😅😅😅
MWAMBA KABISA MANGUNGU 👏👏
Timu kubwa kama ya Simba haichukui wachezaji Toka kwenye timu ndogo kama Yanga utopolo
Facts
Hans.unapenda sana kuwa uliza viongozi wa Simba hilo swali umetumwa au
😂😂😂😂😂amekariri
We hansi wew samtaim unazinguwa yani umejibiwa na Ahmed lakn hujarizika basi mpelek hawara wako pale nyuma mwiko tutamsajili ili urizike
Chama alikuwa na sio sasa
Mangungu mwenyewe mastermind....akili za hans ni kutaka kutengeneza value ya ya wachezaji wa team fulan
Mko bize na Simba na Yanga mnaacha kuripoti maendeleo ya viwanja na academy mpaka anakuja kurepot Micky Jr
Simba/Yanga ndio content
Simba Nguvu 1
High IQ,
nasa saini ya aucho
Mangungu kiboko mnooo atakagi upuuuzii kabisa
Mangungu ni mtaalam sana wa kujib maswali
Maswali ya kizushi halafu akikosea kujibu mnapata head line!
Mangungu wakomeshe hasa huyo zwazwa Hans...anayeiita simba underdog
Kichwa kabisa Mangungu huyu. Hao watoto wamesanda!
WANASIMBA WOTE TUWE NA USHIRIKIANO. ILI TIMU YETU ISONGE MBELE
Hawez kujib kwasababu yup apo kiushabuk na sio kimpila
Hivi nikweli hao wanamchezaji kama pacome na max au niushabiki tu
Mwandishi has nimchonganishi.
Kwanza chama wa nini simba muda wake uliisha
Hao pasuwa si watu wa mpira,ni mshabiki wa timu flani,maswali ya ya kipuuzi
Nawala hawakuwajibu kuwa chama hatumtaki isipokuwa aliwajibu kuwa wao ndo huwa wanachukua wachezaji kwetu bav
Na yanaulizwa na wapuuzi
@@richardkonzo5717 yaaniiii
Hans analeta uyanga mpaka kwenye kazi yake
Jina lake linafanana na majibu yake..!
KWANI CHAMA AMEWAAMBIA ANATAKA KURUDI SIMBA YEYE NI MWANANCHI BANA NA HAWANA UBAVU WA KUMCHUKUA MCHEZAJI WA YANGA
Watu wote wamejiuzul bd yy TU uy mjinga ana manen mabovu San uy jamaa
Haki mangungu umejua kutunyooshea hans
Waandishi wa habari wachonganishi sana, hicho kichwa cha habari mbona hakiendani na majibu ya Mangungu. Akili kumkichwa
Kipo sawa sikiliza vizuri
Uyo Mangungu mwenyewe sisi Simba hatumuelewi hata kidogo, yupo kwa mahitajì ya mwenyekíti tu
Humtaki ww sio ote
Wew km nani sasa
Mm kama Mohammed
Wapuuzi sana nyie, mlimwacha Chama mkaenda kuchukuwa wachezaji gani sasa
Huko alikokwenda kaleta faida gani.. Kila siku chama chama chama. Kuna muda ni lazima uangalie mahitaji
Mangungu kiboko❤❤❤❤
Hansi anafosi lazima mchezaji atajwe kutoka nyuma mwiko
Msaliti wa kusaini mkataba miezi sita kabla ya mkataba akae hukohuko
Haya maswali ya Hans ni ya kiboya sana. Kwanini kila siku unauliza Simba kuchukua mchezaji Yanga? Alimuuliza Ahmed Ally akajibiwa kihuni na bado hakomi. Mbona hajawahi kumuuliza Ali Kamwe kuchukua mchezaji Simba? Aache utoto na ushabiki. Uchambuzi unahitaji weledi na sio ushabiki. Ajifunze kwa Jemedari
Kwa hiyo wote hapo mnalazimisha wachezaji wa Yanga wasajiliwe Simba??? Wapuuzi kweli
Wanaouliza maswali hata hawajielew asee
Mbona mnamwogopa mangungu nyiny waandishi wa wapi? Mangungu wew unafaa Kwa siasa za CCM sio kweny mpira Tena utafaa sana koz unakua kung'ang'ania uongoz
Hans na hyo dogo mna mawsali ya kitoto xn cjui nan kawaweka hapo, xaxa kwn lazma asajil mtu kutoka yanga nd akamilishe project???
Huyu hansi yaan sijui hana akili kuna mda alimuuliz ahmed ally akamjib kagoma sas leo anarudia tena sijui anatak jubu lipi ?? Mfqno tu apo yy aulizwe kati ta crown na wasafi fm ipi ni bora tuone atatoa jib gan
Hawa jamaa ni wana michezo kweli?
Wanaulz maswali ya ajabu
Wachambuzi mchwaraaaaa
Ninatamani kusikia msjibu yanayiendana na kichwa gha habari
Tanzania wachambuzi 0000 kuna vilaza tu
CHAMA HANA NAFASI SIMBA KABISA..... ABAKI ACHEZE HUKO HUKO YANGA
Kamwe asirudi ili iwe fundisho na Kwa wengine
I.q
Leo mangungu kaonekana lulu zile 5 hamkumtaka
Washabiki wa mpira wa tz wengi mambumbu wanaenda na matokeo ya siku sio mpira timu ikifungwa wanaangalia Nani rahisi kumlaumu
Kweli mpira hawajui
@@RashidiMkongewa yani ni vituko
Hapo hakuna mchambuzi bali ni ushabiki tu
hatutaki mchezaji kutoka muembe makundi
Huu ujinga, swali gani unauliza eti ni mchezaji gani kutoka Yanga, huna swali lingine.
Yaan mada ni mchezaj gan atachukuliwa toka yanga kwa kip??sisi co okota okota km wao eboooo
Sema hamna wachambuzi apoo 🚮 🚮
Hanc kang'ang'ania wachezaj wa yanga matako yako kafuate akili ulipozipoteza af cjuagi anachambua vitu gan hyu mpuuz
Kwani wachezaji wapo yanga2 wachambuz mbn wajinga nyinyi
WAANGALIE HAO WANATUMWA NA ENG. HASS
Kamwe asirudi ili iwe fundisho na Kwa wengine