semaji ,kuanzia bench,wachezaji,uongozi na washabiki tupambanie timu tayari majungu yameanza kwenye nbc,crdb na caf hilo la uraia ujumbe umefika ubayaubwela
Ni vipi simba ikiwa atakuja kuwa bingwa chini ya huyu mwamba?maana anainogesha simba hatakama bado mataji hajabeba huyu jamaa apewe mkataba wa miaka 25 ili mwanae ajekumrithi
nani mwenye kiti yanga bado hatuna msemaji bado mtoto timu kubwa kamwe anabwabwaja tu tatizo ukweli hatuutaki tanzania ndio maana hatufiki mbali
semaji ,kuanzia bench,wachezaji,uongozi na washabiki tupambanie timu tayari majungu yameanza kwenye nbc,crdb na caf hilo la uraia ujumbe umefika ubayaubwela
Simba ubaya ubwela tabora lazima walie
Simba Hana mshindan
Kwa Tanzania wote wale ni wanafunz kwa mnyama
Ni vipi simba ikiwa atakuja kuwa bingwa chini ya huyu mwamba?maana anainogesha simba hatakama bado mataji hajabeba huyu jamaa apewe mkataba wa miaka 25 ili mwanae ajekumrithi
Mwenyekiti wa wasemaji yupo zake Morocco🙆🙆🙆🙆
Ukiona msemaji anaitwa Morocco ujue timu yake imetolewa club bingwa 😂😂
Tena Hana kazi yakufanya huyo
@@laninjeje8290wameona Bora wamfaliji maana alishapoteza matumaini😂😂😂😂
Na ndio maana wameitwa wanasio na kazi za kufanya
Bwana harusi yupo mtaani
Mwisho kuwafunga hao wengine ila kwa wanagusa achia twende kwao
Wacheni hio haina faida yoyote kuwaombea uraiya.Hilo halifurahishi tena tulipinge wananchi tuacheni ushabiki .Tukataeni kupewa uraiya hao na wengine .
Mbona Utopolo mmeomba uraia na mmepewa kwa wachezaji wenu wanne
Kwani waandishi huwa hamna maswali ya kuuliza?mambo Mwenda linakujaje hapo
Huyo kolo hapo nyuma yy akenua tuu
Mmejipendeza kuwaombea wachezaji uraia
Kwaiyo Tabora walipo ifunga Yanga military pera?
Yanga.vs.mamelodi.robo.fainal.2025.kwa.sababu.jana.kashinga.5.0.ally.kamwe.kafrai
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂