Moja ya mwnamke ninae mpenda kw sura ata akicheza ki hisia n wastara juma nampenda sana huyu bint nataman awe sehem y maisha yng toka filam y peremende alinivtia sana
Jaman nmecheka balaaa huyu baba na jb na wote hapo wamenfurahsha baba wastara ninoma sana. Yan jna kabadlsha ni musabaha nankikuita uitke rabeka baba. Yan muv nzuri sana
Hili ni somo kwa dada zetu wasizuzuke na pesa na hii ipo sana hata kama ni acting dada zetu wanapenda maisha mazuri ndo maana yanawatokea puani bora uolewe na fkara unafahamu maisha yake
Kwa kweri mimi ni murundi from BURUNDI , hii filamu imetufunguwa akili na kuwa makini na watu ambao wanalonga saana. Kisa eti wanamiliki hivi na vile. Apa mjini guys... Keep continuing your video casting. We just love you more our Scineast's group. Good job
Wah! Wah! Jacob today you've nailed it😁😁kumbe kuwa na mwili mkubwa inasaidia, bora uvae smart atakayekuona anadhani you are somebody not knowing that you are just someone🤣🤣🤣🤣
Yn hyu jamaa tapeli snaa na amecheza vzr sna yn sini zake kuliko dude yn Yn JB too much snaa yn kwan anakuibia ukiwa hadhir haswaa yn This movie is good kwa kweli
Wow movie nzur sana Jb na wastara nanyote kwenye filamu hii mko vzr sana hongera bonge la movie i hv learn so many things frm this movie lov u all🤗🤗🤗😍😍😍😘😘😘❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Utapeli wa DUDE umekaa vizuri sana zaidi ya huu, ingawa idea nzuri na picha nzuri lkn jinsi utapeli unavyoendeshwa ni wa kitoto sana,huwezi kumpa mtu 70M on the spot just kwa kuwa anataka kumuo bint yako,
Yalinikuta mimi jmn yan ctosahau na cku zote ukiona dume lajipa masifa lenyw ujue hapo hakuna kitu ni bom la machozi hilo 😀😀😀😂 na wanakuwaga na maneno matamu hao hehehheee kwakwel
JB akisikia hela anawewesuka tunaoangalia 2024 like pls
Tupo
Wanaomkubali JB kwa kazi zake twende sawa 2023
Wanaoamini JB amefanya vizuri kwenye hii movie weka like yako twende sawa 2021
Moja ya mwnamke ninae mpenda kw sura ata akicheza ki hisia n wastara juma nampenda sana huyu bint nataman awe sehem y maisha yng toka filam y peremende alinivtia sana
Asante sana
🤣
Jaman nmecheka balaaa huyu baba na jb na wote hapo wamenfurahsha baba wastara ninoma sana. Yan jna kabadlsha ni musabaha nankikuita uitke rabeka baba. Yan muv nzuri sana
Hili ni somo kwa dada zetu wasizuzuke na pesa na hii ipo sana hata kama ni acting dada zetu wanapenda maisha mazuri ndo maana yanawatokea puani bora uolewe na fkara unafahamu maisha yake
Duh uyu jamaa ni noma Sana yaani furu kupiga pesa kwa raha zake mjini bila akiri auishi kabisa duh hatari Sana 😀😀😀
Baba radhia umenichekesha ayo maswali na mbwembwe 😄😄😄
Mbwembwe zote katapeliwa 70M😃
Dah huyu jamaa nina mpa saluti ame tisha kwa kifupi.🤝
Kama umemuona shangaz habiba hapa nipe like jamanii
Hiii movie kidgo imeanza kunivuta kuangalia bongo movie kwa Mara nyingine tena, big up pu pu puuuu
Ni ya zamani hiyooo
@@daniellouisbeckford8222 ndo nimekumbuka kuwa nixhaiona ila bado iko makini tunaombeni jb ngoma nyingine mm namkubali
Wastara uko vzr dada nakupenda sana mwenye zimungu akujaalie katika kazi zako
Kumbe uyu dada mwenye gar ilio gonga ni amandina jamn🥰
Mzee mbaya kama njaa 😂😂. all the way from +254 kenya 🇰🇪🇰🇪. naipenda movie
Asante sana
@@BongoCinematv karibu, kenya twaipenda cinema yenu
Hahaaaàaa kweli ni mzee wa swaga kaumbwa kutapeli dah anatumia mbinu za kiakili
2024 who's watching with me hii movie kali🎉🎉😂😂😂😂😂😂
Huyu bonge la mtu jamani, napenda uigizaji wake,💪🏿💪🏿, nice movie. Napenda bongo movies.
Anaitwa JB
Eti kwa hiyo ela mmeziweka tu Jb😂😂
Umekutana na ele ana kwa ana😁😁😁😁😁
Kumbe kasikia milioni 25 ziko Ndani zimekaa😁😁
Kama umeona Nyerere Square Dodoma naomba like
Jbii anajua kuimbisha demu🤣🤣napenda moves zake
Mwanaume wahivi mungu aniepushe nae kabisa
🤣🤣🤣
na huto mjuwa sasa maana mwanzo wa mapenzi utajihic upo dunia nyengine😂😂😂😂
Uweke Ubinadamu na Mungu mbele other things hufuata tu amini tu kwamba Mungu atakuletea sahihi kwaajili yako.
Ameen yaraab alamiin
Kwa kweri mimi ni murundi from BURUNDI , hii filamu imetufunguwa akili na kuwa makini na watu ambao wanalonga saana. Kisa eti wanamiliki hivi na vile. Apa mjini guys... Keep continuing your video casting. We just love you more our Scineast's group. Good job
Sana
0
E
Nani kakuuliza we ni mrundi?
This big guy got talents he deserve a bet gifts
Gd movie my brother jb, you the best in east Africa
Duuuuh mzee unamaswali hatareee🔥🔥
Some body here 😁😁😀😀 mzee Ana maneno huyu
🤣🤣🤣🤣
Lkn kakaaa kudadeki
Noma uyu mze
kali sana, ila mzee wa swaga unatuchelewesha kutoa mpya
Nabado nyi
Jamn muendeleo wake move kali nimeipenda yaan daaa!! Anajua kuimbisha na mtu akajaa yaan hatar san Jb umetisha kak
Jacob Steven ni actor mkali saaaaaana
Kala milion 40 iviivii dooo mkongo
Ety ninaweza kumnulia ndege 1 2 3 jamani baba yake bwana 😂🙌🏼 yeye somebody sisi nobody
😂😂😂😂😂😂
Anaongea vzur huyu baba hahahaaaaaaaaa
Hii movie ni noumah .........
Nairudia tena this time ni 2022👏🏻👏🏻👏🏻
2023😮
Kazi nzuri kiongozi wewe Ni kielelezo bora..endelea kuchapa kazi
Maishaaa ya,kitanzaniaaa uchum wakee n,wachin ivooo,wadadaa kuen,makn,mjn
Wah! Wah! Jacob today you've nailed it😁😁kumbe kuwa na mwili mkubwa inasaidia, bora uvae smart atakayekuona anadhani you are somebody not knowing that you are just someone🤣🤣🤣🤣
Nimecheka kama fala😂
🤣🤣🤣
.
Nakupenda mno JB na mautapeli yako mungu anakuona😂😂😂
😁😂🤣nikuzikula bila hutuma wazaz wasiku izi wanapend pesa sana
😂😂😂
Umekutana na hela ana kwa ana😃😃
Yn hyu jamaa tapeli snaa na amecheza vzr sna yn sini zake kuliko dude yn
Yn JB too much snaa yn kwan anakuibia ukiwa hadhir haswaa yn
This movie is good kwa kweli
Hakunaga movie mpya tena. Nizazamani tu
Wow movie nzur sana Jb na wastara nanyote kwenye filamu hii mko vzr sana hongera bonge la movie i hv learn so many things frm this movie lov u all🤗🤗🤗😍😍😍😘😘😘❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Comment zinardhsha let me look inside now😂😂😂😂
Kabisa
muvi zuli Sana nimeipenda
tuji funzejamani ayamaisha
Bonge la picha tamuuu, Shukran sana, acha niendelee nione hatima ya Tapeli.
😂😂kila filamu lazima nione comment yako😂 ukisiifia ndio naangalia
Usitafute shali ingali salama ipooo.....
Safi sana good movie
Aah kweli jb we we in msani ukionekana kwa jukwa nibichekesho tupu.
This move was been searching Asante Sana
Nakupenda sana jb mungu akubariki sana🤣🤣🤣🤣
haaaaaaahaaaaaaaa umetisha sanaa kwaswagaaaaaa
Wen the deal is too sweet think twice....nice movie
Wale wakusoma comment kwanza bongo movie mkowapi?
Umeuwa kaka
Tupoo
Mzee wa swag jb kiukweli nakupenda tu bure ati bakongo 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Wow..so nice
Finally nimeipata nimeitafuta sana tuwekeeni move za Jacob ni mbona sana
Nambie mwendelezo wake
Jb wewe nitopu sijaona mgizaji kama wewe my brother unitishsa sanaa
😂😂😋😂dah bando langu limetendewa haki jmn
Kabisa
Bonge la moves jb kiboko kwenye moves,hafanyagi makosa
Ina miaka kama mitano sahii ni ya kitambo tangia nko class 8
One of the best movie ever 2024
😅😅😅😅😅sio kwa maswali haya ya ba mkwe jmn ,,
Nmrchekaaa
JB-Akikaza kidogo tu😃😃😃 Unamuona level za late the Great so rest in Peace.
Akuna msanii Kama jb Tanzania, kanumba angekuwepo tungefaidi mungu amlaze pema peponi
Mbona wastara humu mweus tea ksnenep sanaaa nimefrah kumuon chimbeni jpo kazeeka miak mingi sijawaon bi hawa na chimbeni movie nzr
Love you JB mwaaaaaa!
Jb noma sn mzee waswaga
Umekutana na hela moja kwa moja😂😂😂😂😂😂
Uso kwa uso😂😂😂
Eebwana we, nakuvulia koti we basi tenaaas.
Umekutana na helaa anaa kwa anaa
Namuona bamkwe wetu bwana Mashaka
Hajawahi niangusha JB
Tumeweka milion 25 ndani zinakaa tu hahahahha😂😂😂😂
Imagine unaeka hela ndani jamani ningekua mmi nshaila viazi😂😂😂😂
Dadacell Dadacell 😂😂😂😳unapenda kulasana ww
Hatariii saaana aiseee
Dah imekaa pw saan MZEE wa swagaaaaa😂😂😁😁😀
Congo Man Love it....
Yaani JB kila mouve zako niziangaliapo huaga sizichoki upo vizurisana
jina la movie halisadifu yalimo🥺
Angalia vizuri utajua nini
JB he's more than dude🤣🤣🤣
🤣🤣
Umekutana na hela ana Kwa ana
Wastara unaonekna unapenda kula kinoma unaweza maliza mkungu w ndizi aki
Mmmmh baba 😳😳😳mmh baba😳😳Subuhna llah
Nimewapenda nyie mpo vzr jaman 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Muendelezo pleaseeee
Jb upo kimya Sana dah napenda move zako
😁😂🤣muze waswaga uko tapele sana
Les Congolais tujuwane hapa
Hahaha kama bongo daresalaam
Hhhhh izooo elaaa zmelushwa
Asante sana
I
Kuchepa dou keep ter
ihi movie n Kali sana
Thanks so much for your personality
Wajina upo wapi
Kazi nzuri yaani bonge LA movie
boss mjini hapa...changa la macho hilooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Saf jb kaz vizuri sana
Wabongo fanyeni sinema za Kiswahili kutumia kiswahili si lazima muingize uzungu kwa filamu ya Kibongo,fikirieni sana hili
That part of iko bie it just killed me
Bi hawa na mashallakh znz nawapenda nyie viumbe
Jacob nakukubali sana ,,,uku vizuri
Much love mh mzee waswaga
Papaa derick tajiri wa madini unajua saaana mshikaji
kuna watu mashuhuli na movie uyuuu namba mojaaa
Shangaz habiba kumbe yupo kweny game kitambo
Utapeli wa DUDE umekaa vizuri sana zaidi ya huu, ingawa idea nzuri na picha nzuri lkn jinsi utapeli unavyoendeshwa ni wa kitoto sana,huwezi kumpa mtu 70M on the spot just kwa kuwa anataka kumuo bint yako,
Yalinikuta mimi jmn yan ctosahau na cku zote ukiona dume lajipa masifa lenyw ujue hapo hakuna kitu ni bom la machozi hilo 😀😀😀😂 na wanakuwaga na maneno matamu hao hehehheee kwakwel
na kwambia acha tu
hahahhhahahhaha mbavu zangu aise ....ila umesema kweli ..
Nimeipendaaa sanaaaa
Nice part 2 please