Wakili Matojo Afunguka Sarakasi Uchaguzi TLS Hadi Mwabukusi Kushinda Urais

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • #ijuesheria
    Amesema hayo wakili Cosatta Matojo wakati akichangia mjadala kwenye MARIASPACE kwenye mtandao wa X zamani (twitter) jana tarehe 05 Agosti 2024.

ความคิดเห็น • 11

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu1485 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera mawakili, mlitumia akili kubwa mmno, Mungu awabariki sana!
    Your thoughts out of the box, brought light to the society by providing presidency seat to Mwabukusi 💪💪

  • @olwinmbangwa2056
    @olwinmbangwa2056 หลายเดือนก่อน +1

    Bunge bila posho. Hii mbinu safi sana. Kama mawakili mpo wengi nadhani itakuwa vyema kusimamia uchaguzi mkuu ule "wajuu zaidi"

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc หลายเดือนก่อน +1

    Mungu anawatu wake nchi hii

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 หลายเดือนก่อน

      Nothing is impossible when God is in your side 🙏

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน

    👊✌️👍.

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 หลายเดือนก่อน

    AKILI KUBWAA HIII SAFI SANA...HAWA MACCM WAMEFELI SAFI SANA

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p หลายเดือนก่อน +1

    Kwan nyie mnatakaje embu fanyen mqmbo mengne yanayoonekana alafu mjifunze kwanza kuongea ndipo mje kulq bando letu

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 หลายเดือนก่อน

    kama ni kweli dola ilitumia fedha ili Mwabukusi asishinde, basi Dola hii ni ya majambazi.Haifai.Na ni upuuzi na ujinga wa aina hii unaofanya nchi za Kiafrika zisiendelee.Tunabaki ombaomba tu.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 หลายเดือนก่อน

      Hebu tuache ujinga, Serikali ya wapi itake kitu kisiwe. Ni upuuzi!

    • @merumount5988
      @merumount5988 หลายเดือนก่อน

      Ni mambo ya ajabu sana..ndio maana serikali hawataki kumruhusu Elon Musk kuileta starlink hapa Tanzania kwa sababu wana hila kwenye mambo ya uchaguzi ku-temper na mitandao kupitia makampuni ya simu!

  • @saidyemanuel8924
    @saidyemanuel8924 หลายเดือนก่อน

    Tupeni link na sisi wananchi tuongee