Masengeli aomba mahakama msamaha asema hakukusudia kukaidi mahakama

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ย. 2024
  • Naibu Inspekta Jenerali wa polisi Gilbert Masengeli ameomba msamaha kwa mahakama kwa kukosa kuhudhuria vikao vya mahakama kuelezea waliko watu watatu waliodaiwa kutekwa nyara na polisi katika eneo la Kitengela. Masengeli ameapa kuwa atahudhuria vikao vya mahakama na kutekeleza wajibu wake wa kuhakikisha sheria inafuatwa. Aidha ameelezea kuwa hakufanya kusudi kukataa kufika mahakamani bali alikuwa na majukumu ya kikazi yaliyomfanya kukosa kufika mahakamani. Aidha amesema kuwa anaheshimu mahakama na atawajibika. Haya yanajiri huku akikata rufaa kuhusu hukumu ya miezi sita aliyopewa na jaji Lawrence Mugambi.

ความคิดเห็น • 46

  • @danielogana3972
    @danielogana3972 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +16

    “A Fool does last what the Wise man does first”. But most importantly the Kitengela 3 are free! Kudos to the Judge Mugambi for doing LAW.

  • @brendawafula6592
    @brendawafula6592 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +12

    Afungwe awe funzo kwa wale police wengine

  • @VaneKemunto-i3g
    @VaneKemunto-i3g 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Mungu ushusha wenye kiburi

  • @irenemachogu201
    @irenemachogu201 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Ameona kumbe alikuw na makosa ya kutosikiliza koti sahizi

  • @mutisyatimothy8199
    @mutisyatimothy8199 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    Amalize kifungo kwanza na aombe wakenya msamaha halafu haresign; we don't want to hear or see people like him

  • @JamayaJames
    @JamayaJames 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    This is a mockery to the judiciary

  • @isaacmulingemutiso9860
    @isaacmulingemutiso9860 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    BURE KABISAA

  • @morgan6003
    @morgan6003 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    This criminal in uniform should be jailed

  • @alimasha-qh3vn
    @alimasha-qh3vn 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Kwa hivyo ss nasi tukuwa bizy nakama tumeshitakiwa tusiende

  • @robertmwangi363
    @robertmwangi363 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Kenya iko poa

  • @Johnkebaso-j2l
    @Johnkebaso-j2l 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Yaani,wale politicians wako hapa court,unadhangaa hii Kenya n ya politicians.kama osoro.see adi attorney general.yaani wanakam kusaidia mfungwa

  • @Wekeaudi-hc3cp
    @Wekeaudi-hc3cp 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    And thats how we bend the laws to protect powerfull individuals in kenya, lets save kenya from these hyenas

    • @danielogana3972
      @danielogana3972 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@Wekeaudi-hc3cp I don’t understand how the Law was “bend the laws to protect powerful individuals…”. Perhaps you could explain or elaborate more.

  • @motivationhub5287
    @motivationhub5287 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    He should be jailed

  • @magawill7522
    @magawill7522 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Pride comes before a fall

  • @JaneJemima-nl7ec
    @JaneJemima-nl7ec ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Masengeli has very stupid advisors. Why would he ask for apology, while the court ruling was based on coercion. In the first place, he wasn't in office when Gen Z protests started. Luhyas have very poor reasoning quota. If it was Kinoti the ex-DCI director, he wouldn't even attend or offer apologies for such court nonsense.

  • @SamKamau-et9ci
    @SamKamau-et9ci 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    😂😂😂😂after kuona mzee Douglas amepewa kazi yake😂

    • @MrUnfamilia
      @MrUnfamilia ชั่วโมงที่ผ่านมา

      🤣😅🤣😅

    • @mercymuthoni2940
      @mercymuthoni2940 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Why am I laughing??? 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅.....

  • @Mkuruweng
    @Mkuruweng 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    He should be arrested 🙄

  • @daprince7545
    @daprince7545 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Alisahau sheria nikama msumeno, aende atumikie kifungo iwe funzo kwa wengine.

  • @AryAart-kj4uk
    @AryAart-kj4uk 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    alikuwa akifiria atakuwa kwa hiyo kiti milele,kitamuraba

  • @KagsAtLarge
    @KagsAtLarge ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    He should be apologising from jail. He must not think he is more important than other Kenyans just because he wears a uniform that is bought by Kenyans. He should serve his time in jail and loose his job. Hii Kenya ujinga na maringo zitaisha.

  • @harrynjenga
    @harrynjenga 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Nonetheless, he shouldn't be in office. Afutwe kazi huyu

  • @AugustineMuthui-r9r
    @AugustineMuthui-r9r 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    So I can steal and say sorry 😂

  • @martins.k3359
    @martins.k3359 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    No way first and fore most tell were about and what he knows about the 3 citizens second serve as example to the nation and also the court has to show the upcoming judges it it means being a judge you have to stand on the right and defend law always.

  • @Oj7748
    @Oj7748 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Once Kanja took office it was arap😂

  • @karitie98
    @karitie98 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    He should serve as an example to the rest nonsense 😂

  • @petemugo5932
    @petemugo5932 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Hakuendangi hivo the ship has sailed he is now a convicted criminal and the decision is final. Hakuna cha msamaha kwani yeye ni special

  • @flilechi
    @flilechi 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Msamaha wake ukikubaliwa kila mahabusu asamehewe

  • @cuttingedgeConsistentTraders
    @cuttingedgeConsistentTraders 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    So a court ruling can be overturned once declared

    • @evanskirangi4664
      @evanskirangi4664 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      In Kenya, under Zakayo, it is possible.

    • @danielogana3972
      @danielogana3972 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@cuttingedgeConsistentTraders no. The Ruling as I recall hearing it from the good judge’s mouth was that the three could be released immediately or Masengeli was to report to jail today. He the judge said very clearly that the purpose of the Ruling or Order was to get the 3 freed. And it has worked. Lets rejoice about the release.
      Lastly, the right to life is the most important right in all constitutions in the world. The rest can and do or should follow.
      Masengeli will be heavily fined for the contempt of court,

  • @abdullahiramadhan5779
    @abdullahiramadhan5779 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Jamaani kama.ameomba msamaha...msameheni after all wale watatu washapatikana from kitengela...muacheni mzee wa watu aendelee na majukumu yake ya ujenzi...Mungu pia Husamehe

    • @marywangari1120
      @marywangari1120 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      No way aede jela

  • @oumacalvin4756
    @oumacalvin4756 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Masengeli abebe mzigo yake

  • @mamoforole3917
    @mamoforole3917 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mbona now? Bcz amerusha jana sio?

  • @sylviawambui748
    @sylviawambui748 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Anaomba msamaha kaa ashawachiliya hao watu😂 mahakama ipewe heshima ajuwe hapo sio kingajo

  • @watmasta
    @watmasta ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Shame on you masengeli... ufungwe

  • @jamesgichuru-r9e
    @jamesgichuru-r9e 34 นาทีที่ผ่านมา

    In order to keep our country safe we must all obey the law,, afungwe awe funzo kwa wanaodharau katiba yetu na pia wananchi wa kawaida

  • @noahjenkins8408
    @noahjenkins8408 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Aende ndani hatutaki msamaha. He laid grounds for Anarchy period

  • @eddiesn5971
    @eddiesn5971 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Je sheria inaruhusu kuomba msamaha?😂

  • @quintinaC
    @quintinaC 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Wacha aombe msamaha 7×70 jeiri hii

  • @presidentnyamasyo48
    @presidentnyamasyo48 52 นาทีที่ผ่านมา

    Maanzo namba îsu ûûkûlya nînayo😂😂