Nabarikiwa sana Kwa mahubiri yako pastor David. Kwa kweli Uarabuni hatuna church so nimepiga Kambi kwa Mahubiri TV.Asanteni sana Mungu awajaze zaidi mno
Tunamshukuru Mwenyenzi Mungu kwa ajili yako mtumishi, haya mafundisho yana nguvu sana na wengi hatukujua nguvu ya haya mafundisho ndo maana shetani amekua akitutesa, sasa tuna mstari wa kusimamia, jina la Bwana lihimidiwe milele na milele.
Bwana na aondoe dhana zote za kushindwa,kutofanikiwa ,kutoinuliwa,kutoendelea kiuchumi,kutookolewa kutokana na dhambi ambao tumezitenda akajenge mazingira ya ushindi ndani yetu ktk jina la Yesu naomba,Amina
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kweli nimefunguka nilikua napitia mawazo mabaya nikawa naji hukumu sana niliposikiliza tu nimefunguka na nimeelewa Mungu na Roho Mtakatifu aendelee kukupa maarifa zaidi watu waweze kufunguka
Mch Mbaga,namtukuza Mungu daima kwa huduma yako,Mungu akutunze.Namshukru Mungu kwa ajili ya kisa cha baba yangu mdogo,nilichokitamaani kukiona katika maisha yake anacho,namaanisha Imani katika kristo.Utukufu kwa Mungu wetu milele na milele.
Pastor nimelia nilivyokuwa nikusikiliza kwenye hili somo,Mungu atusaidie sana Yesu aliwapenda wadhambi lakini leo sisi wanaadam tumekuwa wahukumu kwa kuwaona wenzetu wadhambi
😢 ki ukweli nasikilizaga mahubir ya wachungaji weng ila tangu nizaliwa cjawai muona mchungaji anayenigusa moyo wangu kama ww hakuna je ulishuswa tangu mbinguni ?? Maana ww co wakawaida amen
Am blessed to listen to the words of God. I believe that my sins are forgiven and I will go to heaven when Jesus Christ will come for the second time 🙏
God bless you pastor in a big way you just don't know how you have impacted me since you came to KITI camp meeting...This message was on point to boost our lives let God continue using you
Mungu wangu Unirehemu, kupitiya somo hili kweli limenigu. lakini mchungaji naomba msaada wa Ombi kwa maisha yangu sababu kuhusu maneno haya siwewe unaye zungumuza ila kuna yule anazungumuza ndani yako . somo limenifariji lakini mara tena limenihukumu kwa matendo yangu maovi ni msikilizaji kutoka hapa Drc Congo
Nashukuru kwa Neno kwa sababu mawazo mabaya na moyo kwenda mbio ilikuwa inanijia.But am healed but negative thoughts usually come to me.And I get angry often then later I regret.Your Word has touch me so much.I usually rebuke the devil by talking and tell God l love him.Thank you for your message.From Kenya.
Very intelligent man of God!!!listening from zambia❤❤❤❤❤
GOD blessed Pastor Mmbaga and give long life together your my family
Asante sana Pastor Mbaga kwa somo zuri. Limenipa faraja kuu. Mungu wetu aendelee kukutunza.
Sitababaika tena... Namwamin mungu maana ako na Kila itaji LA moyo wangu.... Nimebarikiwa na injili... May GOD bless you man of God
Baaba ninakushukuru kwa kuwa umenisikia. Kupitia somo hili umeiganga mioyo yetu. Barikiwa sana Pastor Mbaga. Amen
Pastor be blessed umeniondolea mzigo I can't explain but God knows yaani I'm free in the mighty name Amen 🙏
Roho ya Mungu iko juu ya Mmbanga. Unafundisha mafundisho yanaingia vizuri Sana. Mungu akumbariki na akundumishe kwenye kazi yake🙏
Ameeen! Sisi ni warithi katika jina la Yesu
Since l started to follow the program of pastor mbaga my life has changed be blessed man of God
Amen hats Mimi I thank God for him
Hakika hili hubiri limenitoa chozi,maana nilikumbuka maovu yangu,Mungu akubariki sana pasta mmbaga,nimeokoka kupitia mahubiri yako
@@joliea2956 Amen
Jamani huyu mtumishi wa Mumgu aninibariki Sana kwaa Mahubiri yake naomba Sana kwenye namba yake ya simu anitumie
+255 755 932 283 Whatspp
Nimebarikiwa sana 💘MUNGU azIdi kuwainua MTUMISHI WA MUNGU ili uzidi kutupa chakula cha uzima neno dio uzima wa milele
Nabarikiwa sana Kwa mahubiri yako pastor David. Kwa kweli Uarabuni hatuna church so nimepiga Kambi kwa Mahubiri TV.Asanteni sana Mungu awajaze zaidi mno
Kwa kweli Pastor, wewe ni mtumishi wa pekee kabisa kuhubiri kwa kuwafanya watu wawe marafiki wa Mungu.
Tunamshukuru Mwenyenzi Mungu kwa ajili yako mtumishi, haya mafundisho yana nguvu sana na wengi hatukujua nguvu ya haya mafundisho ndo maana shetani amekua akitutesa, sasa tuna mstari wa kusimamia, jina la Bwana lihimidiwe milele na milele.
Isaya 43:25 Mungu afutaye makosa yangu kwa ajili Yake. Hakumbuki dhambi yangu.
Mungu hana list ya dhambi zangu.
Amen
Nimemuona paster Baraka mtumishi mungu akubariki.umepotea sn paster wangu
What a wonderful sermon may God bless you
Amen mchungaji wangu Bwana Mungu akubariki sana na familia yako, Mungu atubariki sote,
Listening from Kenya but In qatar Doha.... Nashukuru mungu kwa ufunuo huu kupitia mtumishi wako.... Sifa zikurudie wewe mueza wa yote.
Nabarikiwa sana na Mahubiri yako Yaani kwa kweli yananitia moyo vibaya mnooo!Barikiwa sana Man of God!
Kisa cha binti kimeniliza mch. mara nyingi wengi wetu tumezoea kuhukumu wengine badala ya kuokoa roho.Mungu atusamehe sana wakristo wa leo.
Shukrani sana,kwa kututiya moyo tena hasa sisi vijana; Mwenyezi Mungu Akuzidishie. From USA /texas.
Bwana na aondoe dhana zote za kushindwa,kutofanikiwa ,kutoinuliwa,kutoendelea kiuchumi,kutookolewa kutokana na dhambi ambao tumezitenda akajenge mazingira ya ushindi ndani yetu ktk jina la Yesu naomba,Amina
AMEN pastor Kwa mafunzo mema nimebadilikika Kwa jina la yesu kirsto ninaamini mm ni kiumbe kipya machoni pa yesu christo mwana wa mungu
Pastor since i started following your preachings i have changed my mind set so far am thinking of great things
Ubarikiwe sana mchungaji na Mungu azidi kukutunza na kukulinda pia
Pastor you bless me so much with your teachings. In future please add Mpesa for thank you support for those of us who use mobile money.
Blessings to you
Mungu aendelee kukutumiaa kutusaidiaa kuisogelea mbingu.thanks pastor God bless you
God bless you nimefaidika sana nilikua nasema sitaweza .lakini anaweza yote katika yeye anitiaye nguvu amuna.
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kweli nimefunguka nilikua napitia mawazo mabaya nikawa naji hukumu sana niliposikiliza tu nimefunguka na nimeelewa Mungu na Roho Mtakatifu aendelee kukupa maarifa zaidi watu waweze kufunguka
Namshukuru Mungu kwa kunifunulia Neno hili.
Asante Pastor David Mmbaga.
Nimebarikiwa sana. Mungu akubariki Pr. Mbaga. Akawe nasi sote.
Ila fungu la Waraka wa Yohana hukulisoma.
Pastor mungu akubariki sana azidi kukupa hekima na maarifa yake,pia uniombee bwanangu nikimupingia hashiki simu yangu,nataka umuombee abadilike pastor
Asante kwa mafundisho mazuri watu waokolewe MB zangu haziendi bure kwa Neno la Mungu
Mungu umenisaidia, akili yangu imebona, ngome zimeshindwa ktk jina la yesu amen
U always blessing us.God bless u 2
AMEN Pastor kwa maneno ya kutia moyo na kuerevusha.
Ameeen baba nimefundishika kitu katika njia hii ya kumfata Kristo Mungu akubariki sana
Thank you pr. For the word. I'm blessed 🙌 🙏
Asante Mungu wangu Kwakunisamehe zambi zangu zote nitengeneze upendavyo na kunifungulia milango iliyofukwa maishani mwangu amina
Mwenyezi Mungu akubariki sana Mchungaji, na ufurahie sama maisha yako ya hapa duniani kabla hatujafika mbinguni
Nimebarikiwa na mahubiri yako barikiwa ,naomba uniombee Pastor ninashida
Pastor God bless your work, I'm healed nikiwa nawafuatilia from Iraq, I thank God always for being on my side, be blessed once more AMEN 🙏🙏
Amen
Tunabarikiwa sana Mungu akubariki sana pastor
Ubarikiwe sana Mchungaji! Nimejifunza kitu. Kweli mahubiri yako yanabadili maisha ya Kiroho. Mungu atupe Roho wake tuyaishi hayo.
Mungu wa mbinguni nisamehe dhambi zangu zote na ufute jina langu katika kitabu Cha hukumu ukaliweke katika kitabu Cha uzima wa milele,,,
Amen
Amen
Amen and amen from USA California
What a worderful lesson......May God bless you 🙏🏻
Mch Mbaga,namtukuza Mungu daima kwa huduma yako,Mungu akutunze.Namshukru Mungu kwa ajili ya kisa cha baba yangu mdogo,nilichokitamaani kukiona katika maisha yake anacho,namaanisha Imani katika kristo.Utukufu kwa Mungu wetu milele na milele.
I received it in Jesus name amen amen amen thank you for good message. Be Blessed.
Pastor nimelia nilivyokuwa nikusikiliza kwenye hili somo,Mungu atusaidie sana Yesu aliwapenda wadhambi lakini leo sisi wanaadam tumekuwa wahukumu kwa kuwaona wenzetu wadhambi
Amin nabarikiwe san na mahubir yak Mchungaji najifunz meng san ubarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏🥰
May God bless you pastor,you have really changed my mindset
Amen
Ahsante sanaaa leo nimepokea kitu
Amina pastor, napokea kufunguliwa akili na kuona ushindi kwa jina la Yesu, amina
😢 ki ukweli nasikilizaga mahubir ya wachungaji weng ila tangu nizaliwa cjawai muona mchungaji anayenigusa moyo wangu kama ww hakuna je ulishuswa tangu mbinguni ?? Maana ww co wakawaida amen
Ubarikiwe
Story imeniliza saana kwa Kweli professor alitenda jema na Mungu ambariki
Nabarikiwa sana pasita kusikiliza mahubiri yako Mungu akubariki sana
Amina MUNGU azidi kua nawewe siku zote hallelujah
Am blessed to listen to the words of God. I believe that my sins are forgiven and I will go to heaven when Jesus Christ will come for the second time 🙏
A
thank you for your preaches have received blessing
Yesu naomba NIKAVE WEWE, wanadamu WAKINIKAVA wanamasimango sna.
God bless you pastor in a big way you just don't know how you have impacted me since you came to KITI camp meeting...This message was on point to boost our lives let God continue using you
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu🙏🙏 somo lako limenifungua na nmebarikiwa sana sku ya elo
Mungu wangu Unirehemu, kupitiya somo hili kweli limenigu. lakini mchungaji naomba msaada wa Ombi kwa maisha yangu sababu kuhusu maneno haya siwewe unaye zungumuza ila kuna yule anazungumuza ndani yako . somo limenifariji lakini mara tena limenihukumu kwa matendo yangu maovi ni msikilizaji kutoka hapa Drc Congo
Asante Mungu kwa kunisamehe dhambi zangu
Bwana Yesu asifiwe.nimekuelewa mtumishi.
Mungu azidi kukubariki, kwamafundisho Yako mazuri. Kilasiku nazidi kukua kwamafundisho Yako.
Asantee Mungu kwa kuwa Wewe Kwangu ni MUNGU UNAEINGILIA KATI MAISHA YNGU,JINA LAKO LITUKUZWE DAIMA.
Hakika Mungu wetu nni mkuu sanahakumbuki makosa yetu
Amen mungu akubarki mtumishi wa mungu kwa mafundisho
Iam touched pr. Mungu akubariki
Asante kwa kunifanya rafiki wa Mungu.
Ubarikiwe sana mchungaji, japo mi nashindwa ni matatizo gani niyakemee na yapi nimwombe MUNGU . Matatizo ni mengi sana yanatutesa
Nakwambia huyu Pastor he talks about situations that im going through. I learn day by day.
Somo zuri sana limenibariki na kunitia moyo sana,ubarikiwe sana mchungaji
Amen!tutaishia Ikulu ya Yesu.
Amina saana mtumishi wa MUNGU, uzidi kua na afya
Asante kwa neno lako limeniimarisha
Amen Amen jina la Bwana libarikiwe maana fazhili zake ni za milele❤️asante Baba kwa kunitakasa na kunihurumiya
pasita namushukulu mungu nazidi kufuguka akili mungu akubaliki sana
May God uplift this ministry in Jesus' name
Amen
🙏umetuongezea imani kabisa mutumishi wa mungu
Mimi hapa hapa Yesu nirehemu
Mungu akubariki pastor
Mungu akubariki mchungaji mbagga!!tunabarikiwa Sana na mafundisho yako!!
mchungaji mungu akubariki maana umenisaidia sana kiroho
Asante sana mchungaji kwa fundisho ili,najikuta nalia tu
Namshukuru Mungu kwakunipa ufunuo huu kupitia mtumishi wake mchungaji mbaga
Asante Mungu kwa hili neno🙏
PR Dav mmbaga ubarikiwe sana kwa huduma za kiroho
nimebarikiwa, ubarikiwe zaidi🙏🏿
Nashukuru kwa Neno kwa sababu mawazo mabaya na moyo kwenda mbio ilikuwa inanijia.But am healed but negative thoughts usually come to me.And I get angry often then later I regret.Your Word has touch me so much.I usually rebuke the devil by talking and tell God l love him.Thank you for your message.From Kenya.
Amina nimekombolewa mtumishi.
LIHIMIDIWE JINA LA YESU KRISTO ,PASTOR UMEYAGUSA SANA MAISHA YANGU MUNGU AENDELEE KUKUINUA UTUKUFU HATA UTUKUFU, AMINA
God bless this pastor
Asant Mungu Kwa masomo haya,pasta barikiwa
Mchungaji mmbaga naanza kukuelewa kidogo kidogo ubarikiwe sana
Naendelea kubarikiwa na neno la Mungu.
Amen
Barikiwa mtumishi
kweli mtumishi asante sana kumtibua ibilisi na hila zake
Barikiwa mno Mtumishi
Mungu akutunze tuzidi kujifunza kwa kazi yako 🙏
Nimebarikiwa Sana na Neno hili.Barikiwa Mchungaji