Samahani steve mimi kama mdau wako nakuomba jaribu kiigiza selious siku moja tu, nikuone unafafanaje. Usijichetue ili tucheke. Wala usizime data. Washa data hakiri iwe timamu. Nataman sana kuona unakaaje. Wanaounga hii hoja mkono gonga like hapa bro aone atupe vitu.
Formidable Steve mweusi j'aime votre travail vraiment 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kiekiekie Steven kweli wewe nicizi nakukubali apa congo❤❤❤😂😂😂🎉
Big up Steve from Moçambique 🇲🇿🇹🇿kabla mwaka haujaisha toa nyingine🎉
Wa Tanzania Sisi wa Congo 🇨🇩 tuna wa fatiliaga saana ongera sana na mungu awa bariki
Your welcame 1:22
Kabisa mon frère
Mdomo humfanya mtu kukosa vitu....stive hyo.....watching from kenya🇰🇪
Steve Merci beaucoup avec votre travail faite pour cheque année et on sera toujour avec vous! Je suis un congolais à lubumbashi que Dieu vous bénisse!
Ila Steve bwana🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa kuwa naishi Burundi ndo mana sipewi like❤
hamna bhana
Merry Christmas from 🇰🇪🇰🇪
ila stive kama tahira kweli😂😂😂
Steve Unakata Mbavu Zang 😂😂😂😂😂😂
Nmejitahid kutocheka Ila mwamba amenichekesha kwenye eneo la serekali😂😂😂😂😂
The best comedians ❤❤❤❤
Daaaah!! Steve kiboko kwa kweli
Steve ebu kaa kimya😅😅😅!Umeamua kumchonganisha na hubby wake?😂😂😂
Steve, we needed movie
😂😂😂nimefukuzwa kazi😅
😂😂😂Steve wewe 😂😂😂😂
Samahani steve mimi kama mdau wako nakuomba jaribu kiigiza selious siku moja tu, nikuone unafafanaje. Usijichetue ili tucheke. Wala usizime data. Washa data hakiri iwe timamu. Nataman sana kuona unakaaje. Wanaounga hii hoja mkono gonga like hapa bro aone atupe vitu.
mimi kama shabiki wa steve naunga mkono hii hoja
✊️✊️✊️
One Love From Burundi CP
Wakwanza Tena mm kutoka 🇨🇩 nawependa sana watuw tz 🇹🇿
Na huku Tena andre 😂😂😂
@Pablowakama kkkkkie legend all the time and everywhere 😂
Ila Steve ety nyoko😂😂😂
Ila steven nakupendaga sana jaman kha😄😄😄😄👏
Ila Stevee 😂 kama ametoloka milembeee . Nipeni like jmn hat mbili tu
Mwamba stive nakukubali my gee
Uyu Steven nimwenda au😂😂😂❤❤❤
Ila Majina,uko sawa kwa kweli😂😂😂
😂😂😂 ila huyu jamaa daah
Wew chizi ni noma kabisa ila stive una mambo alooo😂😂😂😂
Steve siku zote ,,have a good merry Christmas and happy new year
😂😂😂😂 Steve
Bora mniuwe maana ata mkishindwa kuniuwa maisha yataenda kuniuwa mtaani 😅
😂😂😂😂😂wa kenya mpo???😂😂😂😂😂😂😂😂
Amekubali shamba ama udongo siyaleyale tu😅😅
Kamdomo Steve kamekuponza ah😂😂😂🤣
Steve kamvuruga Boss ❤❤❤❤
😂😂😂😂😂 Steve love bule
SEMA huyu Steve ni comedian asee sijawah kuangalia video zake halaf nisicheke
From Tabora talent center mmetishaa
Nakukubali steve eeeh wauna mfano kakaa
Sasa mbone amfukuze kazi yeye alikua hajui ni mke wa boss tatizo ni mdomo kuropoka tu Stive 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila steve wew mungu anakuona
Isay kaliii😂😂😂
Ila Steve unajua kuharibu kweli ndoa za waty aise🎉🎉🎉🎉🎉
Eti kuna msiba au 😂😂😂 Steve yani umeni chekesha apo balaa
❤❤❤
STEVE NYOKO😂😂😂
Steve mweusi nakupendasana 🎉kamana wewe unampenda❤naomba like🎉🎉🎉🎉🎉
Huyy steve mwenyewe anajuwa akili zake😂😂😂😂😂😂😂😂😂
7:55😂😂😂😂😂😂mkarudie kusikiliza iyoo time
Ila stivu unakaaa unaziangalia comedian zako😂😂😂
Naondoka namwachia mungu😂😂
Steve we hatali😅😅😅😅
😂😂😂😂😂 mamae umejua kunivunja mbavuuuu
Brooooo mimi wa kwanza❤❤ Steven family
Huyu Steve Ako n wifu sana 😂😂😂🎉
Support bungoma boyz gengen Kenya
Mmmh wanafamilia wa Steve tujuane hapa😅😅😅😅😅😅
😂😂 Eti watu wa Takukuru waje wapime
Tatizo ni kamdomo 😂😂😂😂
Dah! Steve imekula kwake maana amewashwa sana na waliokuwa hivi shuleni walikuwa wapiga kelele sana maana wasipoongea hawana raha
😂😂😂😂😂😂😂
12:19 Achana nae Follow Me 😂😂😂😂😂
Stive wew ni wakupiga ngumu nzito halafu nyeusi
Duuu Ila jamn steve
Pia mimi siku yatatu sijala😂
Kazi nzuri❤
ila steve anajua sana
Eti. Wamempiga akiwa Nyumbani kwa serekali😅😅😅
😅 hakuna kitu hapo kabisa
Sema Steve unajua mwanangu
Naomba like zangu. Leo nimekuwa wakwanza
Nÿoko🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ila mweusiii😂😂
Big up
Steve nataka kukuon brother
ila steve any way acha nicheke
First comment no view no
10:08 hahaha eti unanipiga eneo laserekali 😂
Ila steve bhana, et unani piga nyumbani kwa selikar
Steve 😂
Anakubali shamba ana kubali udongo ni kweli ni yale yale
Lakin steeve bhn apunguze uchizii😂😂😂😂😂😂
Mamboo,.
@KelvinLyimo-w2q uko poa
Nko pouwa naomba nitumie namba yakoo,.
Nko pouwa naomba nitumie namba yakoo,.
Naomba nitumie namba yako tuchart kawaidaa,.
Hamad kijicho😂😂
Nani afe peke ake😂😂
😂😂😂😂chaha
Steve ameyatimba.Pisi limemwambia kuwa ana nywele nyungi kuliko akili
😂😂😂 Steve we ukute Ni mwehu kweli😂😂😂 duuuh nimecheka mnoooo
😅😅😅 Steve
Comedian asierizika na asiekuwa na upendo kwa wenzoe
Steven 😂😂😂
Ila Steve umetisha kabisa 😂😂😂❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ka mdomo kamekuponza 🤣🤣🤣🤣
Wakwanza. Kumcheki Steve
Muikamilishe sasa na ile we konda ndaro n driver
Natamani kumjua hamad kijicho😅
Ila steve
Steve akamatwe mara 1 kwa kuvunja mbavu za watu huku kwetu
😂😂😂 ety eneo gan??
Mamboo,.
Etiii aaaa nchezeeee mieee