TABIBU MKUU - THE YONAZI FAMILY CHOIR AND FRIENDS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Wimbo huu umeimbwa wakati wa mkutano wa nusu mwaka wa Familia ya Mchungaji Yonazi na Mama Naamini Salehe uliofanyika Mbweni Dar es Salaam Tarehe 27 Agosti, 2023.
    Waimbaji ni Familia hiyo pamoja na marafiki zao.
    Tabibu Mkuu (Nyimbo za Kristo 111)
    The Great Physician (SDAH254)
    1. Tabibu mku-u huyu, Yesu mwenye huruma:
    Atuletaye faraja Yesu, Mwokozi wetu.
    CHORUS
    Imbeni, Malaika Sifa za Bwana wetu;
    Jina la pekee kwetu, ni la Yesu Bwana.
    2. Mwana Kondo-o msifuni Mwokozi:
    Hatia zote na dhambi Huziondoa Yesu.
    3. Hakuna jina jingine Linalofa-a sifa;
    A-u kutufurahisha, Isipokuwa lake.
    4. Naye atakapokuja Na utukufu wake,
    Tutafurahi milele Kuka-a kwake Bwana.
    Kwanini wimbo huu umechaguliwa kuimbwa na familia na marafiki?
    Wimbo huu ni moja ya nyimbo ambazo Mama Naamini Yonazi Salehe, aliupenda sana hususan alipokuwa mgonjwa hawezi kitandani. Aliamini kwamba, Yesu ndiye Tabibu na mponyaji wake. Na hata kama hataponywa katika mwili huu, basi atapewa mwili mpya Yesu atakaporudi.
    Familia inakumbuka nyakati hizo na mafunzo yake.
    Katika kuuimba wimbo huu, familia inakumbuka kumtumainia TABIBU MKUU HUYU YESU MWENYE HURUMA katika hali zote.

ความคิดเห็น • 18

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 2 วันที่ผ่านมา

    Amina , Atukuzwe Mungu wetu

  • @kahi755
    @kahi755 ปีที่แล้ว +1

    Amen mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe kwa kazi ya Mungu

  • @barakamusa8988
    @barakamusa8988 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki kwa mawazo mazuli kiasi hiki

  • @pandukayosia5991
    @pandukayosia5991 ปีที่แล้ว +1

    Nabarikiwa sana

  • @JacksonMtese
    @JacksonMtese 10 หลายเดือนก่อน

    Amen karibuni katesh

  • @liliannamanofficial
    @liliannamanofficial ปีที่แล้ว +2

    Haleluya God bless you

    • @uwezonyatige1734
      @uwezonyatige1734 ปีที่แล้ว +1

      Hii Familia inanibariki sana. Mungu aendelee Kugulu da Umoja huu kwa vizazi vyenu Hadi ajapo Mara ya pili

    • @uwezonyatige1734
      @uwezonyatige1734 ปีที่แล้ว +1

      Hii Familia inanibariki sana. Mungu aendelee Kugulu da Umoja huu kwa vizazi vyenu Hadi ajapo Mara ya pili

    • @uwezonyatige1734
      @uwezonyatige1734 ปีที่แล้ว +1

      Hii Familia inanibariki sana. Mungu aendelee Kugulu da Umoja huu kwa vizazi vyenu Hadi ajapo Mara ya pili

    • @uwezonyatige1734
      @uwezonyatige1734 ปีที่แล้ว +1

      Hii Familia inanibariki sana. Mungu aendelee Kugulu da Umoja huu kwa vizazi vyenu Hadi ajapo Mara ya pili

    • @uwezonyatige1734
      @uwezonyatige1734 ปีที่แล้ว +1

      Hii Familia inanibariki sana. Mungu aendelee Kugulu da Umoja huu kwa vizazi vyenu Hadi ajapo Mara ya pili