Nimfatiliaji sana wa vipindi vyako vyote lakini vya masula ya lishe vimenivusha sana naelekea kuwa dactari ata mimi. Ninashauri baadhi ya vyakula unavyovitaja vioneshwe kwa picha ktka vipindi vyako.
Barikiwa sana Pastor . Haya mafuta tunapenda kuyatumia Sana ila yana gharama kubwa. Gharama ya Lita 5 kwa alizeti yanaingia Lita moja kwa olive Na upatikanaji nao mgumu mpaka utafute supermaket kubwa Duh
Shimwe Kagwiza Lazima sababu ya Bp ijulikane. Lakini kwa manufaa zaidi soma link hii www.mayoclinic.org/diseases-conditions/high-blood-cholesterol/expert-answers/cholesterol/faq-20058468
Asante sana pastor nimejifunza kitu kikubwa na MUNGU AKUBARIKI
barikiwa sana mbaga kwa kazi ya Mungu wetu alie hai
Nimeelewa kabisa kumbe nimekua nikiila yai ya kuku ya grade ambayo si nzuri nimeyaaja
Ubarikiwe sana
Asante Kwa elimu kuhusu chia seeds nitumie gram ngapi Kwa mtoto mmoja
Nimfatiliaji sana wa vipindi vyako vyote lakini vya masula ya lishe vimenivusha sana naelekea kuwa dactari ata mimi. Ninashauri baadhi ya vyakula unavyovitaja vioneshwe kwa picha ktka vipindi vyako.
Asante sana mchungaji Mungu akubariki
Mrisha Daudi nahavache mno kwa Somo la kuilinda ubongo.
Kumbe mayai ya kienyeji hayana shida.
NAHAVACHE mno.
Nimeishinda Vita kupitia wewe mchungaji kwenye chakula.asante
Amin
Nimebarikiwa sana. Ooh nitaanza kula mayai. Asante Pr
Nimejifunza jambo zuri Sana nitaijenga familia yangu
Barikiwa sana Pastor . Haya mafuta tunapenda kuyatumia Sana ila yana gharama kubwa. Gharama ya Lita 5 kwa alizeti yanaingia Lita moja kwa olive Na upatikanaji nao mgumu mpaka utafute supermaket kubwa Duh
Amen
Ok sasa ukekula mayai yamubichi inamazara
God bless you Pastor abundantly.
Nimekuelewa sana pasta
Asante mchungaji.
Ubarikiwe sana Pastor!
9°
Amina
Ubarikiwe pastor
Asante sana nimekuelewa je mayai ya kanga.yanafaa
Ndeti Tave ni mazuri kama ukitumia olive oil au mafuta ya nazi
Hi. Can I get the link of seh 1
Kupatikana ni shida
Barikiwa Mchungaji.
Nimekuelewa
God bless you so so much pst
Asante pastor nimekuelewa vizuri.., kwahiyo mwenye bp yakupanda akila mayai haina shida??
Shimwe Kagwiza Lazima sababu ya Bp ijulikane. Lakini kwa manufaa zaidi soma link hii
www.mayoclinic.org/diseases-conditions/high-blood-cholesterol/expert-answers/cholesterol/faq-20058468
Amina