Ahsante Heri kwa kuliweka sawa hili sikujua kuwa wajaluo walikuwa wana vipaji vya uimbaji kwa kiwango hiki. Ni kweli kimsingi Jerry Nashon aliingia kwenye fani ya muziki kama mpiga gita sijui ni wapi alipoamua kutupa chini gita na kujikita kwenye uimbaji
Thanks Eddie. Kama nilivyogusia awali Jerry Nashon alikuwa one of my favourite vocalist kwa kweli - huyu bwana alikuwa na uimbaji wa sauti ya kududumia - alifananishwa na ndege aitwaye dudumizi - wadau hawakukawia kumpachika jina la uanamuziki Jerry Nashion "Dudumizi". alikuwa na uwezo wa kuimba na kuirembisha sauti apendavyo yeye. Free sing - naamanisha hakuwa mwimbaji wa kutafuta sauti na kugombana na misuri ya shingo. R.I.P Jerry Nashon
Eddie Nassor Huyu mtaalam alikuwa anatokea mikoa ya ziwani kwa hiyo sina uhakika kama ni mhaya (Kutoka Mkoa wa Kagera - Bukoba) au Mjita (kutoka mkoa wa Mara - Musoma). Lakini maisha yake na ya kimuziki yalianzia Musoma
Eddie Nassor Alikuwa ni Mjaluo baadhi ya nyimbo alikuwa anachombeza na kijaluo kama Makulata, Pesa na nyingine kuna kilugha kakitumia. Na hilo jina la Dudumizi alipewa na marehemu Maneti alipoingia vijana alikwenda kama mpiga gitaa wakati wanafanya mazoezi alishika mic alipoimba kidogo Maneti akasema ehee unaimba kama Dudumizi hapo ikawa mwanzo wa kuimba
Heri Issa Ahsante Heri kwa kuliweka sawa hili sikujua kuwa wajaluo walikuwa wana vipaji vya uimbaji kwa kiwango hiki. Ni kweli kimsingi Jerry Nashon aliingia kwenye fani ya muziki kama mpiga gita sijui ni wapi alipoamua kutupa chini gita na kujikita kwenye uimbaji
Huyu mtaalam alikuwa anatokea mikoa ya ziwani kwa hiyo sina uhakika kama ni mhaya (Kutoka Mkoa wa Kagera - Bukoba) au Mjita (kutoka mkoa wa Mara - Musoma). Lakini maisha yake na ya kimuziki yalianzia Musoma
Ahsante Heri kwa kuliweka sawa hili sikujua kuwa wajaluo walikuwa wana vipaji vya uimbaji kwa kiwango hiki. Ni kweli kimsingi Jerry Nashon aliingia kwenye fani ya muziki kama mpiga gita sijui ni wapi alipoamua kutupa chini gita na kujikita kwenye uimbaji
Thanks Eddie.
Kama nilivyogusia awali Jerry Nashon alikuwa one of my favourite vocalist kwa kweli - huyu bwana alikuwa na uimbaji wa sauti ya kududumia - alifananishwa na ndege aitwaye dudumizi - wadau hawakukawia kumpachika jina la uanamuziki Jerry Nashion "Dudumizi". alikuwa na uwezo wa kuimba na kuirembisha sauti apendavyo yeye. Free sing - naamanisha hakuwa mwimbaji wa kutafuta sauti na kugombana na misuri ya shingo. R.I.P Jerry Nashon
Anthony Kisondella RIP Jerry Nashon.Hivi alikuwa ni mtu wa mkoa gani huyu bingwa?
Eddie Nassor Huyu mtaalam alikuwa anatokea mikoa ya ziwani kwa hiyo sina uhakika kama ni mhaya (Kutoka Mkoa wa Kagera - Bukoba) au Mjita (kutoka mkoa wa Mara - Musoma). Lakini maisha yake na ya kimuziki yalianzia Musoma
Ahsante sana kaka
Eddie Nassor Alikuwa ni Mjaluo baadhi ya nyimbo alikuwa anachombeza na kijaluo kama Makulata, Pesa na nyingine kuna kilugha kakitumia. Na hilo jina la Dudumizi alipewa na marehemu Maneti alipoingia vijana alikwenda kama mpiga gitaa wakati wanafanya mazoezi alishika mic alipoimba kidogo Maneti akasema ehee unaimba kama Dudumizi hapo ikawa mwanzo wa kuimba
Heri Issa Ahsante Heri kwa kuliweka sawa hili sikujua kuwa wajaluo walikuwa wana vipaji vya uimbaji kwa kiwango hiki. Ni kweli kimsingi Jerry Nashon aliingia kwenye fani ya muziki kama mpiga gita sijui ni wapi alipoamua kutupa chini gita na kujikita kwenye uimbaji
Huyu mtaalam alikuwa anatokea mikoa ya ziwani kwa hiyo sina uhakika kama ni mhaya (Kutoka Mkoa wa Kagera - Bukoba) au Mjita (kutoka mkoa wa Mara - Musoma). Lakini maisha yake na ya kimuziki yalianzia Musoma
Ilikuwa hataree sana enzi hizo.