KISUGU: AJILIPUA BAADA YA KUIONA YANGA | HAKUNA TIMU YA KUIFUNGA SIMBA"WAKIFUNGA NAWAPA DOLA 5"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Kumb huy hajui mpira ni maneno tu
Tatizo yanga wachawi, wataloga ili wawafu ge simba,
Nasikia si ndio mganga wao
Ww kichwa tenge kalili TU timu gani ulizozifunga Dola uzitoe katoe eka 4 watu
😂😂😂😂 hili dish la Kisugu halinasi mawimbi kabisa. Hivi hiyo simba iliyofungwa 5 na kupigwa n 1 bila wewe ulikuwa wapi?😂😂😂
Professional 7 wa tabora hawakucheza dhidi ya simba.
Endeleaa kukaririi
Wewe kagera walicheza professional wangapi???na mechi ya namunga vs tabora walicheza professional wangapi?kwan wachezaji wa tz hawanakiwango kias unavo dhani?kama unahc wachezaji wa tz hawana uwezo kwann beki line yenu ni watz?
Hizo ni shida zao hazituhusu, na bado kila timu itakayokutana na Simba itaitwa dhaifu
Simba Bingwa
WEWE UTOPOLO TIMU LENU BOVU TULIZA KIJAMBIO HICHO
Kisugu ujinga tu ako nayo mingi
UTOPOLO TIMU LENU BOVU
Kumhoji kisugu ni km kuhoji kichaa..
Chawa tu
UTOPOLO TIMU LENU BOVU
Wewe punguza ndaro zako YANG'A bingwa.
UTOPOLO TIMU LENU BOVU HAMNA KITU
hahahaha chizi ww
UTOPOLO TIMU LENU BOVU
We kweli bichwa tope mwandishi tanzania na morocco sio?
UTOPOLO TIMU LENU BOVU
@@salimmalaka256 si wamekugonga juzi tu hujakoma?😀
Wacha uwongo
UTOPOLO TIMU LENU BOVU
huna hela fala ww uxhatoa ahad kibao hujatimiza hata moja
UTOPOLO TIMU LENU BOVU HAMNA KITU