Mkapa alitengeneza njia nzuri ambayo Kikwete na wengine wanapita na watapita. Imani yake ya kujenga taasisi yenye nguvu ndiyo inayotupa kujigamba. Mkapa na TASAF, TRA, MKURABITA na mengine mengi. Alistahili kuanza kabla ya Kikwete. Ndio sababu Kikwete alisema Mkapa kaifikisha nchi kwenye njia ya kurukia hivyo viongozi wengine wanatakiwa kuirusha nchi hii.
But Mzee kikwete umenisaidia Sana kufanya maamuzi Bora katika mazingira ya kinyang'anyiro na ushindani uliojaa fitina na figisu. Hongera sana. Ukionesha ukomavu mkubwa Sana kisiasa. Hatimaye Mungu hamtupi mja wake.
Yaani wewe ulikuwa ni kajanja sana. Wenzako waliendeshwa na mihemko lakini wewe ulishajua Rais wa wakati ule na viongozi wakuu wa chama washaamua mgombea wao ni nani na kwakuwa wao ndio wenye serikali ukijaribu kupambana nao watakuimiza ukaamua uwaache wenye nguvu alafu wewe uendelee kujihimarisha taratibu. Ulikuwa na akili mingi sana. Ila ninakulaumu kutuwekea yule dikteta uchwala ulipokuwa unaondoka.
Sasa kama ni nani aliteka mchakato kusema urudiwe ili kumbeba mkapa Kama sio Mwl?kuna kitu unatudanganya bana na Bahati mbaya wakuulizwa wote ni marehemu
Safi sana mh jakaya kikwete Bado wewe ni tegemeo la watanzania safi jk Kwa hekima zako
Jk stories zako tamu kusikiliza, ulifanya kazi kubwa kwenye uongozi wako inchi ilikuwa ngumu kisiasa
Mwenyezi Mungu aendelee kukupa afya timamu mstaafu Rais
Ndio maana unaonekana kijana kwani hukuwa na mambo mengi ya ajabu ,ulipenda maisha ya watu kuliko vitu
Mkapa alitengeneza njia nzuri ambayo Kikwete na wengine wanapita na watapita. Imani yake ya kujenga taasisi yenye nguvu ndiyo inayotupa kujigamba. Mkapa na TASAF, TRA, MKURABITA na mengine mengi. Alistahili kuanza kabla ya Kikwete. Ndio sababu Kikwete alisema Mkapa kaifikisha nchi kwenye njia ya kurukia hivyo viongozi wengine wanatakiwa kuirusha nchi hii.
Mzee Kikwete is larger than life celebrity leader. Tunaomba aandike vitabu tuje kijifunza kwake. God Bless Kikwete!
Alianza muda sana kuandika nadhani mwakani anaweza kuzindua
But Mzee kikwete umenisaidia Sana kufanya maamuzi Bora katika mazingira ya kinyang'anyiro na ushindani uliojaa fitina na figisu.
Hongera sana. Ukionesha ukomavu mkubwa Sana kisiasa. Hatimaye Mungu hamtupi mja wake.
Nimecheka sana,eti kambi wakasema tujiunge tukasajili chama kingine kweli wapambe noma,
Wee mzee wallah unanafasi yako peponi
Wewe Mzee nakukubali sana..
Nakukubali Sanaaa mzee wangu
Huyu jamaa ana miakili sana.
Wewe ni Rais Bora kabisa,tunajua ila tunajitoa fahamu
True confession
Aliyepiga konyagi ni Nani please!😂😂😂😂😂
Nadhani Lowasa ..!
Atakuwa ni Lowassa hhh
Raha sana kuskiliza the good old days
Hiki kichwa achana nacho kidiplomasia hakuna kama hiki raisi poa sana live long life president.
One day you'll come up with really really really really good if not better story than this. There is a day and that day will come
Those are just the tip of the iceberg, there is plenty more underground
Nipeni Konyagi
Unalilia ni cheo chako mwandishi fafanua vizuri kichwa cha habari
Namheshimu Sana huyu kiongozi,,,,,,,,,,,
Wewe unasemaa mwiz lakn wiz wakeee ulikuaa na faida kwa watu hakula peekee akee nyau la bar wewe huyu ni tpdf staminaaaaaaaa goodbles jakayaaaa
Huyu Mzee ni mkweli yote anayosema we angalia hata baba wataifa alimkubali huyu alishangilia sana baada ya kikwete kutoa kauli ya kumuunga mkapa
m/zimungu akuongezee umri, tuendelee kuchota hekima zako, kiukweli maneno yako matamu saaana!!!!
Nakubari Sana Mzeeee wangu . I HOPE ONE DAY WE WILL MEET 🥰🙏
Even me I love him so much
Mimi namkubali sana huyu mzee anauchungu sana nchi yake bingwa sana wa siasa za bongo
Mange kimambi kumbe yupo kwe mkondo...wa maji
hiyo ndio ukweli wa chama cha ccm wanafanya wanachotaka kwenye uchaguzi sio ushindi wa halali katika kura
Huyu mzee noma
Yaani wewe ulikuwa ni kajanja sana.
Wenzako waliendeshwa na mihemko lakini wewe ulishajua Rais wa wakati ule na viongozi wakuu wa chama washaamua mgombea wao ni nani na kwakuwa wao ndio wenye serikali ukijaribu kupambana nao watakuimiza ukaamua uwaache wenye nguvu alafu wewe uendelee kujihimarisha taratibu. Ulikuwa na akili mingi sana.
Ila ninakulaumu kutuwekea yule dikteta uchwala ulipokuwa unaondoka.
Sawa sawa mm nakuunga mkono asilimia mia ila yule magu mkapa ndiye aliyemuweka pale ila akakosa shukrani .!
Sasa kama ni nani aliteka mchakato kusema urudiwe ili kumbeba mkapa Kama sio Mwl?kuna kitu unatudanganya bana na Bahati mbaya wakuulizwa wote ni marehemu
Leo mzee ndo umeuthibitishia umma kuwa CCM ni chama cha figisu figisu yaani hakunaga uchaguzi huru na haki
huna unachoelewa, hizi ni kura za maoni ndani ya chama,
we una akili sawa sawa wew
Kiongozi muungwana
mange kimambi.......!!!!!!
Aliyekunywa Konyagi ni nani 😀😀😀😀😀
Sitta
EL
Nipeni konyagi😂😂
ninywe nife🤣🤣🤣
Huyu jamaa anaona yeye ndio amefanya kila kitu katika urasi wake kumbe ndio jizi kubwa subiri kaburi linakusubiri
Nani hatakufa? Hao waliokufa walifanya nini, hakuna wa Milele haya maisha
Utatangulia wewe usipoangalia
Ndio alivyo ana penda kuona amefanya kila kitu. R.I.P JPM hamfikii hata kidogo.
Kumbe Mange anatumwa
Mi naamini mzee uyu katoka hijja ataongea mengi tu