Barikiwa Sanaa Anna wewe niambie nitume namba Gani maana hii ni sadaka Sio soda nilitaka nikutumie soda Ila nahukumiwa.Hiinyimbo ilinitoa mahali ambampo sikutegemea natokaje kwenye Kona nilipo wekwa nilikuwa kusanyiko nikamwambia Mungu nimekuja kupokea kutoka kwako kupitia waimbaji,& wahubiri Sichoki kuisikiliza hii nyimbo nilipo isikia Kwa mara ya kwanza iliimba ndani yangu miezi mitatu, Giza lililotanda nafsini mwangu sikuliona Tena nililifukuza Kwa wimbo huu nikavuka. Lilikuwa neno la wkt kwangu Barikiwa Sanaa
Naupenda sanaa,nikiusikia siwezi kaa kwakweli
Nabarikiwa sana na huu wimbo hakika ni kwa ukuu wake tu Yesu, ❤❤❤❤❤❤❤
Huu wimbo umekuwa baraka sana kwangu 🙏🏽. Atukuzwe Mungu wa Efatha.
Efatha oyeeeeeee tuko very good
Wapendwa.karbuni sana.EFATHA IPO NDANI VS NJEE..mi nawapenda sana..
Mungu awabariki sanaa kwa utumish wenu, tunaomba mtuwwkee na mimina sifa kwa BWANA
Jamani kwarahaa ninayo ipata EFATHA.sitoki kamwee..❤
Nabalikiwa sana nanyimbo hiiiiii.waooooo.
Ubarikiwe.mtumishi
Utukufu ni kwa Mungu.namshukuru Mungu kwakunileta efatha.najua siyo kwa bahati mbaya bali ni kwa kusudi la Mungu.mbarikiwe waimbaji wote wa efatha..
My all time favorite glory be to God ❤️💕
Mambo yote yatapita lakini neno litasimama
Nime barikiwa sana
Barikiwa Sanaa Anna wewe niambie nitume namba Gani maana hii ni sadaka Sio soda nilitaka nikutumie soda Ila nahukumiwa.Hiinyimbo ilinitoa mahali ambampo sikutegemea natokaje kwenye Kona nilipo wekwa nilikuwa kusanyiko nikamwambia Mungu nimekuja kupokea kutoka kwako kupitia waimbaji,& wahubiri Sichoki kuisikiliza hii nyimbo nilipo isikia Kwa mara ya kwanza iliimba ndani yangu miezi mitatu, Giza lililotanda nafsini mwangu sikuliona Tena nililifukuza Kwa wimbo huu nikavuka. Lilikuwa neno la wkt kwangu Barikiwa Sanaa
Anaitwa neema benard
Hii nyimbo inanibariki sana!.. Asante sana kwa ku upload!.. barikiwa!..
Wonderful song
Fantastic message😍
Powerful song
Nani kama ww Mungu wa Baba Mtume na Nabii Josephat Mwingira Efatha oyeeeee
Isaya 8:12 Yohana 14:15 Ufunuo 14:12 pia 1 Yohana 2:3-4
Soma aya hizo sasaivi
nawapenda sana Mass kwaya Efatha😘
Amazing...the best of all ⏲️
First like
Utukufu kwake Mungu
Hakika mungu anatend mazuri efatha
Mungu.were.nimueza.was.yote.akuna.usiloliweza
🙏
ICT naomba wimbo wa namimina sifa kwa Bwana
Blessed😇
Halleluya
❤❤ nan Kama Ww
Kipenda roho changu
😭🙏❤️
Naupenda sanaa,nikiusikia siwezi kaa kwakweli