DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Oktoba 01, 2024 | Mchana | Swahili Habari leo.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- DW Kiswahili Habari za Ulimwengu| Oktoba 01, 2024 | Mchana | Swahili Habari leo | Ripoti na Uchambuzi | Taarifa ya Habari | Matangazo ya DW |
Jeshi la Israel limeanza leo kile ilichokitaja kuwa "oparesheni ndogo ya ardhini" nchini Lebanon saa kadhaa baada ya wanajeshi wake kuvuka mpaka na kuingia taifa hilo jirani la upande wa kaskazini.
#dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari Ukitaka kukupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.
Hatuwez kukaa meza moja na magaidi wa hizibolah
Hi @ismailmshana2828! ahsante kwa ujumbe habari za huko?
Abdullah nakupenda sana vile unavyotangaza
Hi @BonnyMwajombe-iu7hb! nani sasa? kuna watangazaji wengi humu.
Habari za humu huwa ni za kweli