Vijana kauti ya Nandi waandamana hadi afisi za kaunti kuwasilisha malalamishi dhidi ukosefu wa ajira

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024
  • Baada ya maandamano ya kitaifa yaliyoilazimisha rais William Ruto kufutilia mbali mswada wa kifedha wa mwaka 2024, vijana wa Gen Z sasa wanaonekana kuelekeza darubini yao katika utendakazi wa serikali za kaunti. Mamia ya vijana katika kauti ya Nandi waliandamana hadi Afisi za kaunti hiyo mjini Kapsabet kuwasilisha malalamishi yao ikiwemo ukosefu wa ajira huku baadhi yao wakisema wanahisi kaunti hiyo haijawajibika katika utendakazi.
    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

ความคิดเห็น • 11

  • @johnmakumi1452
    @johnmakumi1452 17 วันที่ผ่านมา +4

    Wow! It's very impressive to see Kenyans from all walks to demand accountability from their leaders

  • @krystynaha2455
    @krystynaha2455 17 วันที่ผ่านมา +3

    Ati Nandi hakuna ni Ruto must go.......bati wamutoe huyo governor

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 17 วันที่ผ่านมา +2

    Nandi wameweza sio kama homabay

  • @immaculatemutinda5496
    @immaculatemutinda5496 17 วันที่ผ่านมา

    Utajua haujui....

  • @user-hy4zb3eg1z
    @user-hy4zb3eg1z 17 วันที่ผ่านมา +2

    Hampangwingwi...au namna gani vijana

  • @kilima_njaro
    @kilima_njaro 17 วันที่ผ่านมา +1

    Nandi county has to be among the worst ran

  • @ErickKairu-mr9dp
    @ErickKairu-mr9dp 17 วันที่ผ่านมา

    Tk on

  • @samuelmumbi2778
    @samuelmumbi2778 17 วันที่ผ่านมา

    @ Hazel Jelimo...come see this one

    • @samuelmumbi2778
      @samuelmumbi2778 17 วันที่ผ่านมา

      Hazel Jelimo, hahaaaaa I told you this is not tribalism but Ruto has no capacity of running the country.

  • @munduwaruiru2624
    @munduwaruiru2624 17 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂 counterbilties

  • @euniceombogo5712
    @euniceombogo5712 17 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂