Familia itashindwa kukupa chakula ukiwa mgonjwa hadi njaa ikuuwe lakini wako tayari kupika masufuria ya pilau na vinywaji kwa ajili ya mazishi. Mtihani mkubwa huu.
Haya ni mambo ya ukweli, ni mambo yamefanyika na bado yanafanyika, kama kisa cha South Africa cha "Rose Ndlovu" aliua familia yake ili kupata hela tu...waafrika hatupendani na ndio maana sisi bado ni watumwa na uhuru wa ndotoni.
Doctor usinifokee. Mnajuwa sanaa mjomba kapatikana
Hahaaaaaa bigup saaana wakali wa commedy,,,mnaburudisha na darasa plus
Ni kweli sisi binadamu ni WA na fiki safi sanaaaa Doctor mkwere iyo ni fundisho kwa watu wengine
Nimependa hyooo
Hi familia Kama yetu siutani hi inatokea
Nawapenda sna washiriki muko juu
Yaani huyu sumaku ana talent kweli, ila wote mpo vizuri .
Familia itashindwa kukupa chakula ukiwa mgonjwa hadi njaa ikuuwe lakini wako tayari kupika masufuria ya pilau na vinywaji kwa ajili ya mazishi. Mtihani mkubwa huu.
Wa kwanza leo sijawai kwakweli like zenu wadau 😁
Tupo tayari kukaa na wewe hata miaka saba lakin sio tukusamehe deni😂
😂😂
Hii ni funzo kumbwa sana
Safi san safina ipo
Mabingwa wa kimataifa
Munajua sanaaa
Mkwere Knowszzzzz
Jaman mjomba mjomba daah
eti "what a tricky situation"😄 ila mkwele kwenye kundi zima ndo namkubali zaidi
Sumaku anasema yeye kiongoz wa familia sio kiongoz wa bili🤣🤣🤣
6,000 ninayo ila hiyo nyingine sina
Filum Ni Nzuri,Story wise,lakini katika maadili ya Kazi, Daktari hapaswi kufanya kama alivyofanya Mr Mkwele
Ni kweli ila ndio burdani yenye mafunzo hio
Ni kweli ila ndio burdani yenye mafunzo hio
HATA yy kasema
Funzo kubwa saana
Swafiiiii saaana mgonjwa ,,akili Mingi,,,ungekimbilia hata njia ile ya chuo😭😭
Misaluti 😀😀😀😀😀😀😀
Maishab
yetu haya 😂😂😂😂😂
Mkwere hapo mmetisha hata laki5 anatoa akafanyie biashara maiti
Mgojwa amefariki rasmi😂
SUMAKUUUU🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Kufa kufaana😂😂😂😂😂
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Sumaku hatari
😅😅😅😅😅
Haya ni mambo ya ukweli, ni mambo yamefanyika na bado yanafanyika, kama kisa cha South Africa cha "Rose Ndlovu" aliua familia yake ili kupata hela tu...waafrika hatupendani na ndio maana sisi bado ni watumwa na uhuru wa ndotoni.
😂😂😂😂😂😂