The way you are open to the public,the more God blesses you and your families.for some it's not easy to be freely talking on matters that relates to family life,you people you are blessings to us all and with time God is gonna to deliver unto us all through your hard work of content creation 🙏❤️🙏❤️❤️❤️.
Hizo earrings za jamaa ndio tu hazinibambi. Everything else is on point and he really inspires the downtrodden to know a better day beckons if they do not lose hope. That those who wished failure on them will certainly witness their blessings and even seek their help unashamedly. May God bless the couple. Stay true to your roots and above, put God first as He is the one who has made all this possible.
Mad respect💪 for the soldier. I would have liked also join US military kama ningekuwa huko but healthwise singequalify. Ongelea also benefits of joining the military if any.
You can still join the US Air Force or the US Space Force. Their age limit is 17-42 years so you still have some time. Just make sure you apply for the green card lottery every year and you might get it one day. Be blessed
Habari yenu watu wetu?......😁....I think akili yangu ilisimama where you (Jonha) mentioned that ulikuwa booked at Marriott Hotel - whaaaatttt?.....wwwuuueeeh, enyewe ulikuwa starehe, si uwongo.....sasa wengine apart from huyo mkubwa wenye waliku-reject huku kwetu wakakuona saa hii wanaweza sema?....ni venye Peninah hushinda akitukumbusha - Mungu halali....... I simply love your un-edited and very funny mucenes and may your channel grow to a million subs.....bidii yenu ndio imewafikisha hapa na itawapeleka mbali.....mbarikiwe tu sana.....
My niece ana graduate feb huko kwa military, she was supposed to invite my sis (her aunt) ni yeye anafaa ku invite ama the army officials? Ebu saidia what is required?
First of all I need to appreciate what you are doing,but I would like some advice,am thinking of applying to a community college Jan 2025,but Sina doh za fees, would you advise me to apply fot associate diploma in nursing or would advise me to apply for CNA ,then once stable niendelee na nursing,am a clinical officer in Kenya,
Hi peninah🥰, Unaeza ongea kuhusu hizi rumours tunaskia kuhusu trump akiwin presidency ataban green card na afanye mass deportation for immigrants and so on..LOVE YOUR CONTENT ANYWAY❤
😂😂😂😂😂 hapo kwa reducing carnal urges aki umenichekesha but according to pharmacology some vasopressors might reduce the activeness of that thing but I am not sure about the milligrams that can effectively do that hapo watu wako well versed in posology can brief us tucheke mpaka tukufe!!!! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 #mubabas breaking my ribs
Ebu niulize niaje walikupima wakapata ukona TB na during dv process at IOM haukua nayo or its the effect of the BCG vaccine that sometimes create a false alarm of TB (false-positive results)...ebu plz tueleze hapa kiasi it might be of help to ambitious people here.
Jana niliona ukimpelekea lunch job na ilikua hosy ama unaeza kua doc na army alafu naomba mnifikisheni 500subcribes ntashukuru saana aki I will appreciate
Hey mrembo mimi hutamani sana kukuongelesha . Kuna time uliongea kuhusu vile uncles zako waliwatesa sana after baba yako kukufa. Hiyo story yako ni copyright na yangu. Please 🙏 kama unaeza tu kuniopea namba yako. Napia naomba kukuwa rafiki yako nakupenda tu vile uko simple. Endelea dada yangu endelea
Haha. Ok Vita gani alienda na alikuwa attached na unit gani? Na alienda wapi? Kazi yake kwa jeshi ni nini? Koz national guard sio kitu ya siri it's a conventional force , sio kama Special Forces, apo kwa vita ametudanganya kabisa, na izo uniform, zake sijawaiona combat patch ama sikuangalia vizuri. Hope hadanganyi koz kuna kitu inaitwa Stolen Valor ni federal crime. Am just saying. If I am wrong i stand corrected.
Izo video nimeziona, but point yangu ilikuwa hakuna vile ataenda vita na wewe bibi yake hujaambiwa juu kuna kitu inaitwa SGLI, akikufia uko wewe ndio unapewa🤣🤣🤣 400k dollars alafu pia tunakuja kukupatia USA flag and also bad news. So lazima as a wife lazma ujue. Na i think ako 42nd Regional Support Group if i am not mistaking.NJ National Guard. Tell him thanks for his service na muulize mbona hakujoin US Marine.
The way you are open to the public,the more God blesses you and your families.for some it's not easy to be freely talking on matters that relates to family life,you people you are blessings to us all and with time God is gonna to deliver unto us all through your hard work of content creation 🙏❤️🙏❤️❤️❤️.
We are blessed to hv you in this Chanel brother be blessed and may God grant you your heart desires 🫂🫂💙💙
@@missriunguanother question: mwanajeshi wa USA ako kama wa kenya ama kuna mwenye ako weaker?
@@emojongtv3995 sijakuelewa
@@missriungu nauliza kama wanajeshi wa USA wako strong kama Hawa wetu wa kenya.
@@missriungu b it b Amen.
Good job God bless you just an inspiration to many people
Ameen and Ameen
Love your show.❤❤
Thanks Brenda ❤❤
Good information. Enjoy yourselves ❤🙏🏽🇰🇪
Thanks sweetheart ❤❤
Thanks for your service!
🫂🫂
Thanks peninah ...you have got my question answered on military
Anything for you guys ❤❤❤
Hizo earrings za jamaa ndio tu hazinibambi. Everything else is on point and he really inspires the downtrodden to know a better day beckons if they do not lose hope. That those who wished failure on them will certainly witness their blessings and even seek their help unashamedly. May God bless the couple. Stay true to your roots and above, put God first as He is the one who has made all this possible.
It's ok 👍 Thanks
This is the video I was really waiting for.
Your wish is our command 💙💙💙
Thanks for the info...ive been dying to join the us military now i know what to expect
Good luck God bless you 🙏 ❤❤
Silent subscriber 😊
Loving all your videos
Thanks so much 🙏 💓
very educative....cheers
Thanks so much 💓
Good and encouraging story
Thanks so much 🙏 💓
How comes i didnt tis video ? I real love to watch your videos.
Thanks so much 🙏 💓
Congrats 🎉. you've conquered much our bruda.
Thanks brother 🙏 💙
Great information.Makofiiiii...Respect
Thanks sweetheart ❤❤
God bless you my sister
God bless you both, our God loves everybody, nothing is impossible with Him.
Ameen and Ameen
Quite inspiring
Humbled 🙂 ❤
Very kind couple, and humble❤ love you.your sister from DRC Kinshasa
Thanks so much sis we love you 😍 ❤❤
Hi, your channel is the best we love you,my wife loves too
Thanks so much be blessed you and your entire family 😘😘
I just love your family. Barikiweni
Thanks so much we love you back ❤️ 💓
Nice video
Big up sana am your top fun in Kenya 🇰🇪 and joining you soon in 🇱🇷
Ameen and thanks so much 💓 🙏 all the best sweetheart
Awesome
Thanks Sana
Very kind couple God bless❤ you
Thanks Val be blessed ❤❤
I heard in millitary in u can retire after 5yrs as opposed to huku 🇰🇪
5 years
Please tell him to talk about BAH and VA home loans
OK Dia I will thanks for watching ❤❤
@@missriungu you're welcome. More blessings Penina
We are back like we never left 😂❤❤ #kenyanamerican
Thanks mustang we appreciate 🙏
We love you.
We love you more ❤❤❤
❤❤
💗💗💗
Delay is not denial ❤❤
Kabisa ❤❤❤
Mad respect💪 for the soldier. I would have liked also join US military kama ningekuwa huko but healthwise singequalify. Ongelea also benefits of joining the military if any.
Thanks so much tune in part 2❤❤
Nice content. Penina sasa kuwa unaenda live tukuwe tunakula story🥰🥰🥰🥰
I will Dia thanks
Hae I love you and your family,, ido watch your videos, hopenikipata greencard mtani host 😂
Ameen 🤗 🤗 ❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
God blesses our couple,na military niya state kama police
I'd too like to join unfortunately am 39yrs now, tho still praying hard to come to USA
You can still join the US Air Force or the US Space Force. Their age limit is 17-42 years so you still have some time. Just make sure you apply for the green card lottery every year and you might get it one day. Be blessed
Thanks so much nick 🥰🥰
Maswali na majibu iko sawa..... Nangoja part 2 mr&mrs
Thanks wambu ❤❤❤
Habari yenu watu wetu?......😁....I think akili yangu ilisimama where you (Jonha) mentioned that ulikuwa booked at Marriott Hotel - whaaaatttt?.....wwwuuueeeh, enyewe ulikuwa starehe, si uwongo.....sasa wengine apart from huyo mkubwa wenye waliku-reject huku kwetu wakakuona saa hii wanaweza sema?....ni venye Peninah hushinda akitukumbusha - Mungu halali....... I simply love your un-edited and very funny mucenes and may your channel grow to a million subs.....bidii yenu ndio imewafikisha hapa na itawapeleka mbali.....mbarikiwe tu sana.....
Thanks so much Susan haki we love you ❤❤❤
So encouraging 👏👏alafu how is the education system of USA like in Kenya tumekua na 8-4-4 then wamechange to CBC ,huko niaje please ❤❤❤❤
Video loading ❤❤
My niece ana graduate feb huko kwa military, she was supposed to invite my sis (her aunt) ni yeye anafaa ku invite ama the army officials? Ebu saidia what is required?
First of all I need to appreciate what you are doing,but I would like some advice,am thinking of applying to a community college Jan 2025,but Sina doh za fees, would you advise me to apply fot associate diploma in nursing or would advise me to apply for CNA ,then once stable niendelee na nursing,am a clinical officer in Kenya,
Also need this advice,which college is good to start CNA course
god is big brother,umetoka mbali, next year utakuwa general major 😂😂😂
Ameen ❤❤
Leo mmematchy matchy mnakaa fity yaani😍
Haha ❤❤😂 thanks so much 🙏
Hi peninah🥰, Unaeza ongea kuhusu hizi rumours tunaskia kuhusu trump akiwin presidency ataban green card na afanye mass deportation for immigrants and so on..LOVE YOUR CONTENT ANYWAY❤
Wuee akiwin nikama kila kitu itakuwa mbaya but we hope for the best 👌
kindly share a video venye ulipata visa ya US. Thanks
I came through k1 visa
Tafadhali mtushike mkono
😂😂😂😂😂 hapo kwa reducing carnal urges aki umenichekesha but according to pharmacology some vasopressors might reduce the activeness of that thing but I am not sure about the milligrams that can effectively do that hapo watu wako well versed in posology can brief us tucheke mpaka tukufe!!!! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 #mubabas breaking my ribs
Hahaha hio pia 😂😂😂😂nilicheka Sana ❤❤
Ebu niulize niaje walikupima wakapata ukona TB na during dv process at IOM haukua nayo or its the effect of the BCG vaccine that sometimes create a false alarm of TB (false-positive results)...ebu plz tueleze hapa kiasi it might be of help to ambitious people here.
Video loading ❤❤
Jana niliona ukimpelekea lunch job na ilikua hosy ama unaeza kua doc na army alafu naomba mnifikisheni 500subcribes ntashukuru saana aki I will appreciate
Ukifuata story vizuri Kuna place nimemuuliza hio swali na amejibu.yes u can do side hustle ukiwa military 🪖. Thanks ❤❤
Watoi wetu wako wapi penny😂😂
Wako na beshty yetu kwa Hao ❤❤
Na airforce age limit ni ngapi?
Video loading ❤❤
Hiyo kuangaliwa kila kitu ni so that you don't bring up a false injury claim in the course of duty
Haha 😂😂❤❤
Kama mtu iko na green card kisha ana join us military anaweza pata nationality direct?
Yes
Leo ukakua good listener... always wewe hupenda kuh cutoff hubby akibonga.
Haha thanks Sana I'm sorry 😞
Do you have to be in the US to join the military?
Yes
Respect
💗💗💗
Apo kwa national guard nafeel kama umekatiza 😢 why remove the best part? Kindly lemme know kama national guards are deployed to battle field 🙏thanks
Video loading
@@missriungu😁yes, thank you🙏 also take us around tuone kama io mto ya hapo chini imefreeze and how the ducks 🦆are coping 😄
@@ItsBaccari OK Dia kwa next video 😘😘
I appreciate 😊God bless your family 🙏🙏
Thanks sana God bless you with your husband we love u
We love you more ❤❤❤be blessed
@@missriungu amen 🙏
@@missriungu amen 🙏
Penny wapi watoi ?😍
Wako na beshty yetu kwa nyumba na Rafik yetu❤❤
Can one join if they have tatoos?
no, if its not on your face or your neck you good. its only worse if its visible
@@brianotieno4351 thanks ❤❤
So ukiumia kwa training u get compensated?
Yeah
kipara ngoto 😂😂😂
Haha 😂😂
kendy pia wewe join military 😂😂😂
Nilikataa 😂😂
Josh na watoto wangu 😢
Do they consider a person who have served in military in another country after joining?
Yes
How and what are benefits?
Anaitwa pelvic joint/bones
Thanks Ann we appreciate ❤❤
Tupooo
Thanks 😊 🫂
ASVAB alipata ngapi?
Video loading
Yaani kumbe cashcrop ya nyandarua inakuanga muhimu in the duty of government job 😂
Haha kabisa ❤❤
Mkutwambia benefits za kuwa jeshi
Video loading ❤❤
Tuonyeshe vile mli kutana
OK lilian thanks 😊 🙏
Hey mrembo mimi hutamani sana kukuongelesha . Kuna time uliongea kuhusu vile uncles zako waliwatesa sana after baba yako kukufa. Hiyo story yako ni copyright na yangu. Please 🙏 kama unaeza tu kuniopea namba yako. Napia naomba kukuwa rafiki yako nakupenda tu vile uko simple. Endelea dada yangu endelea
My no iko hapo kwa description ya profile/email thanks 🙏
Haha. Ok Vita gani alienda na alikuwa attached na unit gani? Na alienda wapi? Kazi yake kwa jeshi ni nini? Koz national guard sio kitu ya siri it's a conventional force , sio kama Special Forces, apo kwa vita ametudanganya kabisa, na izo uniform, zake sijawaiona combat patch ama sikuangalia vizuri. Hope hadanganyi koz kuna kitu inaitwa Stolen Valor ni federal crime. Am just saying. If I am wrong i stand corrected.
th-cam.com/video/_p1WH_BRDdk/w-d-xo.htmlsi=RBl-3xFng4lYN2qw
th-cam.com/video/_IMzBIQAUKM/w-d-xo.htmlsi=75PL1iX-M82nx10F
Thanks ❤❤❤
Izo video nimeziona, but point yangu ilikuwa hakuna vile ataenda vita na wewe bibi yake hujaambiwa juu kuna kitu inaitwa SGLI, akikufia uko wewe ndio unapewa🤣🤣🤣 400k dollars alafu pia tunakuja kukupatia USA flag and also bad news. So lazima as a wife lazma ujue. Na i think ako 42nd Regional Support Group if i am not mistaking.NJ National Guard. Tell him thanks for his service na muulize mbona hakujoin US Marine.
Kama ingewesekana ungemleta tu yule mwanajeshi ,alafu ufanye video, baba ake alikataa kukuzatia ingekuwa testimony kubwa.
Thanks Kennedy 😘😘
Pelvis
Thanks sis 😘
akuna kunyoroshana 😂😂😂
Haha kabisa 😮😮😂❤
I heard in millitary in u can retire after 5yrs as opposed to huku 🇰🇪
Yeah!
That's cool
After 5years?
Discrimiination