Assalam alleykum shekh mm nimeota tumekusanyika watu wengi tuu tunasoma dua lkn badae mvua ikaanza kunyesha,Yule shekh mmoja wapo akawa ananisemesha kubadilisha mahali pa kukaa. Inamaana gani 🙏🙏
Shekh mimi nimeota namuona rafiki aliyefariki ananiambia mimi sijafa ila huwwz kuniona naonyeshwa na rafiki yangu mwingine eti naye anakaribia kufariki nikaanza kuomba maombi kwa nguvu ninayoyajua hadi naanza kufurahi
Asalam haleykum cheikh mimi nime ota Niko nahagaliya vidéo nakatika vidéo Bana taja jina la muhammed namiye mara moja nika aza kuadisiya Astoria ya christianisme mahana yake Nini?
Shekh me naota sana hizo dua ila nyingi nizile naona kama Kuna mchaw au kitu kibaya kinataka kunidhuru ndy huwa naomba sana dua jee huwa ni ndoto nzur au huwa namuombea mtu ambaye kadhurika na jambo la kishirikin na huwa namsaidia kwakumsomea dua na anapona
Shekh Sasa Mimi niliota naomba Dua ila Niko na bibi lakin alishafari nikamwa mbona hujaangalia kibra akanijibu nikubwa tufanikiwe natulikua tunaomba ananiombe nipate ndoa lkn Kwa mwanaum mkiristo, kingine Huwa naota nasoma Quran pia Leo wakat nasoma Dua baada ya sala ya alfajir nikawa kama nasinsia nikaota mvua inaninyeshea mikononi lkn nilikua nasoma Dua baadae nikashika
Ukiota ndoto umesimama kwa ajili ya swala na ukasikia sauti ya adhana sauti nzuri Hadi ikakuingia moyoni Hadi akili Yako ikapotea pale ukawa unafikiria Allah na ukashtuliwa kwa ajili ya swala hii ndoto inamaana gani sheikh
Jamani nimeota nasoma dua rabbana atinna fidunia Asana wafil Akhera Asana wakinadhabanar
Nashukuru shakhe unachambua vizuri sana kila mtu anapata maana yake
Wallaykum sallam warhamatullah wabarakatuh
Shekh nimeota eti naenda kupewa azabu shuleni na angali nisha maliza shule kabla sijaenda niliita jina la mwenyezi mungu mala 3 kwa imani nikashituka
Ostadhi mimi nilitoa ndoto sheikh amenisomea dua akanishka mabega yangu akaniambia umepona na mim npo nasumbulia na maradhi ya kishetan
Assalam alleykum shekh mm nimeota tumekusanyika watu wengi tuu tunasoma dua lkn badae mvua ikaanza kunyesha,Yule shekh mmoja wapo akawa ananisemesha kubadilisha mahali pa kukaa. Inamaana gani 🙏🙏
Shukran 💯
Mm nimeota nipo makaburin naomba duwa
Nimeota watu wengi mskitini tukaswali halfu shekhe akatoa dua halafu tukatoka lakini tukaonana na marafiki ambao muda mwingi hatujaonana
Mm niliota nataja hii kulhua llah ahad nikiwa nimelala lkn ilikua namuombea mtoto wngu sijui ina maana gni
Mi nimeota mashekhe wa naomba dua
Assalam aleykhum warahmatullah taalah wabalakatuh, Shekhe Mimi Huwa naota mara kwa mara nasoma ayat kursi hii ina maana gani.
Shekh.me.nimeota.wachawindani.nikasoma.hayati.kuusni.
Mie nimeota naelekezwa sura za kusom kweny quraan ili niondoe mkosi na matatiz yang
Shekh mimi nimeota namuona rafiki aliyefariki ananiambia mimi sijafa ila huwwz kuniona naonyeshwa na rafiki yangu mwingine eti naye anakaribia kufariki nikaanza kuomba maombi kwa nguvu ninayoyajua hadi naanza kufurahi
Shekh mimi nimeota Niko makka kwenye Alkabba naomba Dua yamanisha nni
Asalam haleykum cheikh mimi nime ota Niko nahagaliya vidéo nakatika vidéo Bana taja jina la muhammed namiye mara moja nika aza kuadisiya Astoria ya christianisme mahana yake Nini?
Shekh me naota sana hizo dua ila nyingi nizile naona kama Kuna mchaw au kitu kibaya kinataka kunidhuru ndy huwa naomba sana dua jee huwa ni ndoto nzur au huwa namuombea mtu ambaye kadhurika na jambo la kishirikin na huwa namsaidia kwakumsomea dua na anapona
Mtu akiota yupo madrasa aliyosoma zamani na mwalimu anawasomea dua nini maana yake
Mm nimeota kuna mtu ananiombea dua
Shekh Sasa Mimi niliota naomba Dua ila Niko na bibi lakin alishafari nikamwa mbona hujaangalia kibra akanijibu nikubwa tufanikiwe natulikua tunaomba ananiombe nipate ndoa lkn Kwa mwanaum mkiristo, kingine Huwa naota nasoma Quran pia Leo wakat nasoma Dua baada ya sala ya alfajir nikawa kama nasinsia nikaota mvua inaninyeshea mikononi lkn nilikua nasoma Dua baadae nikashika
Ndto zote hizo zinajulisha kufanikiwa katika maisha.
@@nyumbayatibanadua737shekh je mtu akiota yupo madrasa aliyosoma zamani na mwalimu anawasomea dua nini maana yake. Asante
Ukiota ndoto umesimama kwa ajili ya swala na ukasikia sauti ya adhana sauti nzuri Hadi ikakuingia moyoni Hadi akili Yako ikapotea pale ukawa unafikiria Allah na ukashtuliwa kwa ajili ya swala hii ndoto inamaana gani sheikh