Sasa anazeeka vibaya vipi mzee kasema ukweli kwani hata kabla ya dabi tayari yanga nibingwa hakuna wakutuzuia tunaoshindana nao wagonjwa tumewazidi mpaka zambi
Nafasi ya pili yenyewe mtiti kuna awo singida big starz na singida fountain gate ni wa moto balaa😆😆😆 Kwanza nyie vishkwambi makolokwinyo wale singida fountain gate mliwafungaje na hicho kikosi chenu kibovu au ilikuwa ni ile huruma ya TFF kwamba wachezaji hawana vibali🤣🤣🤣
Ndio ukubwa huo Mzee Said,pole hupewa mgonjwa/mfiwa,mie ckupi pole bali nakwambia NDIO MPIRA,tukutane game ijayo NYUMBANI InshaAllah !,Wananchiiiiiiiiiii hao tumesepa na ALAMA 3,ubaya ubwege !😂😂😂😂
Kwa mtu mwenye macho ya mbali au jicho lapili utajua nini kinaendelea hapo studio. Sisi tunaona kwa jicho lapili. Pia najua nini kina endelea acha tuupe muda nafasi. 😂😂😂😂😂😂 Hana mpangilio wa maneno mtu alie kuja studio kuhojiwa huwezi uliza naomba unisaidia halafu mwengine ana uliza wewe unataka tukasaidieje no no no no
@@KIANGOMEDIA wewe ni bwana mdogo SANAAA tena sanaaaa. Hatuna niambaya lakini nilazim mtu awe na mipaka kuisemea krabu yake hata kama mpinzani kapata ushindi kuna mipaka yaku zungumza elwa hilo bwana mdogo
Mzee saidi babu kubwa una baya nakukubari sana ingawa Mmi mwananchi big up mzee saidi
Mzeee saidi oyeeeeeee😂😂😂
Mzee said nampenda sana
Mzeee noma
Unajua mpira Mzee
huyu mzee anajua mpira vibaya mnoo 😅😅😅
Mzee Saidi rudi kwa Chagamba. Huko mna chemistry
Uyo ndo mzee side
Ninacho mpendea mzee said anaongea ukweli, alikuag hivi na GB 64, Sahzi cjuwi ndo wameshampatia posho kumanina🤔🤔🤔🤔
🔥🔥
Mzee said leo kitenge ulimkuta mjengoni😂😂
Mimi nitafute nafasi ya pili
🎉🎉🎉
Daah mzee upewe mauŵa ya roma
Sasa anazeeka vibaya vipi mzee kasema ukweli kwani hata kabla ya dabi tayari yanga nibingwa hakuna wakutuzuia tunaoshindana nao wagonjwa tumewazidi mpaka zambi
Wewe mzee n yanga
mze saidiiiiiii c uktucheka sie azam leo jee endelea kutabam kama ile cku😅😅😅
Ndio yanga yuko vizuri kwa hapa TANZANIA local tournaments sasa ndio hana haki hata ya penalty dhidi ya yanga!😊
Nafasi ya pili yenyewe mtiti kuna awo singida big starz na singida fountain gate ni wa moto balaa😆😆😆
Kwanza nyie vishkwambi makolokwinyo wale singida fountain gate mliwafungaje na hicho kikosi chenu kibovu au ilikuwa ni ile huruma ya TFF kwamba wachezaji hawana vibali🤣🤣🤣
Ndio ukubwa huo Mzee Said,pole hupewa mgonjwa/mfiwa,mie ckupi pole bali nakwambia NDIO MPIRA,tukutane game ijayo NYUMBANI InshaAllah !,Wananchiiiiiiiiiii hao tumesepa na ALAMA 3,ubaya ubwege !😂😂😂😂
Ukimsikira mzee saidi kwamakin ndo utajua anaongea ukwer
Hii ndiyo "ukikimbia nchale,,ukichimama nchale,,uchiteme Wala uchimumunye,,Wala uchimeje,,Wala uchiache ndomoni""",,ila Yanga Africa,,💥🤣🤣
😅
Mshauri wa muhimu pale simba huyu awajajua tu
Wanaokupinga muda utawaambia
Huyu mzee nae anazeeka vibaya mapema hii unakata tamaa na ubingwa
Mnaona mapema baadae ndio muda wa kumraumu GSM
muelekezeni huyu mzee interview za radio sio kama za online tv,
Huyu chizi mchome samu wote yanga hawa machawa tu tuwajua.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa mtu mwenye macho ya mbali au jicho lapili utajua nini kinaendelea hapo studio. Sisi tunaona kwa jicho lapili. Pia najua nini kina endelea acha tuupe muda nafasi. 😂😂😂😂😂😂 Hana mpangilio wa maneno mtu alie kuja studio kuhojiwa huwezi uliza naomba unisaidia halafu mwengine ana uliza wewe unataka tukasaidieje no no no no
Acha makasiriko Dogo, Huyu mzee Kila mara anapenda kuijenga SIMBA kupitia ukosoaji
@@KIANGOMEDIA wewe ni bwana mdogo SANAAA tena sanaaaa. Hatuna niambaya lakini nilazim mtu awe na mipaka kuisemea krabu yake hata kama mpinzani kapata ushindi kuna mipaka yaku zungumza elwa hilo bwana mdogo
Hii ligi msihalalishe ubingwa kwatimu fulani. Mzunguko wa2 Simba tutakuwa tumesha jipata tayari. Subirini.Hakuna timu yoyote narudiya timu yoyote isiyo poteza mexhi au kutowa dro. Typo hapa tuombeane uzima.
Huyu mzee nae bwabwa eeh!!
mzee anajua soka sio kama wale wa posho
Mjinga tu huyu ni yanga huyu mpumbavu huyu