Wasafirishaji waliotiwa unyonge na SGR kufutwa machozi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
  • Baada ya kuanza kwa safari za treni ya kisasa ya SGR kati ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma, athari zimeanza kuonekana kwa wadau mbalimbali wa usafirishaji wa abiria, mathalani kupungua kwa wateja wa mabasi, hali inayozifanya baadhi ya kampuni zishindwe kutoa huduma kama ilivyokuwa awali.
    #AzamTVUpdates
    Mhariri | John Mbalamwezi

ความคิดเห็น • 13

  • @johnb.j.m206
    @johnb.j.m206 หลายเดือนก่อน +2

    Usafiri wa treni ni salama sana. Nashauri serikali iwekeze zaidi kwenye usafiri wa reli itapunguza ajali nyingi. Kuhusu usafiri wa bararabara nashauri serikali ijenge miundo mbinu ya barabara bora na salama. Mfano barabara kuu (High way) iwe na njia nne. Ni kuanza taratibu tuu kuunganisha mkoa kwa mkoa. Wasarishaji wanaotumia barabara nao wabadilike ili kuendana na mabadiliko ya ujio wa treni. Nendeni mikoa na wiliya ambazo mtandoa wa treni haujafika. Tufike mahali mabasi yatumike tu kwa kukodishwa kwa masafa ya mbali. Hongera serikali kwa SGR.

  • @NdilanhaBoniphace
    @NdilanhaBoniphace หลายเดือนก่อน +1

    Na bado wanaringa sana hawa

  • @PatrickMipawa
    @PatrickMipawa หลายเดือนก่อน +2

    Hii Nchi ni kubwa tafuteni route nyingine.

  • @husseinmilao5789
    @husseinmilao5789 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani hamukujua kama kiama chenu kipo njiani au zarautu.

  • @bakariomarimndeme6059
    @bakariomarimndeme6059 หลายเดือนก่อน +1

    Naiomba serekali na shirika la reli kuweka ulinzi imara kwa njii hii maana huwezi jua roho za watu.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 หลายเดือนก่อน +2

    Badilisheni biashara msije mkahujum mradi wetu.

  • @user-ub1xk6yz6l
    @user-ub1xk6yz6l หลายเดือนก่อน

    Huku kwetu basi Moja mara Moja Kwa wiki. Njooni huku!

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 หลายเดือนก่อน +1

    Nnachokiona hapa tutahujumu Treni ambayo ndio chanzo kikubwa cha kutufikisha nchi ya ahadi kiuchumi

  • @georgempuya9343
    @georgempuya9343 หลายเดือนก่อน +1

    Mwezi ujao SGR wanaongeza route nyingine kwenda Dom, hata haa wa ndege nao watafute route nyingine wakifanya mchezo watafilisika kweli.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw หลายเดือนก่อน +1

    Mbona njia zipo nyingi au mmejalili njia morogoro dodoma njia nyingi tu ni kujipanga muende moro Dom kupeleka watu mkoani

  • @GodlivenMaximillian-ot7mg
    @GodlivenMaximillian-ot7mg หลายเดือนก่อน +1

    Maendeleo huja na changamoto,

  • @bongo39
    @bongo39 หลายเดือนก่อน +1

    Mshaanza unafiki wenu sasa

  • @timjosephtz5631
    @timjosephtz5631 หลายเดือนก่อน

    Waamie burundi