Kazi nzuri , content nzuri sana , Ila @mkojani bin daruweshi watoto mmewapa uhusika mkubwa sana katika tasnia ya filamu , kikawaida sio rahisi watoto kufanya hayo waliyoyafanya. Ila Vijana Wana high que kubwa sana katika tasnia . Tuwaleee watakuwa akina mkojani wajao HUKO mbeleni. Shukraaan.
Daah mkojani amemuaribia Bwana mdogo ,,et Mama yake alimkuta kimboka😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Noma sana
Mkojani apewe Maya🥀🥀
❤❤❤
Wakwanza ❤🎉
Mkojani team yako bado una kazi
Kazi nzuri , content nzuri sana ,
Ila @mkojani bin daruweshi watoto mmewapa uhusika mkubwa sana katika tasnia ya filamu , kikawaida sio rahisi watoto kufanya hayo waliyoyafanya.
Ila Vijana Wana high que kubwa sana katika tasnia . Tuwaleee watakuwa akina mkojani wajao HUKO mbeleni.
Shukraaan.
Hivi ni kwanin Mkojani hajawahi kupigana na yoyote akampiga.kila sk yeye ni wakupigwa 😂😂😂😂😂
Ila tupigie moja la kichawi chawi na mwakatobe
Apige na chandimu
@Officialvplayapt
Wakwanzaaa kutolaa kenyaa Mombasa kisauni naombeni like zangu jamni😊😊
Like kazichukue kwenu
Kwa mama yako ipo
❤
Niite matelephone ama kijiko katika ubora wake
Mkojan bila samof kamgisha na chandim hamn kitu hao madogo kwanza wanahalibu mov weka watu wazima kina viola acheni kusifia ujinga
HUYO HALIMA MAMA CHOLOBI NA WANI LAKE ANAJUA KUIGIZA SANAA ITAFAA AKIJIUNGA KABISA MKOJANI GANG
Mkojani gang. Kazi ni Kazi 💯💯💯
Mkojani mtafute alinogi mzee an anajua sana yule
Kwani zte nimeziwahi mm au 😂 from Oman 🇴🇲
Chalobe amefanana na chili😊
Eti unataka kunipigia ela😂😂😂😂
Wapi vanda boy
Uyo mtot mweus anajuwa san😂😂
Mapema sana
An uishiw maneno wew duu
Watoto noma😂😂😂😂😂😂Mimi hujaniludisha😂😂😂
Mbonaa hainaa sautii
Huyo rafiki yake cholobi huyo mweupe ntampa dada yangu bure dogo nae anajua mkimkuza hivyo atakujakuwa star mkubwa sana kama mkojani mwenyewe
Nakubali mkojani ❤❤
Mkojan jiongezee timu hii haifai walete kina samofi chandim viola kamgisha
wa kwanza naombeni like 10
🔥🔥🔥
Mnarudiana hamurudiani😂😂😂😂😂😂😂
Ety unawashwa au Ni vipi yan😂😂😂😂
Baba mdogo >>>>>> Dingi mtata 🏃♂️🏃♂️
Mama na mtoto wanavyoongea Dairecta kuwa makin kwa Huyu dogo anaharib hafananii na calata anayocheza.
Unaonekana niwageni au sio wzoefu
Mbona Mnachelewa Kutoa Movie
Mkojani siku hizi anaokota watu
Asanteni sana.
❤❤❤nice
naomba like za kutosha niwahi ndo kwanza dk 5 naomba lke pls
Yan watot muingilie mambo ya wazaz ulisikia wap
Mwanu wa hanuhanu kaya
Dingi mtata
Sekunde 28
Mkojan nae kaamua kuharib 🤣🤣🤣
wakwanzableo
Kdg afazal 😂😂😂
Mkojan.na.mtoto.wake.ni.kivumbi.na.jasho
Mkojani ukali wote huo ulio nao ila ukifika wakat wa kuingiana maungoni unapigwa
❤❤❤
🔥🔥🔥