Ni Usaliti kati ya Kibibi na batuli? | Maisha Magic Bongo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2018
- katika #HUBATZ wiki hii, Batuli amegundua Kibibi amemrekodi katika mazungumzo ya njama yao. Ulikosa vipindi? Highlights basi ndizo hizi!
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: maishamagicbongo.dstv.com/
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo - บันเทิง
Bora kuangaria T T comed kuliko awa washenzi tatizo la watanzania washajiona wamefanikiwa
Chukrani
Kazi mnzuri
Hatar ni nzr sana😍😍
Ualisia
Batuli mum Nakupenda mie
Wanalingaaa
Unajua nyie hamna akiri hizi ndo movie ama vip kama vip futeni, promo promo promo chefuuuuuu
Nice
Mnachanganya mpk mnaboa achen kqma amuwezi kuweka kimpangilio mkude maneno yakuambiwa upo juuu
mnakera sana sasa ndio nn kuwa mnatuwekea vitu nusu nusu mnakera mno fyuuuu zenu
Unishindi mm nnavyo.boeka kiduchu ndio nn xx
Yaaan hii movie nzur lakin wenyew mnafanya isielewek kwa sabab ya mpangilio wen mbaya
Nzurii lkn mnaboaa haieleweki
Kweli mnakera sanaaa
Niambie
Yanii simtuwekeee kweli nyiee amtaki hela dahhh
Jamani movie nzuri tuletee full
Fatilia siku yajumatatu mpaka jumatano dstv saatatu usiku saatatu
Fatalia
Kweli wanakera
Mimi hata siwaelewi baada yakutuwekea move nzima mnatuwekea vipande visivyo eleweka
Hatuhitaji hizo promo bhana
pumguzeni kingereza dumisheni lugha yetu.pia mikorogo imezidi yani wanawake wote mmekuwa kama waarab.akhh
Mna mambo ya ajabu si muweke move yote ieleweke
em weken full bhas
Hamtaki kutuekea you tube mnakazi kutuekea matangaxo sibora mueke ukouko mnako onyesha tunamibembeleza situko mbali embufanyeni kueka TH-cam basi nyieeee
Uwoni mambo haya muwe mkituletea cc tuko mbli
Tupen yot
Poa
tumechoka na hizo promo kama vp sitisheni tu.
Wanajifnya wao ndo waoo
Sure wanaboa
tuleteeni jamani
Mm hawa waga siwaelewi nahizo prom zao
Tuleteeen movie zima ni nzur mclete nusu
😏
Kitimutim
penda sana batuli
Yani mna kazi ya kutubadirishia hayo mavazi tu na kujipodoa tu tupeni full move jaman mbona hvyo
Wasanii wamecheza vizuli chort hazijibu acheni ujinga wasanii wazuli mnatupigia mishort most chache Eboo
Plz tuwekeni full wenzen tuko inchi zawatu
Asante sana kwa kuungana nasi na kutazama vipindi vyetu! Kama ilivyo kanuni yetu, hatutaweza kuweka vipindi au episode nzima katika mtandao wetu wa TH-cam kwa ajili ya kupeperushwa kwa vipindi katika mitandao ya DStv. Lakini, usife moyo, unaweza kutazama highlight zote katika tovuti yetu: bit.ly/2uKgwJV
Sijaonaga utamu wa hii huba kabisa mana sijui ni matangazo au ni nn
Mary Gaspary inakera kwakweli. bola ata maneno ya kuambiwa ipo juu
Tuekeeni youtube mbina wachoyo ivi😏
Nilijua nimm mwenyewe ndio sielewi kumbe tuko wengi
Kiswahili naona kigum kuliko kingereza
🤩
kwani ndio nini hii
Ni heri muache tu badala ya kueka nusu nusu
Hahahahaaa...!! Batuli ni don't care aki
Man haieleweki jmn tutumkeni zote
kijitonyam pale napafahamu apo mlipo
love kibibi
Uyu batuli hanamuiga Madam Sweetheart tz wetu Wema Sepetu
Anamuiga nn acha uwongo