Hivi kweli simba Kila mwaka inasumbuliwa na chama na mbona sio kama taasisi kwani hakuna taratibu za kuwajibisha wachezaji watovu na hapo jifunzen yanga mbana hawadenguliwi na mchezaji Yani mmh hi simba kweli hii dalili hakuna viongozi mana no stable control,no leadership
Thenk you chama,😢😢😢 inatosha Simba ss asant kwa ushirikiano.
Hiyo safi aondoke tu😊😊
Chama bado ni Moto , ni mchezaji wa kuleta maajabu, wakicheza chama na Onana , ni nomaaaaa
Kama mnajuwa chama anakuja yanga wekeni makopa kopa na kulike❤❤❤❤❤
Ninachojua huko Duniani kuna wachezaji bora zaidi ya Chama ndio maana alienda RS Berkane akapigwa benchi. Yuko slow sana muacheni aende
Bado ujasemaaa
Imekaa pw sn iyooo 😂😂😂
Inavyoonekana chama tayari ni mchezaji wa yangu kwa maono yangu japo mimi ni msimbazi
Hivi kweli simba Kila mwaka inasumbuliwa na chama na mbona sio kama taasisi kwani hakuna taratibu za kuwajibisha wachezaji watovu na hapo jifunzen yanga mbana hawadenguliwi na mchezaji Yani mmh hi simba kweli hii dalili hakuna viongozi mana no stable control,no leadership
Anasumbua nini wakati yeye anahitaji maslahi Yake kama mnamtaka muongezeni mkataba Kama hamjamuongeza alitakiwa na wengine ndio utovu wa nidhamu???
Nenda tu yanga chama ukajaribu na kule riziki popote.mimi ni simba dam dam kwa sababu umeshawataka kijani nenda tu kaka
Safi kama anasumbua mwacheni asepe .kupanga ni kuchagua
Mbaya iyo😢😢😢
CHAMA AENDE AENDAKO
Nikilusi huyo bora aondoke
Hakuna muda mwafaka wa kumuacha chama kama huu inatosha tutafute quality waje
aondoke tu
mo hatoi pesa anaichungulia no wonder hata lawi tumemkosa;thamani ya chama na gap lake mtaliona baadae
Ainde tu tafuteni Wachazaji wengine wenye kiu ya Mafanikio
chama hufuatilia jasho la upambanaji na talent yake no wonder watu wengine humchukia;mo pambana umbakize jao madeni fc wanakushinda vipi?
😢😢😢😢😢😢