Bro Leo umeongea vizuri sana najua unaongea but Leo Yani it's amazing unajua ukiwa msanii ni kama mwanasiasa sometimes unaweza kuongea Kwa njema kabisa watu watafasiri vibaya mpaka ukajuta kwann ilisema vile but tukiwa na elimu ya maongezi tunaweza kuongea as the same time tunabalance maneno wasioleta ukakasi hata hovyo kiswahili chetu ni kizuri kabisa kwenye kuongea big up sana bro Mungu akuzidishie.
Toka Alikiba aneanza mziki Zaidi ya miaka 23 Leo ndo kaongea point Leo aneonyeha uzalendo kitu hajawahi kufanya b4 Kunbe ilikuwa hajahipata Simba huwa anamzungumzia vizuri Sana U are wormly Wellcome
For the first time King anaongea as mature man, let bifu continue but mweny akifanya powa uongeeni positive The only mature artist tuko nayey east Africa ni uyo Big azipo fika international vizuri musahau msani mwengin kufika uko
@@mzukaunlocked670 And I’m telling you who that one king is. Diamond and that's on period and please I do not repeat do not care what you have to say. Now let that sink in. Get it Thank you. 🇺🇸
Sapot ni muhim kama munataka kufikia malengo flan umoja una nguvu ndio mana wanaijeria wamefika mbal Ali kiba tunataka hit Kal za kimataifa sio Ngoma za ndan t Enjoy na komasava
Kuchezwa na breazy n chart kubwa kuliko hizo unzozfikiria ww😂😂😂😂#breazy n GO.A.T kuliko hizo chart kama hujui muulze hy ulokaa naye atakuambia#komasava global son yen atacheza pimbi na hizo chart unazozifagili😂😂😂
@@Tanafa-j9q isije ukafikiri Mimi ni shabiki wa kiba au labda namchukia mondi! sinaga ushabiki wa msanii yeyote mi napenda ngoma ya yeyote Ili mradi iwe nzuri tu, kwahiyo we unaamini Chris brown akicheza wimbo akaiweka tik tok ndo basi eti!😃 Upo zama Gani mzee!😅 Kesho na kesho kutwa mnakuja kulalamika oh wanatuonea hawatuweki kwenye tuzo, hakuna anaemwonea mtu, ishu mnajipa ukubwa usio na uhalisia, ngoma inatembea TikTok sawa lakini Ili iwe international song inabidi iwepo kwenye chart kubwa za Dunia, ngoma mbaka leo Ina streams milioni Moja tu Spotify unaita ngoma international? Unazijua ngoma za international Mzee? Wasafi wanawabeba Sana nyie jamaa aisee tukitoka nje huko ndomana tunaaibika uhalisia hatuna, uongo mwingi na chuki zisizo na msingi, mziki sio rahisi hivyo kama mnavyofikiria, haya bana nyie mmeshazoea kudanganywa na wasafi Kila siku Haina shida bana, lakini uhalisia hua unakujaga kuonekana tu baadae😅
Diamond Platnumz harongwangi....Ujumbe kwa Harmonize😂😂😂😂
upo live sana kaka fredrick Bundala.. Tupo pamoja dl
Alikiba kakuaaa🎉🎉
siku zote team kiba wakubwa kiakila
HHHH NDIOOO_🤦🏿♀️
Alikiba❤❤❤❤
😂😂WCB inanguvu kubwa tayar kiba kaingia kwenye mfumo Diamond ni kioo mpaka kiba anakitumia kujiangalia😂😂
Mtego uo
Saafi Kabisa blood 💥🔥💯⭐
Bro Leo umeongea vizuri sana najua unaongea but Leo Yani it's amazing unajua ukiwa msanii ni kama mwanasiasa sometimes unaweza kuongea Kwa njema kabisa watu watafasiri vibaya mpaka ukajuta kwann ilisema vile but tukiwa na elimu ya maongezi tunaweza kuongea as the same time tunabalance maneno wasioleta ukakasi hata hovyo kiswahili chetu ni kizuri kabisa kwenye kuongea big up sana bro Mungu akuzidishie.
Hizi ni strategies za media yake kwenda viral😂
D mbili☑️😅😅😅
Hiyo sio hatua huo ni msamba 😂😂😂 KING ni mmoja tu#long live the King
Safi sana🎉❤
kweli wabongo hawana jema😂. sifa katoa mmemaind, angekaa kimya mngesema ana kiburi😂
Safi Sana Alikiba wewe ni kaka wa Diamond ❤❤❤❤❤❤
Kiba amekua sana.this is a kind of king
Acha ushamba wako nawewe mwandishi sifagan arizomwaga zaiditu yakutafuta kiki nahuyo mtangazaji wake eti ange poxti angeonekanaje 😂😂 kwani angeongezann kwa mondi huyo kiba 😂😂😂😂😂😂😂
Tafuta hela acha makasiliko
Kwakeli Alikiba amekuwa
We umebakiza taarabu tu lazma umwongere Ili jina lako liendelee kuwepo maana kama unapotea hv
Toka Alikiba aneanza mziki Zaidi ya miaka 23
Leo ndo kaongea point
Leo aneonyeha uzalendo kitu hajawahi kufanya b4
Kunbe ilikuwa hajahipata
Simba huwa anamzungumzia vizuri Sana
U are wormly Wellcome
Wa kwanza
mimi wakwanza naomba liké zangu 🎉🎉🎉🎉
goog
Kupost sio hatua nimsamba,😂😂😂😂
For the first time King anaongea as mature man, let bifu continue but mweny akifanya powa uongeeni positive
The only mature artist tuko nayey east Africa ni uyo Big azipo fika international vizuri musahau msani mwengin kufika uko
Safi sana kiba
❤❤❤❤❤Diamond. Haters go to the back. Diamond is the king. 🇺🇸
There can never be two kings, only one King Kiba let that sink in
@@mzukaunlocked670 And I’m telling you who that one king is. Diamond and that's on period and please I do not repeat do not care what you have to say. Now let that sink in. Get it Thank you. 🇺🇸
👏👏👏
wa kwanza mm na sitaki like mm
Anaanza kumuelewa SIMBA. Amechelewa sana kumuelewa Simba ila sasa anaingia kwenye mfumo. Good one Ali Kiba
Wewe ndo imechelewa kuwaelewa wenzako NI wafanya biashara we endelea na ushabiki mandazi
😂😂😂 ndo alivyosema mfumo which where 😅😅😅
Acha uswahili
Ali kiba forever inakuuma eeh tafuta ndimu
@@shwaibukhatibu2838 Akili huna aliyekuambia sijui kama ni wafanyabiashara ni nani? Team Kibakuli mna mihemko ya misamba 🤣🤣🤣🤣🤣
This is king of bongo flaver❤
King
Kiba ana hekima sana
Big up kiba
Atajua hajui😂😂😂😂😂😂😂
King's bg up
Kwani bila daimond hawezi fanya mambo yake paka ugomvi
Hypocrite 😅
You’re hypocrite
Yeye huyo diamond ashawahi kupist wimbo woworecwa Alikiba?
Hawa waandishi wa habari nao wanapenda fitna sana
Nyinaye wana sns niwahovyo ama mumekosa habali sasa unazani alikiba angejibu nini
Bado anammisi x wake maana story yote kamtaja yeye tu,sijaona motivation yoyote hapo
Jamaa anaongea kama kikwete
His father😂 umechelewa
Tanzania jameni sasa Chris kucheza tu nyimbo nikitu yakuongelea kila mahali...sasa akipiga colabo itaongelewa aje
King is always a king 🤝🙌🙌
Kiba amekua safi sana
Ilo swali kajibu basi tu atafanya je Sasa😂😂😂
Wameamua kuikuza radio
Alikiba xaxa naona umekuwa !! Nliwambia achana na bifu msonge mbele !! Kama Nigeria walivyo!
Sapot ni muhim kama munataka kufikia malengo flan umoja una nguvu ndio mana wanaijeria wamefika mbal Ali kiba tunataka hit Kal za kimataifa sio Ngoma za ndan t Enjoy na komasava
Hii haitok moyon 😂😂 kiba
Kwan Jomba Nchumali anaxemaje huko?? Mamaeee 😅😅😂
Simba ndoo Yale majiii
Alikiba anazingua kwenye mavazi
kamvalishe
Appreciate King
𝐊𝐢𝐧𝐠...
Eti acheze fallen angel badilika ww imba kimataifa zaidi na sio bongo flava tu eti aimbe nhoma y Alikiba yan aje aimbe bongo flava kwl??
Nitajie chart Gani kubwa komasava imeingia? Mnapelekeshwa tu na upepo nyie, hakuna chart zozote kubwa komasava imeingia pamoja na kelele zote hizo
@@Oldskulgemini9991umejibu vizuri
Kuchezwa na breazy n chart kubwa kuliko hizo unzozfikiria ww😂😂😂😂#breazy n GO.A.T kuliko hizo chart kama hujui muulze hy ulokaa naye atakuambia#komasava global son yen atacheza pimbi na hizo chart unazozifagili😂😂😂
@@Tanafa-j9q isije ukafikiri Mimi ni shabiki wa kiba au labda namchukia mondi! sinaga ushabiki wa msanii yeyote mi napenda ngoma ya yeyote Ili mradi iwe nzuri tu, kwahiyo we unaamini Chris brown akicheza wimbo akaiweka tik tok ndo basi eti!😃 Upo zama Gani mzee!😅 Kesho na kesho kutwa mnakuja kulalamika oh wanatuonea hawatuweki kwenye tuzo, hakuna anaemwonea mtu, ishu mnajipa ukubwa usio na uhalisia, ngoma inatembea TikTok sawa lakini Ili iwe international song inabidi iwepo kwenye chart kubwa za Dunia, ngoma mbaka leo Ina streams milioni Moja tu Spotify unaita ngoma international? Unazijua ngoma za international Mzee? Wasafi wanawabeba Sana nyie jamaa aisee tukitoka nje huko ndomana tunaaibika uhalisia hatuna, uongo mwingi na chuki zisizo na msingi, mziki sio rahisi hivyo kama mnavyofikiria, haya bana nyie mmeshazoea kudanganywa na wasafi Kila siku Haina shida bana, lakini uhalisia hua unakujaga kuonekana tu baadae😅
Safi sana kiba
Safi sana kiba
King
Ukishakua na media lazima ukubali yote
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🔥🔥🔥🔥🔥
Kikeke kwawekeza nguvu nyingi,,hongera sana kikeke na ally
Safi sana sijawahikukubali Ila leo ❤❤❤❤
nimekuelewa sana tutasonga mbele kimziki
Hii n kubwa saanah King 🤴 ame appreciate
Amwagia?? 😂 Wapi Sasa nje au ndani
Sns naomba jina la huo wimbo hapo mwishon
Kizazi sana hata kuongea inatosha 🥰
Umefulia wewe
Natamani diamond na Alikiba watoe ngoma
alikiba leo nimeamini kuwa wewe ni mkumbwa
This is what we call maturity.
Yamemshinda!!
Safii snaaa Mfalme... Alikibaa
Definition of positivity
Kiba umekua sana
Wow good answer❤
Nimekuelewa
Kiba is intelligent,
Alikiba ni mtu sanaaa
Kiba achana na huyo domo tena hata ungekataa kujbu tu ni wapuuzi
Una makasiriko ndugu 😂
😂😂😂Sio hatua ni msaamba
Mtamuelewa polepole ❤️
Acha mengine uongei Harmo tyu
Hajaanza leo mond 😅 th-cam.com/video/WC7AwvcsyN0/w-d-xo.htmlsi=uKzKtegUxbPKXPH-