Uteuzi wa mawaziri na Raila kuingia serikalini: Nani kasalitiwa? | Mduara
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Yote NI siasa lakini muhimu twataka Amani na serikali ipewe nafasi ifanyie kazi wakenya.
❤❤❤❤
Raila asichezee wakenya miaka nenda miaka Rudi,Akina Jalango na Tom Ojienda walkenda state house na mara hiyo hiyo Raila aka react na mwishowe akawatema inje ya ODM,mbona viongozi wake wamekubali kuhama ODM kwenda kwa serikali na tangia juzi kanyamaza?
Nimependa
Karibu sana
@@loftymatambo254 lofty mtangazaji shupavu I say!!
Nawala Azimio hawatasema juu wanasiasa wote NI kwa interest zao
Raila aende zake AU mambo mengine iendelee mbele
A panelist with interest
Kenyans and kalonzo kasalitiwa
Mambo ya maelewano Kati ya President Ruto na Raila walipangana mbeleni
waaaah sisi tuko tutaona 2
Gen Z musidanganywe na viongozi wao wote hao.Wala musifanywe chambo na hao wanasiasa juu wote NI walafi
Nyote NI wamoja mwakimbilia interest zenu na matumbp yenu na GenZ hatutaki nyinyi wote.
Mbadi kiswahili ndio ngumu 😅
What a hopelessly clueless panel!
Pedestrian journalism is a huge problem in Kenya. No objectivity and patently patronising!