CHINO "SIKUMUUA NDUGU Yangu Nipate UTAJIRI "/Adai AMEMALIZANA na MARIOO/Aonyesha MAGARI yake MAPYA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 เม.ย. 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram rickmediatz...
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 82

  • @KhadijahRamadhani-mw3wh
    @KhadijahRamadhani-mw3wh 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kilam2 nanyota yake🎉🎉🎉 kaka zidi kuwashangaza❤❤❤ chino

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv 3 หลายเดือนก่อน +7

    Wabongo sisi tuna ulemavu mkubwa sana kifikra, wanawaza upumbavu tu eti uchawi kwani bila ushirikina huwezi kufanikiwa? Au Mungu hawezi kumtajirisha mtu? Acheni uvivu hizo mawazo ni ya umasikini, ndo unakuta wanaita viongozi wa dini wachawi, yani wamejawa na ujinga kwenye ubongo wao

  • @user-tr8kz6wc1j
    @user-tr8kz6wc1j 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe ndiyo wa kwanza chino sijaona kama wewe honqera sana chino haijalishi humepataje hayo yote hayatuhusu ❤❤❤❤❤❤ chukua mau Yako nimekupenda Bure munqu nipe na Mimi niwe kama chino

  • @RashyTzOfficial
    @RashyTzOfficial 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akiamua kukubaliki broo vi2 vinaondoka2

  • @Msafirimakini
    @Msafirimakini 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ningekuwa simuogopi mungu hizi gari ni kitu kidogo sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MalengaEchumbe-sz1tx
    @MalengaEchumbe-sz1tx 3 หลายเดือนก่อน +4

    Huyo Ex ndo hana siri kubwa jama 😢😢😢 HELA unatowa wapi CHINO MMMM KWA MUZIKI NGANI KWANI????

  • @AllyMwakasabaje
    @AllyMwakasabaje 3 หลายเดือนก่อน +4

    Tishaa Chino ❤ bro🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @pavillonmarguerite7634
    @pavillonmarguerite7634 3 หลายเดือนก่อน +1

    Chino bro wewe ndomimi washangaze zaidi waku fikirie vibaya waho ndowa nafanya ivo bro pamoja sana

  • @NengaJulenge-yi4fd
    @NengaJulenge-yi4fd 3 หลายเดือนก่อน +3

    Chino kaka mungu akulinde uzidi kusaidiya vijana wengi na mungu azidi kukupa mafanyikiyo

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wanasema kutangulia CIO kufika....bila Shaka mario ameona hii....n mbn hajapost? Watangazaji mtafuteni mario...ako n mengi xna ya kuongea😅

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kama Ayo mambo watu wanaongea huyafanyi mungu Ndio mwenye macho fanya kazi ✊

  • @DavisEnglishTv
    @DavisEnglishTv 3 หลายเดือนก่อน +20

    Ww chino hizo hela unatoa wapi? Mi staki kuamini bhana sababu Marioo anaimba sana na mangoma yake yanaenda lakin unamzidi. Sasa hapo inakuwaje??

    • @esterpaul5856
      @esterpaul5856 3 หลายเดือนก่อน +3

      Ni maajabu hayo 😅😅😢 katowa wap hizo pesa?? Sio kwel

    • @Officalnaph
      @Officalnaph 3 หลายเดือนก่อน +4

      maisha ni siri kubwa na fumbo , hivyo tuangaliee tu

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 3 หลายเดือนก่อน +3

      Utajiri una siri kubwa😂😂😂😂😂

    • @fatumakiwera7145
      @fatumakiwera7145 3 หลายเดือนก่อน +4

      Mafanikio ya mtu yanasir kubwa sana

    • @user-mi7cd8ch1b
      @user-mi7cd8ch1b 3 หลายเดือนก่อน +2

      Katoa wap uyo katoa mwenzie kafala

  • @asukulubashilwango1907
    @asukulubashilwango1907 3 หลายเดือนก่อน +8

    Jamani kaheni mkijuwa mziki wa sasa huna hela msihangaliye youtub 2, izo show anazo zitaja hapo kwa wiki mwamba anauwezo wakujingiza 50M kwa mwezi ivyo awezi ivyo mafanyikio yake niya ukweli sana 100% pia kakuhambiya bajet yake ili apate ku save . ❤

    • @prezzyvassach3218
      @prezzyvassach3218 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mil 50 Kwa Week Ni Uongo Kaka Show Zake Ni Friday Saturday Na Sunday. Na Una Fikiri Show Moja Ana Lipwa Million 10?? 😅

    • @asukulubashilwango1907
      @asukulubashilwango1907 3 หลายเดือนก่อน

      @@prezzyvassach3218 alisema M10, 8,hadi 5 anachukuwa Asa ukipiga hesabu kwa wiki anahingiza M20 kwa mwezi anazo ngapi Bado youtub na mitandao mingine. Matangazo bro wanahaki Alafu izo gari zake ni zakawaida sana sema tz watu awajishushi hadhi ila izo gari kwa apa usa iyo jeep aiwezi nunuwa $20k iyo bmw ndo kabisa aina pesa wala

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 3 หลายเดือนก่อน +3

    This gentleman if he takes it seriously he'll gonna take over simba

  • @babuafya3446
    @babuafya3446 3 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂 chino bhana wew content so kuandikwa negative ni kawaida

  • @user-iu1ki5ts2e
    @user-iu1ki5ts2e 3 หลายเดือนก่อน +6

    Chino nakukubalii bloody yangu Sema dah utajiri wa gafla toka ufiliwe na best yako yaani Naona Sasa hivii utashindanishwa na daimond plantnaamz utajiri

    • @boscopeter6183
      @boscopeter6183 3 หลายเดือนก่อน +1

      sio UFILIWe sema Ufiwe ..unatuchanganya kaka 😁

  • @user-nq5iz3vy3p
    @user-nq5iz3vy3p 3 หลายเดือนก่อน +2

    X wangu nitamnunulia baiskeli

  • @AliFundi-xr8rg
    @AliFundi-xr8rg 3 หลายเดือนก่อน +3

    Chinno unapenda ku show off

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna manamna..hela hizo hapana

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 3 หลายเดือนก่อน +1

    Iko siku ya mungu itajulikana,hakuna haram inayodumu milele

  • @Sizza26
    @Sizza26 3 หลายเดือนก่อน +4

    Big

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_7 3 หลายเดือนก่อน +3

    Sacrifices do pay!!

  • @nurdizzotz4437
    @nurdizzotz4437 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wabongo tunafeki sana dah sema mtawaogopea wajinga si wengine tunajua mnapataje izo mali

  • @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy
    @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy 3 หลายเดือนก่อน +1

    Vijana tuache tamaa ya pesa ya halaka, uzuli malipo ni apa apa

  • @jaykaris
    @jaykaris 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Jamaa nahishi anatumika na watu. Hivi tanzania kuna washwash?

  • @ConstanceKarisa-yq7qc
    @ConstanceKarisa-yq7qc 3 หลายเดือนก่อน +2

    Twambie unatoa wapi pesa

  • @user-fg3nj1bg5n
    @user-fg3nj1bg5n 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mhhhh ukakasi

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc 3 หลายเดือนก่อน +4

    ni huu mziki tuu au kuna mziki mwingine

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hapo sasa

  • @Lisbonofficial
    @Lisbonofficial 3 หลายเดือนก่อน +5

    Chino kidd 🫡🫡🫡

  • @Footballre-zx9lc
    @Footballre-zx9lc 3 หลายเดือนก่อน +4

    Chino wanama

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy 3 หลายเดือนก่อน +2

    🔥💪💪💪

  • @SalimAli-iw5kv
    @SalimAli-iw5kv 3 หลายเดือนก่อน +2

    Neema wa piliz

  • @user-dv8cd1up7v
    @user-dv8cd1up7v 3 หลายเดือนก่อน +2

    V8 Iko wap

  • @user-uc8vm6to5x
    @user-uc8vm6to5x 3 หลายเดือนก่อน +2

    Jamn tafteni ela Kwa njia za kihalali hata Mimi ningekua na tamaa za hela kama hizo ningekua nazo sababu brother angu anazo pesa zaivo mpaka zingine hajui aziganyie Nini so tafteni ela Kwa njia salama

  • @timelessdaddy.2542
    @timelessdaddy.2542 3 หลายเดือนก่อน +2

    We illuminati Tu mbona hujanunua kabla mwenzenu kufa kenge ww

  • @nurdizzotz4437
    @nurdizzotz4437 3 หลายเดือนก่อน +2

    Msanii unata tangazo show tu ndo zikupe izo gari mmh wasanii wabongo bado sana ndomana tunalogana kinomanoma

  • @user-ee8jo3qt4h
    @user-ee8jo3qt4h 3 หลายเดือนก่อน

    wabongo acheni ufala uyu hana menegiment inayo kula pesa sa anakosaje pessa

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 3 หลายเดือนก่อน +4

    Chino kazi yko mziki bdo Iko chiniii huo utajiri apanaaa😂

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huo wivu sasa

    • @nurdizzotz4437
      @nurdizzotz4437 3 หลายเดือนก่อน

      Waongo sana ndomana mziki wabongo aukui we ata matangazo ana izoshow za asilimia ndo zimpe utajili uo tukija kustuka wasanii wote washakuwa mashoga

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 3 หลายเดือนก่อน

      @@furahachuma9039 hamna wivu kaka ila liangalie pia ww,

  • @user-pw5qh6fv1w
    @user-pw5qh6fv1w 3 หลายเดือนก่อน

    Kuna kanamna hpa chino 😂😂

  • @iddymohammed1890
    @iddymohammed1890 3 หลายเดือนก่อน

    Abasi anauliza ana nyimbo ngap na show anafanya wap ?

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc 3 หลายเดือนก่อน +2

    kaa naye karibu akutoe kafara wee jipeleke tuu

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @pinkyg8861
    @pinkyg8861 3 หลายเดือนก่อน +1

    Anagawa zawad kwa ex kwel freemason

  • @ibrahimmbilizi1726
    @ibrahimmbilizi1726 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nabado atawaliza umeonwapi utakiri wawiki mbili ivi

  • @TeophilBuilding
    @TeophilBuilding 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wanaokata chukia na kumaind wote wanatombw akil ila ukwel Ni kwamba vijan wanauza matako na yanalipa kwasas kwa mwenye weled Zaid wakufikiria wataelew na wanajua kipato cha mziki wetu kwasas matako yanawalipa

    • @shuzashadyproduction8438
      @shuzashadyproduction8438 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 jau kis*ng*

    • @shuzashadyproduction8438
      @shuzashadyproduction8438 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 Jau kis*ng*

    • @maxdesignspro
      @maxdesignspro 3 หลายเดือนก่อน +1

      hii alinambia director mmja kwamba kutrend ni rahis ila wengiwao wanaliwa sana

    • @MosesAntony-gh4yt
      @MosesAntony-gh4yt 3 หลายเดือนก่อน +2

      Yani toka ajari apate afe yule jamaa Kawa na maokoto cha ajabu ile ajali chino hakupata majereha

    • @paulmafuru7283
      @paulmafuru7283 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hahaha kweli Tako dili mjini Lkn daah acha nitembee kwa mguu Tako langu nibak nalo

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y 3 หลายเดือนก่อน +2

    gar ulio mnunulia mamaako na babaako liko wap au ndo unawaza madem

  • @SamweliMwalyungu-du5ln
    @SamweliMwalyungu-du5ln 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ww ni tako una jitetea ili iweje

  • @aloyceJeshi-vt2oe
    @aloyceJeshi-vt2oe 3 หลายเดือนก่อน

    Chino wanamani

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 3 หลายเดือนก่อน +1

    LAZMA TUSHTUKE BANA,,GHAFLA SANA😊

  • @Inzaghi809
    @Inzaghi809 3 หลายเดือนก่อน +2

    Muchawi

  • @farajmohammed
    @farajmohammed 3 หลายเดือนก่อน

    Kumbe freemason n kweli 😅

  • @donhussle948
    @donhussle948 3 หลายเดือนก่อน +1

    Umemtoa mwenzako kafara ..
    Na waambiwa KILICHO NA MWANZO KINA MWISHO .ww ww utaanza lia kuwa freemason yataka kuuwa mwisho .mziki gani walipa hvyo mbna twadanganyana waimba wanunua magari bei hiyo tusidanganyane ..sema kuna nguvu za giza ndani yako or nyuma yako ..20% alitueleza nguvu za giza lazima uwe ndani yake

    • @user-hm3qm2nf1v
      @user-hm3qm2nf1v 3 หลายเดือนก่อน

      Hlf alikuwa mbele hakuumia ht wenziwe wamekatika viungo hd leo hawajapona vizuri yy anatanua tu freemason