SIRI ZA KUSHINDA MADENI | MWL. ONESMO.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024
- Huduma ya MBINGU DUNIANI inapatikana NGULELO ARUSHA TANZANIA chini ya Mtumishi MWALIMU ONESMO UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA NAMBA HII +255 743 404 043
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / onesmo.oyakhilome
Follow our Instagram: / mbingu_duniani
Subscribe our TH-cam:
/ @mbinguduniani
Mbingu Duniani FM : onlineradiobox...
#MwlOnesmo #Mbinguduniani #kumilikiMilkiZangu
Ninamshukru sana MUNGU kwa ajili ya kumtuma mwalim onesmo hakika ninao hushuhuda mkubwa sana
Mungu naomba niondolee roho ya madeni kwenye fedha na uchumi wangu kwa jina la Yesu Kristo.Amen.
JESUS Nimejikuta nikicheka jmn km mazuri watu na miayo na hasira...Mungu nisaidie miayo iondoke kwangu
Mungu naomba niondoe kwenye roho ya madeni
😂😂😂😂Mwl hapo kwenye fungu la kumi umetupata
Ameeen 🙏
Mungu niwezeshe kshinda roho ya madeni
Mungu asante kunikutanisha na ibada hii
Ahsante Mungu umeniondolea roho ya madeni sasa naomba Mungu wangu unipe nguvu ya kuwalipa wote wanaonidai nina imani kubwa nitamaliza madeni yote.
0:00
❤
Kwakwe ifke sehem ukweli usemwe mahubir yaleo yamepenya kwangu yananihusu cpend kutoa fungu la kumi lkin leo nimetoa namungu aniwezeshe kila sehm ya mshahara wang nimpatie mungu haki yake
Eeeeeh Mungu nipe kibali cha kukutana na MTUMISHI huyu...naaamini madeni yangu YOOOOOOOOOOOOTE yataisha
Asante Mungu kwa ufunuo huu naamini ninatoka kwenye madeni haya....
Mungu naomba niondolee roho ya maden kwa jina la yesu kristo
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amne
🙏🙏
Mwal fungu la kumi unatoa kwenye sehemu ipi ya mashara ni ile net salary au ile take home
Mwal fungu la kumi utoa sehemu ipi net salary au take home
Mimi sio mwalimu lakini Huwa ni Net salary ile ambayo haijakatwa tax bado rafiki kwa sababu malipo yote ya serikali yanafanywa kwaajili yako, pia insurance ni kwaajili yako , tuseme mfano nssf ni kwaajili yako hivyo malipo ya serikali yanafanywa kwaaajili yako ni malipo yako, net ni hela yako halali na imegawanyika, so it means kama sio wewe hiyo net payment usingepata. So ni asilimia kumi ya net salary not gross. mimi ndivyo ninavyojua.
Mwal fungu la kumi utoa sehemu ipi net salary au take home
10% MFANO LAKI MOJA UNATOA 10,000, LAKINO MOJA NA NUSU UNATOA 15,000