Tatizo watu hawaelewi wanapenda tu kuongea kwan mpaka wajadili maisha ya watu kinachotakiwa nyie muwaombee dua tu ayo mengine hayatuhusu Eti ooh mumewe mdg oooh cjui mumwe mwembamba bac km mwembamba km mumeo ww mnene ungemwambia akamuoa ili mukae uke wenza
kikubwa nakuombe2 Allah akujalie ndoa njema maisha mem ila sisi binadamu tuna tabu kweli mtu akizin nongwa akipat stera ya ndoa mijineno km yote usijali mapenzi haya chagui umri upendo ndo kila kitu
Hongera sana da Asha m/mungu wape afya njema, umeonyesha uvumilivu mkubwa sana
Nampendaga Sana ASHA boko jamani mm tujuane wapenzi WA ASHA💞💞💞💞
Jaman muwe mnajua kuangalia watu ayu baba mkubwa kwa asha sana muangalie ngoz ya uson ilvyo komaa utasema jogoo kishngo
@@mwanahamisiabdi3320 😂😂
@@mwanahamisiabdi3320 😂😂😂
@@mwanahamisiabdi3320 shida wanamuona bonge mdada wa watu ila mume ni mkubwa tu sana.
Kumbe Asha Boko ni mstaarabu sana Mungu awajaalie kheri
Nakupenda dada Asha mungu aibarki ndowa yako
Pole na matatizo yaliyokukuta ya kuuawa kwa Mumeo wa kwanza.
Allah akujalie kila la kheri katika maisha mapya ya Ndoa, Aamiin.
Pole sana kwa kupata msiba mume wa mwanzo.....pia mashaallah umependeza wallah Allah akutilie baraka na kheei nyingi kwenye maisha ya ndoa mpya AMIN
Shem Letu Mzuri MaashaaAllah TaabarakaaAllah 😂😂😂😂Alf Mabrooq Jamaniii
Kila la kheir kwenye maisha yenu mapya Allah aidumishe ndoa yenu
Wangap tumekuja kusoma coment umu tujuane mapema
Maashaallah Asha hongera sana kila la kheri na maisha mema na mume wako inshalaah
Hongera sana asha wafundishe wajuwe penzi halina umri wape vidonge vyao wakimeza wakitema shauriyao goodluck dear kila lakheli
Mashallah kila la kheri mama
Ongela sana Aisha mkovzur
Hongera sana Asha boko kwa kupata mwenza wako maisha Mungu aitunze ndoa yenu.
Hongera Asha kwa kufunga ndoa.
🤣🤣🤣na Babyface inachangia👌👌👌watu na Babyface zetu mjini💞💞😘
Yaaani nimengalia kuanzia mwanzo natabasam mpaka mwisho wa kipindi hongera sana mamy mungu akufanyie wepesi kwenye ndoa yako
So go
kma mie utafikiri ni kaka yangu kaoa
Asante bwana harusi kwa maneno matamu kwa mkeo Allah awaongoze.
Amiiin
Alhamndulillahy Allah awamiminikie kheir kwenye ndoa yenu
Aamin InshaaAllah yaarab
Mashaa Allah Asha boko umenipa ujasiri
Nampenda huyu dada❤️
Mashallah mwenyez mungu akawaongoze na kila la kheri awaepushie ya shar katka ndoa yenu. Amiin 🙏🙏
Elfu mabrook asha.mumeo mzuri.mmependezana.waja ndio tulivo hatweshi maneno.achanao
Mungu awabariki sn
Mashallah hongera xana Asha Boko...udumu kwenye ndoa yko Inshallah
Mtangazaji unajua Sana Sana kuhoji mtu hongera,
Tunapongeza kwa kuwa na hekima heshima Mungu maisha yenu yabarikiwe!!!
Kumbe ilikua mambo nilidhani ni kiki, hongera sana @ashaboko Mungu aibariki ndoa yenu idumu milele
Jamani wakuace so nawatakia kila lakher kwenye ndowa yenu🙏🙏🙏
Tafadhali mtangazaji vua hiyo heren utaonekana smart zaidi
Yani ye mwenyewe Ana kasura ka kike na make up cjui kapaka na hizo hereni no hatari kweli abadilishe muonekano aonekane wa kiume Mana da!
Atamie nmetaman kusema ila mhum napita tu
Daaah. Asha boko bhn..eti na bby face nayo inachangia..hongera bby nakukubaligi sana
Jamani waja mna Nini lakini ebu ifike mahali muache kufatilia maisha ya watu Khaa muacheni asha wawatu, embu naombeni mnipe like na Mimi 👍
😂😂😂
Star huyu lazima afuatiliwe!
Wataka wajue kuku na bata la nini lo
Ana macho urojo huyo amiii
Wanakera sana
Hongera madam Mungu awatunze
Mungu awazidishie jamani nawapenda sana
Hongera sana dada asha allah akudumishiye dowa yako
Ongera sana da asha allah awatunzie dowa yenu
Shemelaaa anafanana na Goodluck
Hongera sana mkubwa uyo kadi ya Clinic anayo mzazi wake
Masha allahh umependeza mmmwaaa
Mtangazaji KAVAA eren
Ovyoooo wanaume kama haw
Pore sana kwa kufiwa mama😭😭😭🙏🙏🙏
She is beautiful
Safi kabisa lmependeza
Mabruk da Esha boko 😙😙😙nakupendaga
Hongereni sana Mungu azidi kuwatunza
Kweli Maisha ni kuerewana
Huyu Mama Ni Mrembo Sanaaa
Hongera Asha boko am happy for u
Nawapenda buree😘😘😘🙏🙏🙏
Pole sana mama
Huyo mume wa Asha hayo macho mashallah
Yaani Ana Macho akikuangalia hata asipokuita unaweza kuitika
@@sweetluc2660 🤣🤣🤣tena jana na leo
Hongera sana Asha boko
Hongera Asha
Mashllh mume kamwili kwake nikadgo
Mashllh mume kapewa machoo ya kulala mashllh
Jamani mbna mme mkubwa ana udg gn
Mashallah mume ana jithoo zuri ,kila la kheri kwenye ndoa yenu
Hongera sana Asha
Simdogo Asha bonge sana
Wembamba ndiyo size yahaoooo
Sasa wote wakiwa mabonge inakuaje kitandani yaani vibonge wengi wanapata waume wembamba na ndio inavyotakiwa duniani kusaidiana😅
Haha haha
Dunian kusaidiana😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸 kusaidiana nini tena?
Tatizo watu hawaelewi wanapenda tu kuongea kwan mpaka wajadili maisha ya watu kinachotakiwa nyie muwaombee dua tu ayo mengine hayatuhusu Eti ooh mumewe mdg oooh cjui mumwe mwembamba bac km mwembamba km mumeo ww mnene ungemwambia akamuoa ili mukae uke wenza
@@aslamomaryy2955 🤗
MashaAllah hongera sana Asha
Eee mungu naomba unijalie mme na mm
Amiin
Amiina utapata ucjali
@@asaaomar4315 amina
Inshallah
Insha allah Kheri Mungu wetu akupe kheri
Nakupend asha boko
Uyu Kaka nilijua mdogo kumbe mkubwa mwili wake tu mwembamba Hongera Asha
waty wenye miili midogo hawazeeki haraka
Mashallah""" Kula utamu wa halali shoga yangu😘😘😘😘((mume mdogo huyo vepeeeee wana Cheri chake cha kuzaliwa???))
Weee zawad n mkubwa sana asha
Asha Boko umenifurahisha uliposema ile sentence ya nakupenda kale kachildren
Nimejijia zangu kusoma comment
Jitahidi uage dada ASHA ushakua mke wa mtu kuaga lzm inshaallah 🙏🙏
Masha Allah mungu awdumishe walimwengu kusema ndio kazi yao
Ongera dada
Mashaallah mjina da riama aliwambia ata kama mdogo cye mmake😀
😂😂😂😂 wee
Hana kadi ya clinik wamuacheeee
Ulipendeza dada asha,ongera zako mpenzi
Eti Ondo Ondo mlezi wa Wana😛😛
Mashallah, hongereni Sana.
Mashaallah tabaraka Allah
Mbona mkaka mkubwa tu woyoooo na mie nitaolewa kumbe😌😌💃💃💃
🤣🤣🤣
@@khadkhad2339 😂😂😂ndio nitaolewa namie💃💃in shaa allah
@@AliHassan-mf3dx subutuu😌😌😌
Mm natafuta mchumba wa kweli nataka niowe naweza kua chaguo lako vipi utanikubali
@@zubeirsalum128 in shaaallah kama imeandikwa itakuwa hivo tu
haaaaaaaa kweli una babyface hongera sana
Masha Allah
Dah kweli bindamu hatubebeki muacheni na mume me jamn dah
Mungu awatangulie katika maisha mloyaanzisha ninyi nyote
Mashallah
Hatari
Ongera dada angu,mwanaume hawi mdogo hata siku,wache awesome tu usiku watalala.
Ongera saaana
kikubwa nakuombe2 Allah akujalie ndoa njema maisha mem ila sisi binadamu tuna tabu kweli mtu akizin nongwa akipat stera ya ndoa mijineno km yote usijali mapenzi haya chagui umri upendo ndo kila kitu
@@ahlansawia4882 ndo nn au lugha gn iyo
@@zaitunijuma7831 lugha mubashara mbonaa inamaana kwamba ulich kisema nikitu sahihi kbis
@@ahlansawia4882 kumbe bas uliniacha njia panda kabis yn 😁😁
@@zaitunijuma7831 jejejee njoo huk nkfimdishe kimombo weyeeee
@@ahlansawia4882 nitajitaid nije
Sio movie kweli hii.
kwer jmni
Kweli mkubwa
hongera sn
Nimekupend.
Nimemuona Doraa
Nampenda sana huyu mama nampenda zaidi akiwa na lile kundi lake la mizengu
Mashaallah 🥰💕🤩
Daaah mama hanamadeko huyu hatari
Kamchanganya kidume 😃😃😃😃
I love this woman 🤣🤣😂❤️
Umepata mke mzuri
Aseee asha boko kaokota dodo huyu mwanaume mzur hatar
Mabruok
Mtangazaji wew ni koo cha jamii mbona umevaa hereni tupe maana ya huo urembo
MashaAllah
Mume kumuowa mke alomzidi umri ni sunna ya mtume muhammadi hongera biasha boko
Wangapi wamekuja kuona kaa asha boko kama atafnya vile vituko vyake😂😂😂😂
Mashallah Umependeza kama naMumeo saizi yako Wanga waache waongee
umeonaee namuona kma añatka kuanza vituko
Waooo