Hongera sana Freeman Aikaeli Mbowe. Umetokea jaxho sana kupigania Demokradia magumu umepitia. Ukadimama imara. Mungu akutunze mwamba wetu uwe mshauri wa chama chako. Tenda wema nenda zako. Mungu atakulipa
Eeeh kumbe kazaliwa mwkaa mmoja na mama angu kasoro miez tu😭mama angu 13/12/1961 leo hayupo dunian mama angu jmn dah😭😭😭😭😭😭MUNGU akupumzishe salama mama angu,naandika sma hii kwa uchungu mkubwa umenifanya mwaka wa 2025 uwe wa maumivu kwangu lkn yote kwa yote namshukuru sana MUNGU wang🙏🙏🙏
MBOWE WEWE NI MWANASIASA HALISI,,LISU ATAP0NZWA NA MDOMO WAKE .ANALUGHA YA KIBAGUZI KASEMA HIVI ETI RAIS SAMIA HAFAI KUWA RAIS KWA SABABU NI MZANZIBAR NA PILI NI MWANAMKE,,,,HIZO NI LUGHA YA KIBAGUZI,,,,CMD HAITAKUWA NA UTULIVU TENA..NI MAMBO YA MUDA TU,
hongera sana mbowe umefanya kazi kubwa hapa Tanzania anaemkubali mbowe gonga like
Hongera sana Freeman Aikaeli Mbowe. Umetokea jaxho sana kupigania Demokradia magumu umepitia. Ukadimama imara. Mungu akutunze mwamba wetu uwe mshauri wa chama chako. Tenda wema nenda zako. Mungu atakulipa
Nakupenda Mbowe ww ni Kiongozi Bora na Muhimu ktj Tanzania 🇹🇿
Binafsi napenda kukusikiliza mbowe hasa unapojibu maswali umejaa busara sana kituambacho wanasiasawetu waliowengi hawana,
Nitamiss sana uongoziwako ktk chadema
Mungu akulinde mwamba.
Kiongozi mzuri. Amefanya kazi ya kutukuka😊
HII IMEKAA POA SANA🥰❤️🥰❤️
Hongera sana mtu Mzee mboe chama umekiongoza vzr na kupigania democrasia kwa wanainchi.hongera hongera
Eeeh kumbe kazaliwa mwkaa mmoja na mama angu kasoro miez tu😭mama angu 13/12/1961 leo hayupo dunian mama angu jmn dah😭😭😭😭😭😭MUNGU akupumzishe salama mama angu,naandika sma hii kwa uchungu mkubwa umenifanya mwaka wa 2025 uwe wa maumivu kwangu lkn yote kwa yote namshukuru sana MUNGU wang🙏🙏🙏
Pole xna
@ElishaSolomoni-kc4zk 🙏
FAM mwamba sana,amefanyia makubwa sana CHADEMA
Pumzka kamanda umetosha MUNGU akutunze❤
Pumzika baba ule penshen Yako sasa daima taifa hili litakukumbuka na kuku andika kweny vitabu vya Wana mageuz asant kwa utumishi wako uliotukuka
Yetu macho mungu anataka akupeleke mbali zaid
Mwamba alikuwa anavaa suit toka enzi zilee!Huyu maisha yake ni ya kishua siyo sawa na yetu !Hongera Mbowe legacy yako itaongea milele
Hongera Freeman
Mwamba Freeman Aikael Mbowe
Dhahabu bado ina nuru😢, ila mdomo ni chanzo cha matatizo na kuona ndio utendaji, kuongea sio kutenda😢 2025 utakumbukwa mapema sanaaa
Kumbe mbowe ana miaka64
unastahili maua yako mzee
Ni sawa.lakini hakusoma alama za nyakazi.Vijana wengi kwenye vyama wamenjanjaruka.lakini pia covid 19 wale wamemponza sana
Mungu akusaidie mkuu
Mula lushwa mbowe nenda kwanza
Pongezi nyingi mbowe, nimesikiliza history yako kwel chama umekitoa mbali wamepoza zahabu
😭😭😭😭💔💔
😢😢😢😢😢
Mmepoteza dhahabu Sasa mmeokota crystal 🤣🤣🤣
Mlikuwa mnasubiri akose votes ndio mpost 😀
MBOWE WEWE NI MWANASIASA HALISI,,LISU ATAP0NZWA NA MDOMO WAKE .ANALUGHA YA KIBAGUZI KASEMA HIVI ETI RAIS SAMIA HAFAI KUWA RAIS KWA SABABU NI MZANZIBAR NA PILI NI MWANAMKE,,,,HIZO NI LUGHA YA KIBAGUZI,,,,CMD HAITAKUWA NA UTULIVU TENA..NI MAMBO YA MUDA TU,
Lissu Lissu Lissu 🎉🎉🎉🎉🎉
th-cam.com/video/-Kqtpnodc1E/w-d-xo.htmlsi=kdMz0PNMbyYDJwA9
Yaani namuona Mugabe kabisa maana hata Mugabe ilikua ikifika kipindi cha uchaguzi zinatembea video zikielezea jinsi alivyopambani taifa lake!!!