EWURA YAFUNGIA VITUO SABA VYA MAFUTA "TUNAKOELEKEA TUTAFUTA LESENI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- Ikiwa imesalia wiki moja kuelekea kutangazwa kwa bei elekezi ya mafuta nchini kwa mwezi Octoba mamlaka ya Udhibiti wa huduma za Nishati na Maji EWURA imetangaza kufungwa kwa vituo saba ya mafuta kwa kipindi cha miezi sita kwa kukiuka sheria ikiwemo kuficha Mafuta
Taarifa ya EWURA imetolewa na Titus Kaguo Meneja wa Mawasiliano na Uhusiano alipokuwa akizungumza na wanahabari ambapo amesema katika kipindi cha mwezi Julai na Agosti vilifungiwa vituo vitano na mwezi septemba vimefungiwa vituo viwili ambapo mamlaka hiyo ilitoa fursa ya siku 21 kwa kampuni zilizofungiwa kuwasilisha utetezi kuanzia septemba 18,2023.
“hii biashara inahusisha usalama wa nchi tukisema mafuta hayapo utaona mihimili inasimama na tunakoelekea tutafuta leseni lakini uchunguzi bado unaendelea na Jana(29/09/2023) bodi ya wakurugenzi ilijiridhisha kuwa kuna vituo vingine vimeingia viliingia kwenye mkumbo huo wa kuhodhi mafuta bila kuuza na bodi ya wakurugenzi imeagiza hivyo vituo hivyo vifungwe kwa musa wa miezi sita”
Safi
Vituo vingi sana sana vinafanya huo mchezo
Rip magu mtu kazi
Wanatutesa sana wnanchi
Ewura wasitoke taarifa mapema
Kila jambo gum tunamkumbuka sana magufuli.
Hao wameangukiwa tu na jumba bov hiyo ishu wote wanafanya hayo mambo
Mje na kisese mwanza huomchezo uposana
Duuh
Mvitaje tuvijue bc
Kwanini na nyie msizibiti uo mfumuko wa bei? Maana imekua ni kupanda kwa bei tu na sio kushuka kwa nini? Na mtu jibu