Mr. George! A gentleman with talented tongue! So calm, so humble, so kind, a man I wish I'd have an opportunity to meet. George u're my role model! Fortunately enough to learn your historical background from my horse's mouth!
Mimi ni shabiki wa yanga, ukweli bro matusi yanakera sana tumeshindwa kuwa mashabiki wa kujenga hoja tunaropoka tu tukidhani ni ujanja kumbe ni ujinga, tubadilike aisee.
Ndiyo maana George Ambangile uchambuzi wake ni wakisomi siyo Uchambuzi wa akina Gemedari wanaochambua michezo bila mizania huchambua kishabiki na uchambuzi wake umejaa chuki tupu
Hao wanao kutukana hawajui wa litendalo lakn wewe utabaki kuwa bora hadi nakufa yan I think me nixipo kuxikia kwenye kipindi cha sport arena au sport cott aixe najikia vibaya xana tena xana
Muongo huyo ,kwa kumsikiliza tu huyo united na Simba , maana akiichambua Simba utafikili hakuna timu ya kuifunga Ila yanga kila mechi huweka mwanya wa kufungwa
SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:👉🏾 bit.ly/3MraYdQ
Mr. George! A gentleman with talented tongue! So calm, so humble, so kind, a man I wish I'd have an opportunity to meet. George u're my role model! Fortunately enough to learn your historical background from my horse's mouth!
Wanaokutukana hawajielewi. Wewe ni mtu na unajua unachofanya. Ila wengi wa wachambuzi ni wa ovyo.
Huyu Kijana yuko vizuri sana. Congraturations. Mtu anayefikia hatua ya kutukana kakosa point, that is all kaka. Keep it up👍👍👍👍👍🫢
Kiukwel kakaangu AMBANGILE nakuelewaga sana natamanigi kukutana na wewe tupia nambaako ya simu kaka
Ni wachambuzi wa 2 tu ambao mnajua Sana namini hakuna mwingine abisai was istafrica na wewe ambangile mnajua Sana🙏🙏🙏🙏
Namkubali sana ambangile yuko vizuli sana
Kaka usiogope upo vizuri mno
Musa kipanya Moses mutente na George Ambangile aisssMagic fm nliwakubali mpk leo
Katika wa chambuzi wote namuelewa sana ambangile hanajuwa
tanzanzania kuna wachambuz wengi wazr ila huyu na ali kamwe wameuteka moyo wangu
Hv unajua moyo ww?
Kijana safi
Nakukubali sana kaka
Ambangile kaza mdogo wangu mm shabiki wako naapa umewaacha mbali sanaaa ndo Mana wanaweka ushabiki awajui kazi
Mdogo wangu we unachambua mifumo uwanjani wengine wanasema ambayo cc tunajua c tunaona
Namkubali tangu yupo Magic
Mimi ni shabiki wa yanga, ukweli bro matusi yanakera sana tumeshindwa kuwa mashabiki wa kujenga hoja tunaropoka tu tukidhani ni ujanja kumbe ni ujinga, tubadilike aisee.
Wewe sio shabiki wa Yanga koz Yanga sio wastaarabu Ivo, mashabiki wa Yanga ndo wanaongoza kwa matusi mitandaoni hasa unapoigusa timu yenu.
Joseph Guede ni mshambuliaji mzuri lakini siyo machachali
Daah sundowner kilikua kipindi changu kiufupi magic Ndo ilikua redio yangu pendwa kaka orest halima mzilay baraka ngemba 😂😂daah
Matusi mengi yanapatikana kwa Binti Kazumari 😂😂😂 mchambuzi wa mchongo na njaa zake
George ✊✊
Ndiyo maana George Ambangile uchambuzi wake ni wakisomi siyo Uchambuzi wa akina Gemedari wanaochambua michezo bila mizania huchambua kishabiki na uchambuzi wake umejaa chuki tupu
Hao wanao kutukana hawajui wa litendalo lakn wewe utabaki kuwa bora hadi nakufa yan I think me nixipo kuxikia kwenye kipindi cha sport arena au sport cott aixe najikia vibaya xana tena xana
Muongo huyo ,kwa kumsikiliza tu huyo united na Simba , maana akiichambua Simba utafikili hakuna timu ya kuifunga Ila yanga kila mechi huweka mwanya wa kufungwa
huyu shoga pia mwambie aache hiyo tabia sio nzuri.
Acha ukuma wewe
Mbwa ww