EXCLUSIVE: GEORGE AMBANGILE Afunguka USIYOYAJUA, ELIMU Yake, ALIVYOANZA kama MASIHARA Kuchambua SOKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 29

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 ปีที่แล้ว +1

    SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:👉🏾 bit.ly/3MraYdQ

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 ปีที่แล้ว +5

    Mr. George! A gentleman with talented tongue! So calm, so humble, so kind, a man I wish I'd have an opportunity to meet. George u're my role model! Fortunately enough to learn your historical background from my horse's mouth!

  • @nuruabdallahmed9495
    @nuruabdallahmed9495 2 ปีที่แล้ว +5

    Wanaokutukana hawajielewi. Wewe ni mtu na unajua unachofanya. Ila wengi wa wachambuzi ni wa ovyo.

  • @abeldugange823
    @abeldugange823 ปีที่แล้ว

    Huyu Kijana yuko vizuri sana. Congraturations. Mtu anayefikia hatua ya kutukana kakosa point, that is all kaka. Keep it up👍👍👍👍👍🫢

  • @linusifajensi5677
    @linusifajensi5677 2 ปีที่แล้ว +2

    Kiukwel kakaangu AMBANGILE nakuelewaga sana natamanigi kukutana na wewe tupia nambaako ya simu kaka

  • @mirajihaji9634
    @mirajihaji9634 2 ปีที่แล้ว

    Ni wachambuzi wa 2 tu ambao mnajua Sana namini hakuna mwingine abisai was istafrica na wewe ambangile mnajua Sana🙏🙏🙏🙏

  • @abduljuma4330
    @abduljuma4330 2 ปีที่แล้ว +1

    Namkubali sana ambangile yuko vizuli sana

  • @linusifajensi5677
    @linusifajensi5677 2 ปีที่แล้ว +2

    Kaka usiogope upo vizuri mno

  • @andrewmziray2233
    @andrewmziray2233 2 ปีที่แล้ว +3

    Musa kipanya Moses mutente na George Ambangile aisssMagic fm nliwakubali mpk leo

  • @yahayamgomi5755
    @yahayamgomi5755 2 ปีที่แล้ว +1

    Katika wa chambuzi wote namuelewa sana ambangile hanajuwa

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 2 ปีที่แล้ว +3

    tanzanzania kuna wachambuz wengi wazr ila huyu na ali kamwe wameuteka moyo wangu

    • @deus8629
      @deus8629 2 ปีที่แล้ว

      Hv unajua moyo ww?

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 2 ปีที่แล้ว +1

    Kijana safi

  • @clevisaboytz544
    @clevisaboytz544 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali sana kaka

  • @jumamnyamani6700
    @jumamnyamani6700 2 ปีที่แล้ว +1

    Ambangile kaza mdogo wangu mm shabiki wako naapa umewaacha mbali sanaaa ndo Mana wanaweka ushabiki awajui kazi

  • @jumamnyamani6700
    @jumamnyamani6700 2 ปีที่แล้ว

    Mdogo wangu we unachambua mifumo uwanjani wengine wanasema ambayo cc tunajua c tunaona

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 ปีที่แล้ว

    Namkubali tangu yupo Magic

  • @sebastianmwanda293
    @sebastianmwanda293 2 ปีที่แล้ว +5

    Mimi ni shabiki wa yanga, ukweli bro matusi yanakera sana tumeshindwa kuwa mashabiki wa kujenga hoja tunaropoka tu tukidhani ni ujanja kumbe ni ujinga, tubadilike aisee.

    • @davidbahati3748
      @davidbahati3748 2 ปีที่แล้ว

      Wewe sio shabiki wa Yanga koz Yanga sio wastaarabu Ivo, mashabiki wa Yanga ndo wanaongoza kwa matusi mitandaoni hasa unapoigusa timu yenu.

  • @JOSEPHMWAJA
    @JOSEPHMWAJA 6 หลายเดือนก่อน

    Joseph Guede ni mshambuliaji mzuri lakini siyo machachali

  • @ivankmugi2226
    @ivankmugi2226 10 หลายเดือนก่อน

    Daah sundowner kilikua kipindi changu kiufupi magic Ndo ilikua redio yangu pendwa kaka orest halima mzilay baraka ngemba 😂😂daah

  • @kunojengo
    @kunojengo 9 หลายเดือนก่อน

    Matusi mengi yanapatikana kwa Binti Kazumari 😂😂😂 mchambuzi wa mchongo na njaa zake

  • @ebenezerkaaya7345
    @ebenezerkaaya7345 2 ปีที่แล้ว

    George ✊✊

  • @MichaelPasipanofu-oc4uv
    @MichaelPasipanofu-oc4uv ปีที่แล้ว

    Ndiyo maana George Ambangile uchambuzi wake ni wakisomi siyo Uchambuzi wa akina Gemedari wanaochambua michezo bila mizania huchambua kishabiki na uchambuzi wake umejaa chuki tupu

  • @kapelotz9967
    @kapelotz9967 2 ปีที่แล้ว

    Hao wanao kutukana hawajui wa litendalo lakn wewe utabaki kuwa bora hadi nakufa yan I think me nixipo kuxikia kwenye kipindi cha sport arena au sport cott aixe najikia vibaya xana tena xana

  • @shilagijisandu3101
    @shilagijisandu3101 2 ปีที่แล้ว

    Muongo huyo ,kwa kumsikiliza tu huyo united na Simba , maana akiichambua Simba utafikili hakuna timu ya kuifunga Ila yanga kila mechi huweka mwanya wa kufungwa

  • @lore4837
    @lore4837 2 ปีที่แล้ว

    huyu shoga pia mwambie aache hiyo tabia sio nzuri.