😂😂 Muoman mtanzania ndugu yako Sasa unamfukuzaje nduguyo amekuja kujitafuta Kila jambo lipe muda Km waoman walivyo ondokewa na muingereza Tanganyika Basi ipo siku Watanzania watakuwa hawaji kufanya kazi Labda biashara na kutembeleana Maana tuna watoto wetu Oman Mama mtanzania Na baba muoman Watanzania watakuja kimatembezi km watoto wetu wa kioman wakija Tanzania kimatembezi IPO Siku WATAENDA Nchi zingine kufanya kazi tusikilize story za Nchi zingine
Kwani nani aliwalazimisha kwenda huko Oman. Hata hapa nyumbani tunaona vituko wanavyowafanyia waajiri wao majumbani. Wengi wao ni majeuri, uchafu na wizi.
Hadija huwezi kumwambia aachane na Omani umaanisha nini acha ujinga asiseme ukweli mkishapata shida huko ndiyo mnamkimbilia da Zari mwache aseme mnamsumbua sana
nawala.mm.siwez mkimbilia zari kwa sababu zari siyo ajent bali ni mtu anaye paza sauti 🤣🤣🤣hata ningekuwa huko oman wa kumfata ni ajent au kumuambia boss anirudishe nyumban
Wachukuwe huko ulaya, na cc tunahitaji peace of mind maana kuna watu akili zao zipo chini ya nyayo zao , kila siku malumbano na still wanawaleta bila kujali utu wetu sijui kwa nini wanaoenda kujipendekeza kwa Waafrika
Huko ulaya huoni ubaguzi wanaofanfyiwa watu weusi? Wenyewe Wazungu hawataki mkae huko. Mnazamia nchi za watu na kuchana pasport zenu, mkipata shida hamna pa kukimbilia. Hata huko Africa ya kusini kwa Wafrica wenzenu hawakutakini. Hujiulizi kwa nini. Mnafukuzwa na wengine kuuliwa na bado mmeng'ang'ania kwenda. Hata huku Tanzania mahausigali wana vitimbi vingi.
😂😂 HUWEZI mfungia mlango ngugu yako anaye kuja kwako kujitafuta UDUGU Ndiyo ulivyo Waoman na watanzania wamezaliana sanaa na Oman na Yemen Kuliko Nchi zingine za ughaibuni Kwa maana hiyo ktk UDUGU kuongeleana ni vitu vya kawaida@@zuweinaalhabsya8773
@@Bintmsanif Wenyewe wanaridhika kwa sbb wanapata mshahara mara sita au saba ya mshahara wanaopata Tanzania. Kazi no makubaloano,kama hiwezi acha urudi nyumbani. Wao wanataka waje.nchi z watu halafunwaweke sheria zao.haiwezekani
Hivi nyinyi MAPITO hakuna wa TANZANIA wengine katika nchi nyengine, bali wapo OMAN tu, wazo langu ni bora muwareheshe WA TANZANIA wote kwao ili waende kupata raha na sio shida na changamoto wanazopitia hapa kwetu OMAN
Zari hata hapo tanzania nilikuwa na rafiki zangu wahindi wakanya kazi wawili wantoka mbagara asubuhi wanakuja namandazi yao ndio wanakunywa chai naunga wao vyakula kuna bibi mtu mzima ndo anabaki nao wanae washinda dukani. Hata cho hawaruhusiwi kutumia wanamaliza kazi zote ndo wasonge tonge lao wale wanatiliwa kimchuzi kidogo ndo wale wali mpaka ubaki labda siku kazaa ndio wapewa hata sahani hawezi kutumia
Lakini anafaidika nini Sasa kama ye Nani anamjua. Yaan Oman Kuna wafanyakazi WA nyingi wanakuja hata sijui kwanini wamekazana na Hawa watu jamani huku Kuna wahindi wasrilanka waphilipino Kuna Hawa wa Neymar wanakuja Sasa Mashaallah wote Hao wachapakazi hasa. Off Yao ni mara 1 kwa mwezi yaan raha tupu Hawa watu
Tunaomba Watanzania uwe na heshima kidogo, waomani hawanunui watu, kilichopo ni mikataba ya kazi na ndio maana mnalipwa mshahara kwa mwezi, mnapewa chakula , nguo, matubabu
Yaan saiv hamna bet suleiman wala nn ukienda pale unafurushwa urud ulipotoka wala hawakuskiliz wanakuambia urud jumanne au jumatano ndo cku za kuskiliza sasa utajua pakwenda ni shida kwa kweli
@Bintmsanif Km umetokea Ubalozi ndy kwa Suleiman hupokelewi lkn km huyo kaka inshu yake alikuwa anaijua angemchukua tu lkn Alhamdulillah alipata wakumuhifadhi na amerudi Salama
Kwani waarabu hawakup nchi za kizungu wanakutuma kma mbwa hamsem ila unafik wenu upo kwa waarabu mnatemewa mpk mate lkn kimy hamuchukui video mnajua mtapigwa bastola moja kwa moja
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
Mungu azidi kuwalinda ndugu zetu kila gum Lina njia ya kutokea inshallah
Mashaallah mashaallah
Muogope Mungu usiombe radhi
Na usimchezee Mungu
Ukijistiri ni wewe mwenyewe humvalii mtu wala humvalii Muomani
Bora warudishe Watanzania wote nyumbani. Waishi kwa raha makwao.waomani tutapumzika na midomo ya akina Zari na wenzake
Yaan wamekazana hasa hata sijui Nia Yao nini
@@zuweinaalhabsya8773 wivu kuona wenzake wanapata
Yaan hizi habar zimenichosha@@zuweinaalhabsya8773
😂😂
Muoman mtanzania ndugu yako
Sasa unamfukuzaje nduguyo amekuja kujitafuta
Kila jambo lipe muda
Km waoman walivyo ondokewa na muingereza Tanganyika
Basi ipo siku
Watanzania watakuwa hawaji kufanya kazi
Labda biashara na kutembeleana
Maana tuna watoto wetu Oman
Mama mtanzania
Na baba muoman
Watanzania watakuja kimatembezi km watoto wetu wa kioman wakija Tanzania kimatembezi
IPO Siku
WATAENDA Nchi zingine kufanya kazi tusikilize story za Nchi zingine
Kwani nani aliwalazimisha kwenda huko Oman.
Hata hapa nyumbani tunaona vituko wanavyowafanyia waajiri wao majumbani. Wengi wao ni majeuri, uchafu na wizi.
Ni kweli kabisa kuswali ni lazma
achanane na oman
Hadija huwezi kumwambia aachane na Omani umaanisha nini acha ujinga asiseme ukweli mkishapata shida huko ndiyo mnamkimbilia da Zari mwache aseme mnamsumbua sana
@@Mariam-ke4og tuliza komwe nawewe uwe unajibu kitu ukiwa umekielewa na mm ni mtanzania siwezi tetea oman kwahiy kuniambia mm mjinga ukome
nawala.mm.siwez mkimbilia zari kwa sababu zari siyo ajent bali ni mtu anaye paza sauti 🤣🤣🤣hata ningekuwa huko oman wa kumfata ni ajent au kumuambia boss anirudishe nyumban
Tatizo sisi watanzania niwaongo sana tunatabia za kuzusha
Hizi ni taarifa za upande mmoja. Wahojini na hao wajiri wao. Watanzania wana sifa tatu; waongo, wakaidi na wezi, wanamwibia hata maiti
Hongera Fungameza umeelewa kakaa kwa mtu shida kazi uarabuni ni utumwa mbona ulaya huku hakuna mambo hayo
Wachukuwe huko ulaya, na cc tunahitaji peace of mind maana kuna watu akili zao zipo chini ya nyayo zao , kila siku malumbano na still wanawaleta bila kujali utu wetu sijui kwa nini wanaoenda kujipendekeza kwa Waafrika
Bora mwende ulaya sasa mwenda fanya nini arabu mzungu hata afanye nini hamna neno ngoja mwarabu mtaona maneno vibaya acheni vitu hamuelewi
@@fatmasalim8293halafu wazungu ndio hawawapendi waafrika si unajua wanawaita nini Kila siku wazungu wanauwa watu weusi
Huko ulaya huoni ubaguzi wanaofanfyiwa watu weusi? Wenyewe Wazungu hawataki mkae huko. Mnazamia nchi za watu na kuchana pasport zenu, mkipata shida hamna pa kukimbilia. Hata huko Africa ya kusini kwa Wafrica wenzenu hawakutakini. Hujiulizi kwa nini. Mnafukuzwa na wengine kuuliwa na bado mmeng'ang'ania kwenda. Hata huku Tanzania mahausigali wana vitimbi vingi.
Na yanaotokea Tanzania hamuaoni.
Nyani haoni ……..malizia
Wanaona ya Oman tu ya kwao hawayaoni yaan Natamani ifike siku 1 niamke Asubuhi nisiikie watanzania wamefungiwa. Duu itakuwa furaha tele siku hio
😂😂
HUWEZI mfungia mlango ngugu yako anaye kuja kwako kujitafuta
UDUGU
Ndiyo ulivyo
Waoman na watanzania wamezaliana sanaa na Oman na Yemen
Kuliko Nchi zingine za ughaibuni
Kwa maana hiyo ktk UDUGU kuongeleana ni vitu vya kawaida@@zuweinaalhabsya8773
Hee tufungiwe tena😢@@zuweinaalhabsya8773
Na hawa ajent mchongo ndio washenz sana wanaleta watu kimagendo halaf wanawahangaisha tu
@@Bintmsanif Wenyewe wanaridhika kwa sbb wanapata mshahara mara sita au saba ya mshahara wanaopata Tanzania. Kazi no makubaloano,kama hiwezi acha urudi nyumbani. Wao wanataka waje.nchi z watu halafunwaweke sheria zao.haiwezekani
@111dudi kwenda zako na ww ndo wale wale
Hivi nyinyi MAPITO hakuna wa TANZANIA wengine katika nchi nyengine, bali wapo OMAN tu, wazo langu ni bora muwareheshe WA TANZANIA wote kwao ili waende kupata raha na sio shida na changamoto wanazopitia hapa kwetu OMAN
Zari hata hapo tanzania nilikuwa na rafiki zangu wahindi wakanya kazi wawili wantoka mbagara asubuhi wanakuja namandazi yao ndio wanakunywa chai naunga wao vyakula kuna bibi mtu mzima ndo anabaki nao wanae washinda dukani. Hata cho hawaruhusiwi kutumia wanamaliza kazi zote ndo wasonge tonge lao wale wanatiliwa kimchuzi kidogo ndo wale wali mpaka ubaki labda siku kazaa ndio wapewa hata sahani hawezi kutumia
Balozi wamechoka na wameshawagundua
Mtu anatoka kwao anaenda omn kujiuza
Huyo kijana anaumakini
Lkn huyo Zari anataka kuiponda omn
Sasa mmefahamu
Lakini anafaidika nini Sasa kama ye Nani anamjua. Yaan Oman Kuna wafanyakazi WA nyingi wanakuja hata sijui kwanini wamekazana na Hawa watu jamani huku Kuna wahindi wasrilanka waphilipino Kuna Hawa wa Neymar wanakuja Sasa Mashaallah wote Hao wachapakazi hasa. Off Yao ni mara 1 kwa mwezi yaan raha tupu Hawa watu
Tunaomba Watanzania uwe na heshima kidogo, waomani hawanunui watu, kilichopo ni mikataba ya kazi na ndio maana mnalipwa mshahara kwa mwezi, mnapewa chakula , nguo, matubabu
Yaaan mpaka vinyolea kwapa😂
Nani kakwambia Watanzania hatuna heshima acha kashfa unataka na sisi tukujibu ?
Kandamizi rudi kwenu kwa usalama
Pakuishi vp kwani Bet Suleiman c ipo amuweke au kumefungwa jumba lote lile anakosa pakumuweka mkaka mmoja😢
Yaan saiv hamna bet suleiman wala nn ukienda pale unafurushwa urud ulipotoka wala hawakuskiliz wanakuambia urud jumanne au jumatano ndo cku za kuskiliza sasa utajua pakwenda ni shida kwa kweli
@Bintmsanif Km umetokea Ubalozi ndy kwa Suleiman hupokelewi lkn km huyo kaka inshu yake alikuwa anaijua angemchukua tu lkn Alhamdulillah alipata wakumuhifadhi na amerudi Salama
Ulaya ni kwa waxungu na ukifany kaz kwa mzungu unataman ucache
Kabisa na hela yako unapewa mshaara unapewa bila longolongo
Kwani waarabu hawakup nchi za kizungu wanakutuma kma mbwa hamsem ila unafik wenu upo kwa waarabu mnatemewa mpk mate lkn kimy hamuchukui video mnajua mtapigwa bastola moja kwa moja
Zari huwezi jua agents mchongo ukifika Airport ndio unajua
Mimi pia nimegundua airport kwamba sijasafirishwa kihalal Sasa nilipopata changamoto ndiyo nikajua agent ulimpa pesa Hana msaada Tena.
Nikweli ata wafanyakazi wa ndani wanamatatizo sana tunashauliana fitu vya kijinga